Uhuru Kenyatta anatumia uwingi wa wabunge kubadilsha sheria kabla ya uchaguzi wa marudio kuinyamazisha mahakama

Uhuru Kenyatta anatumia uwingi wa wabunge kubadilsha sheria kabla ya uchaguzi wa marudio kuinyamazisha mahakama

Rais Uhuru na Rais Museveni wameona jinsi ya kupambana na vyama vya upinzani lazima wafuate style ya Rais Magufuli katika ku deal nao.
Kwahiyo kifuatacho ni kubadili gear angani sio
 
Wengine tulishasema toka awali kwamba Afrika kwenye demokrasia haichekani.

Unataka mahakama isifute uchaguzi kama tatizo ni hitilafu ya mitambo,je mitambo ikiharibiwa makusudi?

Na haya yanatokea kwenye nchi ambayo Ina katiba inayodhaniwa kuwa "mpya"
Hii ni mitego huwa wanawekewa nchi za kiafrica kuwagombanisha kuhusu maswala ya uchaguzi kuamliwa na mahakama
America akisha tanganzwa na tume ndo kwisha
Nchi zingine Africa majaji wawili mmoja wa tume ya uchaguzi mgene wa mahakama
Mwiso wake ndo malumbano
 
Hatafanikiwa atakwama
Kuna jamaa amehojiwa Kenya akasema mtu yoyote anaweza pinga jaribio hilo mahakamani.
Inatakiwa kabla ya kubadili sheria hizo ni lazima kuna kamati zikae kujadili ndipo bunge libadili, naona anakurupuka hovyo
 
Uhuru alitarajia kubebwa na Jamie mkuu....
Na ilipokua kinyume chake, akajikuta anaweweseka
 
Uhuru Kenyatta alisifiwa Sana kwamba ni baba wa demokrasia barani afrika na baadhi ya wanazi wa siasa za Kiki, za kukurupuka.
Sasa ameingiwa wasiwasi wa kushindwa uchaguzi wa marudio.

Je? huyu anastahili zile sifa alizopewa na wanasiasa wakiwemo wa Tanzania kwa kukanyaga demokrasia nchini Kenya?

Tujadili kwa lengo la kujifunza tabia za wanasiasa wa afrika

1. Uwingi (majority) ndio basis ya democracy. Yaani majority wins.
Sioni lolote mbaya kutumia majority kubadilisha sheria. Hivo ndivo iko kila pahali. Ata saa hii Trump anajaribu kutumia majority yake kubadilisha Obamacare.

2. Uhuru/Jubilee hajaleta sheria mpya. Anachofanya ni kubadilisha kidogo, yaani amendment. Kabla ya kuandikika taka taka, ni vizuri kuisome ndivo ujiamulie.

Mabadilisho yanayoletwa ni kama:

- Manual transmission ifanywe primary kisheria, electronic iwe secondary. (Sheria ya sasa inasema vivi hivi, lakini haiko categorical.. yaani kuna grey area). Amendment ya Jubilee inaifanya iwe crystal clear.

- Kukiwa na tofauti kati ya electronic na manual results, manual ndio kuu. Yaani results zinazotangaza kwenye eneo bunge na kuandikwa kwenye Form 34B ndizo za mwisho. (Sheria ya sasa inasema vivi hivi, lakini majaji wa Supreme Court wakabadilisha wakasema kilicho kwenye electronic server ni muhimu.) Jubilee inataka kuondoa shaka.

- Returning officer au presiding officer watakao kataa kuweka sahihi kwenye Form 34A au 34B kimaksudi, watafungwa miaka 5. Hii ni kuhakikisha kwamba hakuna sabotage, kwa sababu Supreme Court ilisema sahihi ni lazima.

In short, haya mabadiliko ya Jubilee hayaleti mapya. Ilhali yanaondoa grey areas ili kuhahikisha Supreme Court haitanullify tena based on assumptions.
 
Uhuru Kenyatta alisifiwa Sana kwamba ni baba wa demokrasia barani afrika na baadhi ya wanazi wa siasa za Kiki, za kukurupuka.
Sasa ameingiwa wasiwasi wa kushindwa uchaguzi wa marudio.

Je? huyu anastahili zile sifa alizopewa na wanasiasa wakiwemo wa Tanzania kwa kukanyaga demokrasia nchini Kenya?

Tujadili kwa lengo la kujifunza tabia za wanasiasa wa afrika
Tatzo kundi kubwa la wanasiasa waliomsifia uhuru kenyata ni wale wale wa siku zote wanaishi kama MANYUMBU hawajui wanataka nin wanaishi kutokana na kiki ,,waendelee kusifia yanayoendelea
 
Uhuru thinks he can bring the Uganda style here in Kenya?
Young man you are dreaming.
 
Uhuru Kenyatta alisifiwa Sana kwamba ni baba wa demokrasia barani afrika na baadhi ya wanazi wa siasa za Kiki, za kukurupuka.
Sasa ameingiwa wasiwasi wa kushindwa uchaguzi wa marudio.

Je? huyu anastahili zile sifa alizopewa na wanasiasa wakiwemo wa Tanzania kwa kukanyaga demokrasia nchini Kenya?

Tujadili kwa lengo la kujifunza tabia za wanasiasa wa afrika
Si Odinga pia amesifiwa ati amepigania demokrasia na utawala wa sheria lakini ukiangalia vyema ni unafiki mtupu.

Sasa mwone alipenda sana ile maamuzi ya majority yaani majaji 4 vs 2 lakini NASA wakisikia ati Jubilee watatumia majority yao bunge wanasema hilo jambo sio sawa.
 
Huo ndio upuuzi wa vyama tawala EAC ,kwenye siasa ya vyama vingi.lakini muda utafika tu.kitaeleweka.
 
He must be like Magufuli kwani waafrika hawajui maana ya Demokrasia. Nasikia kuna mbunge alimwita Rais Uhuru kuwa mtoto wa mbwa.
 
164a32343dd332ea9460452c19784487.jpg
 
Back
Top Bottom