Uhuru Kenyatta anafanya kazi nzuri sana dhidi ya Somalia

Uhuru Kenyatta anafanya kazi nzuri sana dhidi ya Somalia

Pengine umekaa huko kwa wajaruo wenzako huku hujarudi muda mrefu embu njoo upaone kwanza changes za haraka zinavyotokea
tembe house.jpg

Huu ni Mkoa wa Dodoma 2019 kilomita chache tu kutoka Bunge letu tukufu.
 
ummayed...mbna maelezo ni mengi...au nikupe data....mambo sijui maisha ni rahisi..hyo ni kawaida kwa nchi maskini(ldc) vitu kuwa rahisi...
na usitudanganye hapa...bei za bidhaa kenya tz hazipishana kw mbali...so porojo sitaki...

joto la jiwe...nikikuletea comments za watanzania wenzako hapa jf utakimbia...mwisho utawavua utaifa na kuwaita raia haramu...so kw comments usiguse kabisa...

imhotep..umejionea mwenyewe..kw kuongea ukwel ukavuliwa utaifa tayari....hahahaaaa.

kweli watu wa ndioo ni madondocha...mtu anaiamini ccm hata kuliko wazazi wake
 
e2409afac3f914865eb269728ae73270.jpg
maISHA+BORA.jpg

Huu ndio ukweli wa Afrika tusijidanganye
 
Pamoja na Shida zetu Wasomali wasituchezee sisi wana wa Afrika mashariki
 
kwanza ujue ummayed..kenya hatulipii kodi nyumba au kiwanja kwa serikali....labda biashara na majengo ambayo ni ya biashara..tena hayo majengo ya biashara labda city center ama town center...
 
kwanza ujue ummayed..kenya hatulipii kodi nyumba au kiwanja kwa serikali....labda biashara na majengo ambayo ni ya biashara..tena hayo majengo ya biashara labda city center ama town center...
Somo zuri.
 
But you Kenyans living in slums most of you are developed eeh?!can't you see that Tz is changing faster more than kenya.Ur projects which were done alot of years are now done by Tz government within few years and not by loans like the way Kenya do but by our own capital 90 % .stop saying Tz we are fooled by the past victory bcuz now we are victorious more than kenya
Umekosea saana kumjibu vizuri na ukweli mtupu mtu mpumbavu
 
Great minds and great countries are not bound by laws .Us is not a signtory of the ICJ ,China is still expanding it's bases in southchina sea, Russia annexed cremia in 2014 , Israel has occupied all most all of what was formerly Palestine and Kenya already made it's decision on the matter and we aren't negotiating with anyone .
What about migingo factor
 
The difference between Kenyans and Tanzanians is that most tanzanians have been brainwashed by being constantly fed with sick ideologies for years such that they don't see the ills and failures of their successive governments.
Their judgements have been clouded by past victories . You guys are still leaving in by gone eras and that's why your development is lagging behind countries with the same amount of resources and political stability. it's a shame to be classified as ldc with all the opportunities and resources .
As a country you are blessed with abudant resources and minerals.During my primary
school days I used to learn about Diamond mining in shinyanga .I also hear that you mine lots of Gold and have very huge gas reserves .Why don't we see the economic impact of this resources ?where do the revenues go to.?.....Yet your country men and women never pose for a second to ask this questions to themselves or the concerned authorities....if an independent audit were to be done. I believe Tanzania have lost trillions of dollars yet no Tanzanian have a clue about it since you are all ignorant and brainwashed .Kazi yenu ni umbeya tu...you guys even know our MPs by names yet no Kenyan even remembers the name of your vice president.
Tz hatuna past victories, we persuing them now, to the extent wakenya wengi mnapatwa na jealous
 
Sio kuwa Tz ni member wa NAM Bali ndio muanzilishi wa NAM chini ya genius nyerere
Baada ya kuona dalili za kuanguka kwa ujamaa na kugundua ubepari umetamalaki ndio Tz ikaanzisha NAM
Ila ka ukijua hata somalia ana haki ya kutetea kile alichopewa since 1960 afu si watanzania ni member wa NAM hivyo lazma ujue huwa hatuegemei upande wowote so tusubir mahakama iamue ankoo...usione ka watu wanachuki kisa hawakusaport unachotaka wakusaport poleni ilaaa
 
Mashujaa wa ukora na utapeli?? Kenya mnatia sana aibu huu ukanda yaani kila nchi inatake step forward kasoro nyie wakenya rushwa wizi yaan mnaenda nyuma wenzenu tunaenda mbele
Like I said before the amount of resources and money Tanzania has lost over the years is much more than that of Kenya and nobody is ready to admit.
 
Tz hatuna past victories, we persuing them now, to the extent wakenya wengi mnapatwa na jealous
Who is jealous of Tanzania?...I think no Kenyan is jealous of Tanzania most are preoccupied with solving their own problems very few Kenyans even know you are building sgr .You guys are the one jealous of Kenya .
 
Na km wana uchumi imara mbona hawapigi maendeleo zaid sisi tz tuliotoka nyuma tunawakuta na tutawapita hv ht maana ya uchumi imara unajua ww au unaropoka uchumi imara ni km wa Egypt ama Morocco sio wa kenya ambae mirad yake amechukua muda kuiendeleza mpk tunamkuta nina wasiwasi na ww unaishi kwa kasumba pole sana
Sasa wacha kupepeta uongo Kenya ina uchumi imara
 
Back
Top Bottom