mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,995
- 3,401
Si ndo mlisema mpo upande wake?, au mtabadili gear angani?Tujadili nini!
Kwakua wewe ni boss wao wataipelekaModerator,
Peleka thread hii kwenye international forum
Utakuwa na mtindio wa ubongo wewe..! Sasa umeandika nini??Uhuru Kenyatta alisifiwa Sana kwamba ni baba wa demokrasia barani afrika na baadhi ya wanazi wa siasa za Kiki, za kukurupuka.
Sasa ameingiwa wasiwasi wa kushindwa uchaguzi wa marudio.
Je? huyu anastahili zile sifa alizopewa na wanasiasa wakiwemo wa Tanzania kwa kukanyaga demokrasia nchini Kenya?
Tujadili kwa lengo la kujifunza tabia za wanasiasa wa afrika
Si Kweli, njia rahisi kwenu ni kubadili gear angani, over, tumewazoeaUtakuwa na mtindio wa ubongo wewe..! Sasa umeandika nini??
JUBILEE waongo sana,kwa nn mitambo ihalibike na kuwapa ushindi wao tu na sio upinzani ??Wengine tulishasema toka awali kwamba Afrika kwenye demokrasia haichekani.
Unataka mahakama isifute uchaguzi kama tatizo ni hitilafu ya mitambo,je mitambo ikiharibiwa makusudi?
Na haya yanatokea kwenye nchi ambayo Ina katiba inayodhaniwa kuwa "mpya"
Sema tujadili nini hapo?Si ndo mlisema mpo upande wake?, au mtabadili gear angani?
Mbona Magu akiwatia adabu mnalalama?Waafrika hatuwezi Demokrasia tunachohitaji ni elimu kuhusu Demokrasia. Uhuru Kenyatta yuko sahihi kuchukua hatua hizo baada ya Raila kujaribu kuivuruga nchi hiyo.
Ni kipi hasa cha kujadili katika thread yako hii?!Uhuru Kenyatta alisifiwa Sana kwamba ni baba wa demokrasia barani afrika na baadhi ya wanazi wa siasa za Kiki, za kukurupuka.
Sasa ameingiwa wasiwasi wa kushindwa uchaguzi wa marudio.
Je? huyu anastahili zile sifa alizopewa na wanasiasa wakiwemo wa Tanzania kwa kukanyaga demokrasia nchini Kenya?
Tujadili kwa lengo la kujifunza tabia za wanasiasa wa afrika
Vip!, nmepiga Pentagon?Ni kipi hasa cha kujadili katika thread yako hii?!