Uhuru Kenyatta atumia jeshi baada ya mgomo wa wafanyakazi JIA, lakini akitumia Rais Magufuli hapa kwetu ni dikteta!

Uhuru Kenyatta atumia jeshi baada ya mgomo wa wafanyakazi JIA, lakini akitumia Rais Magufuli hapa kwetu ni dikteta!

Mkuu mleta mada,labda tu hujui.Pale JNIA kitengo cha Usalama na Ukaguzi wale unaowaona karibu 75% ni wanajeshi toka JWTZ,tofauti ni kuwa wale hawavai sare za JWTZ lakini wengi ni wanajeshi walioazimwa toka jeshini.Hivyo hata kabla ya wewe kusema,tayari pale JNIA kuna wanajeshi kuanzia kitengo cha Usalama na Ukaguzi,Waongoza ndege na hata nasikia waegesha ndege.

Pale JNIA pia huwa kuna kitengo cha kutegua mabomu,na hiki kiliimarishwa zaidi baada ya mashambulio ya Ugaidi,na wapo pale kwa masaa 24 ili kukabiliana na tatizo lolote linalohusu tishio la bomu eneo la kiwanja.Pia kuna patrol ya masaa 24(hii sina hakika kama bado ipo mpaka leo),hawa nao ni JWTZ,wanaofanya "patrol" pale uwanjani kuzunguka eneo lote kwa masaa 24.

Kwa hiyo hata kabla ya aina hiyo ya rabsha ya JOMO KENYATA sisi tulishakuwa na JWTZ katika kiwanja chetu na wanafanya kazi kwa ufanisi mkubwa.Kifupi kiwanja bila "attachment" ya jeshi ni sawa na nyumba bila komeo,walichofanya Kenya leo ni kuleta tu wenye uniform,ambao sisi Tz tayari tunao ili ni vile tu huwa hawavai uniform
NI KWELI NINA RAFIKI YANGU MJEDA YUPO,JNIA,
 
Korosho Ilikuwa ni emergency au usalama kama ilivyofanyika Kenya?
Jeshi Ni chombo cha usalama ambacho hutumika kukiwa na emergency sababu huwa muda wote lipo tayari na kwa mara nyingi hapa kwetu Rais wetu amekuwa akilitumia mara kwa mara punde kunapotokea emergency yoyote, na huwa analiamini kwa kufanya shughuli kwa ufanisi, haraka na kwa gharama sawa na bure.

Leo jirani yetu Kenya kumetokea mgomo wa wafanya kazi na Rais Uhuru Kenyatta akaamuru KDF kuingilia kati kwa kufanya shughuli zote baada ya wafanyakazi kugoma.

je, katumia busara kulitumia jeshi badala ya kukaa na wafanyakazi waliogoma na kumaliza mgomo wao?

Kwetu hapa malalamiko haya yangekuwepo watu wagome na Rais aamuru jeshi kunusuru hii hali angeandikwa ni DIKTETA hilo halina ubishi.

Je, ingekuwa hapa kwetu stori zingekuwaje make huwa kuna malalamiko kwa kutumia jeshi kila wakati.

Sent using Jamii Forums mobile app

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
Jeshi Ni chombo cha usalama ambacho hutumika kukiwa na emergency sababu huwa muda wote lipo tayari na kwa mara nyingi hapa kwetu Rais wetu amekuwa akilitumia mara kwa mara punde kunapotokea emergency yoyote, na huwa analiamini kwa kufanya shughuli kwa ufanisi, haraka na kwa gharama sawa na bure.

Leo jirani yetu Kenya kumetokea mgomo wa wafanya kazi na Rais Uhuru Kenyatta akaamuru KDF kuingilia kati kwa kufanya shughuli zote baada ya wafanyakazi kugoma.

je, katumia busara kulitumia jeshi badala ya kukaa na wafanyakazi waliogoma na kumaliza mgomo wao?

Kwetu hapa malalamiko haya yangekuwepo watu wagome na Rais aamuru jeshi kunusuru hii hali angeandikwa ni DIKTETA hilo halina ubishi.

Je, ingekuwa hapa kwetu stori zingekuwaje make huwa kuna malalamiko kwa kutumia jeshi kila wakati.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu udikteta hauangaliwi kwenye jambo moja pekee. Kumbuka maridhiano ya Uhuru na upinzani, ruksa Kenya ya migomo, maandamano, mikutano, yaani right of assembly, expression nk.

Angalia harassment ya wapinzani kwa Magufuli ukilinganisha na kwa Kenyatta.

Bado tunayo safari ndefu.
 
Uko sahihi,ila sio viwanja vyote duniani vina attachment ya jeshi,nchi zilizoendelea na ambazo ni tulivu kisiasa ni local polisi tu na mafisa usalama wachache wanaosimamia usalama kiwanjani
Mkuu mleta mada,labda tu hujui.Pale JNIA kitengo cha Usalama na Ukaguzi wale unaowaona karibu 75% ni wanajeshi toka JWTZ,tofauti ni kuwa wale hawavai sare za JWTZ lakini wengi ni wanajeshi walioazimwa toka jeshini.Hivyo hata kabla ya wewe kusema,tayari pale JNIA kuna wanajeshi kuanzia kitengo cha Usalama na Ukaguzi,Waongoza ndege na hata nasikia waegesha ndege.

