joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Katika hali inayoonyesha Uhuru Kenyatta kumkubali na kuhusudu utendaji kazi wa rais Magufuli, ameamua kuiga yale yote alitofanya Magufuli katika kupambana na rushwa na uzembe katika serikali yake.
Itakumbukwa kwamba katika kipindi cha kampeni wa uchaguzi huko Kenya, wanasiasa wengi walitumia jina la Magufuli na kuahidi kwamba endapo wangechaguliwa, basi wangefanya kama Magufuli.
Akiwa Machakosi, Uhuru Kenyatta akiwa na shauku kuonyesha kwamba anaanza kufanikiwa kupigana na ufisadi, amesema wameanza zoezi la kutafuta watumishi hewa serikalini na hadi sasa hivi wameshawagundua zaidi ya 5000.
Tukumbuke kwamba, Mara tu baada ya kuingia madarakani, Magufuli alianza hizi kampeni za watumishi hewa na wenye vyeti feki, ila kwa UhuruKenyatta imemchukua zaidi ya miaka saba, hii inamaana kwamba alikua hajui kama kuna hilo tatizo katika serikali yake?, kama sio Magufuli, huenda angemaliza miaka yake kumi na kuondoka bila kulishughulikia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakumbukwa kwamba katika kipindi cha kampeni wa uchaguzi huko Kenya, wanasiasa wengi walitumia jina la Magufuli na kuahidi kwamba endapo wangechaguliwa, basi wangefanya kama Magufuli.
Akiwa Machakosi, Uhuru Kenyatta akiwa na shauku kuonyesha kwamba anaanza kufanikiwa kupigana na ufisadi, amesema wameanza zoezi la kutafuta watumishi hewa serikalini na hadi sasa hivi wameshawagundua zaidi ya 5000.
Tukumbuke kwamba, Mara tu baada ya kuingia madarakani, Magufuli alianza hizi kampeni za watumishi hewa na wenye vyeti feki, ila kwa UhuruKenyatta imemchukua zaidi ya miaka saba, hii inamaana kwamba alikua hajui kama kuna hilo tatizo katika serikali yake?, kama sio Magufuli, huenda angemaliza miaka yake kumi na kuondoka bila kulishughulikia.
Sent using Jamii Forums mobile app