Uhuru Kenyatta alisifiwa Sana kwamba ni baba wa demokrasia barani afrika na baadhi ya wanazi wa siasa za Kiki, za kukurupuka.
Sasa ameingiwa wasiwasi wa kushindwa uchaguzi wa marudio.
Je? huyu anastahili zile sifa alizopewa na wanasiasa wakiwemo wa Tanzania kwa kukanyaga demokrasia nchini Kenya?
Tujadili kwa lengo la kujifunza tabia za wanasiasa wa afrika
1. Uwingi (majority) ndio basis ya democracy. Yaani majority wins.
Sioni lolote mbaya kutumia majority kubadilisha sheria. Hivo ndivo iko kila pahali. Ata saa hii Trump anajaribu kutumia majority yake kubadilisha Obamacare.
2. Uhuru/Jubilee hajaleta sheria mpya. Anachofanya ni kubadilisha kidogo, yaani amendment. Kabla ya kuandikika taka taka, ni vizuri kuisome ndivo ujiamulie.
Mabadilisho yanayoletwa ni kama:
- Manual transmission ifanywe primary kisheria, electronic iwe secondary. (Sheria ya sasa inasema vivi hivi, lakini haiko categorical.. yaani kuna grey area). Amendment ya Jubilee inaifanya iwe crystal clear.
- Kukiwa na tofauti kati ya electronic na manual results, manual ndio kuu. Yaani results zinazotangaza kwenye eneo bunge na kuandikwa kwenye Form 34B ndizo za mwisho. (Sheria ya sasa inasema vivi hivi, lakini majaji wa Supreme Court wakabadilisha wakasema kilicho kwenye electronic server ni muhimu.) Jubilee inataka kuondoa shaka.
- Returning officer au presiding officer watakao kataa kuweka sahihi kwenye Form 34A au 34B kimaksudi, watafungwa miaka 5. Hii ni kuhakikisha kwamba hakuna sabotage, kwa sababu Supreme Court ilisema sahihi ni lazima.
In short, haya mabadiliko ya Jubilee hayaleti mapya. Ilhali yanaondoa grey areas ili kuhahikisha Supreme Court haitanullify tena based on assumptions.