Uhuru Kenyatta asubiriwa kwenye mdahalo wa urais Kenya

Ndiyo tuna watch TV za Kenya amjui tz inawatunzieni amani mkichapana tunakuja kuwa chapa na jwtz ila kwajinsi mlivyo tufanyia dharau lazima mkichapana tuwaache kidogo mnyoshane[emoji111]
 
Ndiyo tuna watch TV za Kenya amjui tz inawatunzieni amani mkichapana tunakuja kuwa chapa na jwtz ila kwajinsi mlivyo tufanyia dharau lazima mkichapana tuwaache kidogo mnyoshane[emoji111]
Sawa baba .....ukimaliza ndoto yako amka unusie Coffee ya 3bn$ defense expenditure ya Kenya Against 560mn$ ya TZ ....njooni ...tuta wanyorosha alafu tujenge pipeline ya gesi tuwaongoze mpaka tuwe Developed ndio mtatiii...anyway cant wait for TZ to do some stupid clusterfuck action that will prompt colonization!!--since beginning of time Neighbouring Nations Make The Worst enemies its only a matter of time

USA- Russia
USA- Japan (1945)
Japan- Australia
Ukraine-Russia
France Germany 1820-1950
Mexico USA war
Palestine Israel
North South Korea
Morocco Western Saharawi
West East Germany 1970


Cant wait ......mtajidanganya ..lakini ile siku mtaiguza Kenya Mtaimba kwa Lugha zenu za Kiafrika ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
If The British Airforce Had to drop 6mn Bombs on MauMau a Kenyan Rebel Group in 1950 ...mostly then it was cluster bombs probably 10,000 KGS each so probably 1bn tonnes of Explosives to handle just 1 kenyan Tribe mnajidanganya/ mnadhania kuvaamia 45 Kenyan Tribes that are Militarily and Economically Superior to You will be a walk in The park? [emoji23][emoji23][emoji23] its like Education in TZ inaingilia sikio moja na kupotelea nyingine


Njooni Muijaribu Kenya Tafadhali ndio mtajua Wakati wa External interference Wakenya Huungana Pamoja ....just look at Kenyan Online platforms abroad ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msingi wa jwtz ulijengwa kupigana na jeshi lenye nguvu kutuzidi na kulishinda ndo mana tulitoa mafunzo kwa vikosi vya wapigania Uhuru mm naionea fahari hiyo bajeti ndogo mana inauwezo wa kupiga jeshi lenye bajeti ya $20Bil
 
Sisi Tunawatch TV stations za Dunia nzima..
Soma tena hiyo comment yako halafu angalia kama kichwa yako iko sawa..
 
Bora umemjibu huyo dogo ni mjinga sana, comment yake ni ya kitoto sana na inafanya watu tuone Jamii ya wakenya wengi ni Vilaza kama huyu.
 
Acha ujinga wewe. Unasema Watu wanasura mbaya Kwan wamejiumba sasa. Heshimu binadam wenzio bana
 
Tanzania tuna mambo ya kujifunza Toka Kenya
 

We mpuuzi kila kitu kwako ni mashindano tu, msipoangalia tv za Tz mnatupunguzia nini kwa mfano? Haya tunaangalia tv za Kenya kama umechukja kanye boga
 
Labda,,lakini kama yako yako sawa,,basi hebu niambie vile alivyo sema ila tuu,,kujipotezea
kura kwa kusema eti atapunguza rent ya nyumba za kukodesha.

Anahaki ya kufanya hivyo kwa nyumba alizo jenga na pesa zake lakini nyumba
za kibinafsi,,,,,he he he, either yeye ni mlevi sana hata akawa,, rais wakenya,, hilo
haliwezekani.

Na likiwezekana,,basi wenye manyumba wana uwezo wakubadilisha na kuzifanyia
biashara zingine na kumwachia bw Odinga hio biashara ya manyumba.

Kenya ni,,,capitalism,,,mr Odinga,,, and will never go socialism,,wake up
and live,,sir.


Hizo ni ndoto tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…