Uhuru Kenyatta anatumia uwingi wa wabunge kubadilsha sheria kabla ya uchaguzi wa marudio kuinyamazisha mahakama

Go Mr President wanyooshe kabisa, wakati wao wanaandamana bure Uhuru Kenyatta anatumia njia zinazofaa kupitia bunge kuchapa strategy zake! Achana na hao machizi wa NASA, na bado watakiona cha moto!
 
Jaji Lubuva aliposema hatuna cha Kujifunza kutoka Kenya hakukosea.

#tuacheni_na_baba_yetu_wa_demokrasia_afrika
in CHADEMA'S voice
 


Wanasiasa Dunia nzima hufanya hivyo siyo Afrika tu, wote wanapokuwa na majority Bungeni huitumia kwa maslahi yao binafsi na siyo ya nchi na hii ni Dunia nzima na ndiyo maana Demokrasia huitwa ,, tyranny of the majority"!
 
Wanasiasa Dunia nzima hufanya hivyo siyo Afrika tu, wote wanapokuwa na majority Bungeni huitumia kwa maslahi yao binafsi na siyo ya nchi na hii ni Dunia nzima na ndiyo maana Demokrasia huitwa ,, tyranny of the majority"!
Kwahiyo mtu au kikundi kinaweza cheza faulo kwa kisingizio cha demokrasia?, kama Uhuru Kenyatta?
 
Kwahiyo mtu au kikundi kinaweza cheza faulo kwa kisingizio cha demokrasia?, kama Uhuru Kenyatta?


Ndiyo maanake maadamu ni kwa mujibu wa Katiba yao, ndiyo maana ya ,,tyranny of the majority"!
 
Babaako angejua pesa aliyo kulipia ada bora angehonga demu mpya akajipigia hata goli mbili. Maana hujui ulicho kiandika!!!! alaf unataka tujadili sasa tutajadili nini wakati hata hiyo sheria hujaitaja pumbaf!!!!?????!!!
 
Mlisema Kenya is the centre of democracy in East Africa, if not the whole Continent ...tulieni tu hivyohivyo tusibugudhiane.
 
Wabongo walimsifia sana kuhusu Demokrasia. Ndio hii sasa.. CHADEMA
 
Uzuri ni kwamba sheria imechukua mkondo wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…