Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,373
- 6,084
Rais Uhuru na Rais Museveni wameona jinsi ya kupambana na vyama vya upinzani lazima wafuate style ya Rais Magufuli katika ku deal nao.Mbona Magu akiwatia adabu mnalalama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais Uhuru na Rais Museveni wameona jinsi ya kupambana na vyama vya upinzani lazima wafuate style ya Rais Magufuli katika ku deal nao.Mbona Magu akiwatia adabu mnalalama?
Kuliko kumtukana kwa nini usimchalenji alipokosea kuliko kumtukana? Toa hoja zako pale alipokoseaUtakuwa na mtindio wa ubongo wewe..! Sasa umeandika nini??
Kwahiyo kifuatacho ni kubadili gear angani sioRais Uhuru na Rais Museveni wameona jinsi ya kupambana na vyama vya upinzani lazima wafuate style ya Rais Magufuli katika ku deal nao.
Hii ni mitego huwa wanawekewa nchi za kiafrica kuwagombanisha kuhusu maswala ya uchaguzi kuamliwa na mahakamaWengine tulishasema toka awali kwamba Afrika kwenye demokrasia haichekani.
Unataka mahakama isifute uchaguzi kama tatizo ni hitilafu ya mitambo,je mitambo ikiharibiwa makusudi?
Na haya yanatokea kwenye nchi ambayo Ina katiba inayodhaniwa kuwa "mpya"
Kuna jamaa amehojiwa Kenya akasema mtu yoyote anaweza pinga jaribio hilo mahakamani.Hatafanikiwa atakwama
Kwa hiyo ccm huwa ipo sawa, sasa kwa nini huwa mnatoka nje?Hata kutumia wingi wa wabunge kubadili sheria pia Ni demokrasia.
CCM wako sawa pia wanaotoka wako sawa. Vyote ni demokrasia !Kwa hiyo ccm huwa ipo sawa, sasa kwa nini huwa mnatoka nje?
Umejibu vzri sana mtu kama wewe nakupa heshima kuwa ni mtu uliye na msimamo wa kati, big up men..CCM wako sawa pia wanaotoka wako sawa. Vyote ni demokrasia !
Uhuru Kenyatta alisifiwa Sana kwamba ni baba wa demokrasia barani afrika na baadhi ya wanazi wa siasa za Kiki, za kukurupuka.
Sasa ameingiwa wasiwasi wa kushindwa uchaguzi wa marudio.
Je? huyu anastahili zile sifa alizopewa na wanasiasa wakiwemo wa Tanzania kwa kukanyaga demokrasia nchini Kenya?
Tujadili kwa lengo la kujifunza tabia za wanasiasa wa afrika
Tatzo kundi kubwa la wanasiasa waliomsifia uhuru kenyata ni wale wale wa siku zote wanaishi kama MANYUMBU hawajui wanataka nin wanaishi kutokana na kiki ,,waendelee kusifia yanayoendeleaUhuru Kenyatta alisifiwa Sana kwamba ni baba wa demokrasia barani afrika na baadhi ya wanazi wa siasa za Kiki, za kukurupuka.
Sasa ameingiwa wasiwasi wa kushindwa uchaguzi wa marudio.
Je? huyu anastahili zile sifa alizopewa na wanasiasa wakiwemo wa Tanzania kwa kukanyaga demokrasia nchini Kenya?
Tujadili kwa lengo la kujifunza tabia za wanasiasa wa afrika
Si Odinga pia amesifiwa ati amepigania demokrasia na utawala wa sheria lakini ukiangalia vyema ni unafiki mtupu.Uhuru Kenyatta alisifiwa Sana kwamba ni baba wa demokrasia barani afrika na baadhi ya wanazi wa siasa za Kiki, za kukurupuka.
Sasa ameingiwa wasiwasi wa kushindwa uchaguzi wa marudio.
Je? huyu anastahili zile sifa alizopewa na wanasiasa wakiwemo wa Tanzania kwa kukanyaga demokrasia nchini Kenya?
Tujadili kwa lengo la kujifunza tabia za wanasiasa wa afrika