Uhuru Kenyatta anatumia uwingi wa wabunge kubadilsha sheria kabla ya uchaguzi wa marudio kuinyamazisha mahakama

mwananyaso

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
2,995
Reaction score
3,401
Uhuru Kenyatta alisifiwa Sana kwamba ni baba wa demokrasia barani afrika na baadhi ya wanazi wa siasa za Kiki, za kukurupuka.
Sasa ameingiwa wasiwasi wa kushindwa uchaguzi wa marudio.

Je? huyu anastahili zile sifa alizopewa na wanasiasa wakiwemo wa Tanzania kwa kukanyaga demokrasia nchini Kenya?

Tujadili kwa lengo la kujifunza tabia za wanasiasa wa afrika
 
Utakuwa na mtindio wa ubongo wewe..! Sasa umeandika nini??
 
Kweli hapa ni ngumu kwa chadema kutoboa maana hata Rais wao wa Moyoni alipiga kampeni kwa uhuru, na wakina kubenea walitoa mapovu wakijiaminisha eti Democracy imekuwa nchini Kenya.
Tena kwa east Africa nchi itakayokuwa inaongoza kwa democracy ni Tanzania tu. Ndiyo maana chadema hata wakipewa nafasi jukwaani wanaongelea watu badala maendeleo ya nchi
 
Waafrika hatuwezi Demokrasia tunachohitaji ni elimu kuhusu Demokrasia. Uhuru Kenyatta yuko sahihi kuchukua hatua hizo baada ya Raila kujaribu kuivuruga nchi hiyo.
 
JUBILEE waongo sana,kwa nn mitambo ihalibike na kuwapa ushindi wao tu na sio upinzani ??
 
Waafrika hatuwezi Demokrasia tunachohitaji ni elimu kuhusu Demokrasia. Uhuru Kenyatta yuko sahihi kuchukua hatua hizo baada ya Raila kujaribu kuivuruga nchi hiyo.
Mbona Magu akiwatia adabu mnalalama?
 
Ni kipi hasa cha kujadili katika thread yako hii?!
 
Anaetoa omo + maji ni wa upande uleeee wa kubadili gear hewani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…