Kenya 2022 Uhuru Kenyatta atangaza kumuunga mkono Raila Odinga nasi Tanzania tumuombee Tundu Lissu amuunge mkono Rais Samia 2025!

Kenya 2022 Uhuru Kenyatta atangaza kumuunga mkono Raila Odinga nasi Tanzania tumuombee Tundu Lissu amuunge mkono Rais Samia 2025!

Kenya 2022 General Election
Mama amuunge mkono Lissu akae pembeni kwanza nadhani hakuwahi kuwa na ndoto za kuwa rais ni umemuangukia tu ampishe Lissu 2025.
 
Kumbuka Kenyata ni Rais anamuunga mkono mpinzani ili achukue nchi amkabidhi kiti. Sasa mtoa mada rekebisha kichwa chako
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Siasa siyo uadui.

Tundu Lisu wa Chadema atangaze kumuunga mkono mgombea urais wa CCM mama yetu Samia mnamo 2025 nasi tutamfikiria 2030.

Siasa siyo uadui bwashee

Siasa ni mipango.

Maendeleo hayana vyama!
CCM ni kansa ya taifa.
 
Siasa siyo uadui.

Tundu Lisu wa Chadema atangaze kumuunga mkono mgombea urais wa CCM mama yetu Samia mnamo 2025 nasi tutamfikiria 2030.

Siasa siyo uadui bwashee

Siasa ni mipango.

Maendeleo hayana vyama!

Hiyo sio synonyms ungesema Samia amuunge mkono Lissu
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Odinga asijekuwa tu anachezewa picha.

Maana Ruto na Uhuru walikua marafiki wakubwa na washirika,

Ghafla tu wametofautiana na Uhuru kahamia kambi ya Odinga.

Odinga anaweza jikuta katika wakati mgumu sana.
Odinga odinga Hana bahati alisalitiwa na Moi akasalitiwa na Kibaki labda tuone hii itakuaje
 
Tundu lisu na Samia ni kitu kimoja wote Bosi wao ni mmoja, bora hata ungesema Mbowe angalau ana utu klk hao!
Wabongo bhana! Ndo maana tunaambiwa “system” ndiyo inaamua na siyo wananchi.
 
Namshangaa. System ishamkataa. Hatokaa. Kwanza anaweza ishi huko milele.
Kwani “system” ni kitu gani zaidi ya tabaka tu linalolinda maslahi yao wao binafsi.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Siasa siyo uadui.

Tundu Lisu wa Chadema atangaze kumuunga mkono mgombea urais wa CCM mama yetu Samia mnamo 2025 nasi tutamfikiria 2030.

Siasa siyo uadui bwashee

Siasa ni mipango.

Maendeleo hayana vyama!
Usimfananishe Kenyata na vitu vya ajabu ajabu kama vya Lumumba.
 
Hakuna mfanano wa hicho unachopendekeza. Huyu Hangaya ataungwa mkono na wanawake na Wazanzibari wenzake.
 
Siasa siyo uadui.

Tundu Lisu wa Chadema atangaze kumuunga mkono mgombea urais wa CCM mama yetu Samia mnamo 2025 nasi tutamfikiria 2030.

Siasa siyo uadui bwashee

Siasa ni mipango.

Maendeleo hayana vyama!
Una maana mr #dishlimetilt afikiriwe kuwa Rais?
 
Siasa siyo uadui.

Tundu Lisu wa Chadema atangaze kumuunga mkono mgombea urais wa CCM mama yetu Samia mnamo 2025 nasi tutamfikiria 2030.

Siasa siyo uadui bwashee

Siasa ni mipango.

Maendeleo hayana vyama!
Tatizo umeongea kinyume na huo mfano wako
ulitakiwa useme hivi ... Samia amuunge mkono Lissu..
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Back
Top Bottom