Uhuru Kenyatta anatumia uwingi wa wabunge kubadilsha sheria kabla ya uchaguzi wa marudio kuinyamazisha mahakama

Uhuru Kenyatta anatumia uwingi wa wabunge kubadilsha sheria kabla ya uchaguzi wa marudio kuinyamazisha mahakama

Go Mr President wanyooshe kabisa, wakati wao wanaandamana bure Uhuru Kenyatta anatumia njia zinazofaa kupitia bunge kuchapa strategy zake! Achana na hao machizi wa NASA, na bado watakiona cha moto!
 
Jaji Lubuva aliposema hatuna cha Kujifunza kutoka Kenya hakukosea.

#tuacheni_na_baba_yetu_wa_demokrasia_afrika
in CHADEMA'S voice
 
Uhuru Kenyatta alisifiwa Sana kwamba ni baba wa demokrasia barani afrika na baadhi ya wanazi wa siasa za Kiki, za kukurupuka.
Sasa ameingiwa wasiwasi wa kushindwa uchaguzi wa marudio.

Je? huyu anastahili zile sifa alizopewa na wanasiasa wakiwemo wa Tanzania kwa kukanyaga demokrasia nchini Kenya?

Tujadili kwa lengo la kujifunza tabia za wanasiasa wa afrika


Wanasiasa Dunia nzima hufanya hivyo siyo Afrika tu, wote wanapokuwa na majority Bungeni huitumia kwa maslahi yao binafsi na siyo ya nchi na hii ni Dunia nzima na ndiyo maana Demokrasia huitwa ,, tyranny of the majority"!
 
Wanasiasa Dunia nzima hufanya hivyo siyo Afrika tu, wote wanapokuwa na majority Bungeni huitumia kwa maslahi yao binafsi na siyo ya nchi na hii ni Dunia nzima na ndiyo maana Demokrasia huitwa ,, tyranny of the majority"!
Kwahiyo mtu au kikundi kinaweza cheza faulo kwa kisingizio cha demokrasia?, kama Uhuru Kenyatta?
 
Kwahiyo mtu au kikundi kinaweza cheza faulo kwa kisingizio cha demokrasia?, kama Uhuru Kenyatta?


Ndiyo maanake maadamu ni kwa mujibu wa Katiba yao, ndiyo maana ya ,,tyranny of the majority"!
 
Babaako angejua pesa aliyo kulipia ada bora angehonga demu mpya akajipigia hata goli mbili. Maana hujui ulicho kiandika!!!! alaf unataka tujadili sasa tutajadili nini wakati hata hiyo sheria hujaitaja pumbaf!!!!?????!!!
 
Mlisema Kenya is the centre of democracy in East Africa, if not the whole Continent ...tulieni tu hivyohivyo tusibugudhiane.
 
164a32343dd332ea9460452c19784487.jpg
Brilliant !
 
Wabongo walimsifia sana kuhusu Demokrasia. Ndio hii sasa.. CHADEMA
 
Wengine tulishasema toka awali kwamba Afrika kwenye demokrasia haichekani.

Unataka mahakama isifute uchaguzi kama tatizo ni hitilafu ya mitambo,je mitambo ikiharibiwa makusudi?

Na haya yanatokea kwenye nchi ambayo Ina katiba inayodhaniwa kuwa "mpya"
Uzuri ni kwamba sheria imechukua mkondo wake
 
Back
Top Bottom