Pale JNIA pia huwa kuna kitengo cha kutegua mabomu,na hiki kiliimarishwa zaidi baada ya mashambulio ya Ugaidi,na wapo pale kwa masaa 24 ili kukabiliana na tatizo lolote linalohusu tishio la bomu eneo la kiwanja.Pia kuna patrol ya masaa 24(hii sina hakika kama bado ipo mpaka leo),hawa nao ni JWTZ,wanaofanya "patrol" pale uwanjani kuzunguka eneo lote kwa masaa 24.

Kwa hiyo hata kabla ya aina hiyo ya rabsha ya JOMO KENYATA sisi tulishakuwa na JWTZ katika kiwanja chetu na wanafanya kazi kwa ufanisi mkubwa.Kifupi kiwanja bila "attachment" ya jeshi ni sawa na nyumba bila komeo,walichofanya Kenya leo ni kuleta tu wenye uniform,ambao sisi Tz tayari tunao ili ni vile tu huwa hawavai uniform

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
Mruhusu wafanyakazi ambao hawajaongezwa mishahara wagome kama Kenya halafu mpeleke jeshi kuchukua nafasi zao
Lissu ana maoni gani?

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
Ni nchi pumbavu pekee ambayo itakuwa haina workforce mbadala kukitokea tatizo, hivi hujiulizi madaraja yakiharibika kwa nini jwtz wanaenda kuweka ya dharura , tusidharau majeshi wala usidhani wanakula na kulala bure kukiwa hamna vita
 
Uko sahihi,ila sio viwanja vyote duniani vina attachment ya jeshi,nchi zilizoendelea na ambazo ni tulivu kisiasa ni local polisi tu na mafisa usalama wachache wanaosimamia usalama kiwanjani

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
Kwenye suala la Operation ni kweli wameachiwa watu binafsi,kwa mfano Amsterdam wapo kampuni binafsi tu,lakini jeshi lipo kwa maana ya kusikilizia lolote litakalotokea.Uwanja ni kama mpaka,hauwezi ukaachwa bila jeshi mkuu.
 
Jeshi Ni chombo cha usalama ambacho hutumika kukiwa na emergency sababu huwa muda wote lipo tayari na kwa mara nyingi hapa kwetu Rais wetu amekuwa akilitumia mara kwa mara punde kunapotokea emergency yoyote, na huwa analiamini kwa kufanya shughuli kwa ufanisi, haraka na kwa gharama sawa na bure.

Leo jirani yetu Kenya kumetokea mgomo wa wafanya kazi na Rais Uhuru Kenyatta akaamuru KDF kuingilia kati kwa kufanya shughuli zote baada ya wafanyakazi kugoma.

je, katumia busara kulitumia jeshi badala ya kukaa na wafanyakazi waliogoma na kumaliza mgomo wao?

Kwetu hapa malalamiko haya yangekuwepo watu wagome na Rais aamuru jeshi kunusuru hii hali angeandikwa ni DIKTETA hilo halina ubishi.

Je, ingekuwa hapa kwetu stori zingekuwaje make huwa kuna malalamiko kwa kutumia jeshi kila wakati.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia jeshi kwa akili basi hasa pale ambapo hakuna alternative siyo kila jambo ni la kutumia jeshi.
 
Mkuu mleta mada,labda tu hujui.Pale JNIA kitengo cha Usalama na Ukaguzi wale unaowaona karibu 75% ni wanajeshi toka JWTZ,tofauti ni kuwa wale hawavai sare za JWTZ lakini wengi ni wanajeshi walioazimwa toka jeshini.Hivyo hata kabla ya wewe kusema,tayari pale JNIA kuna wanajeshi kuanzia kitengo cha Usalama na Ukaguzi,Waongoza ndege na hata nasikia waegesha ndege.

Pale JNIA pia huwa kuna kitengo cha kutegua mabomu,na hiki kiliimarishwa zaidi baada ya mashambulio ya Ugaidi,na wapo pale kwa masaa 24 ili kukabiliana na tatizo lolote linalohusu tishio la bomu eneo la kiwanja.Pia kuna patrol ya masaa 24(hii sina hakika kama bado ipo mpaka leo),hawa nao ni JWTZ,wanaofanya "patrol" pale uwanjani kuzunguka eneo lote kwa masaa 24.

Kwa hiyo hata kabla ya aina hiyo ya rabsha ya JOMO KENYATA sisi tulishakuwa na JWTZ katika kiwanja chetu na wanafanya kazi kwa ufanisi mkubwa.Kifupi kiwanja bila "attachment" ya jeshi ni sawa na nyumba bila komeo,walichofanya Kenya leo ni kuleta tu wenye uniform,ambao sisi Tz tayari tunao ili ni vile tu huwa hawavai uniform
Asante mkuu barafu kwa ufafanuzi wako mzuri, wengi tumekuelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kulinganisha kenya na Tanzania ni sawa na kulinganisha mwanamke na mwanaume? kenya wanaishi binadamu, Tanzania wanaishi maishi wanaotembea! jitu halijaongezewa mshahara MIAKA 3 kisha kila siku linaenda ofisini. ukiliuliza linakwambia limesoma?
Hiii ni ngumu sana kumeza!
 
Jeshi Ni chombo cha usalama ambacho hutumika kukiwa na emergency sababu huwa muda wote lipo tayari na kwa mara nyingi hapa kwetu Rais wetu amekuwa akilitumia mara kwa mara punde kunapotokea emergency yoyote, na huwa analiamini kwa kufanya shughuli kwa ufanisi, haraka na kwa gharama sawa na bure.

Leo jirani yetu Kenya kumetokea mgomo wa wafanya kazi na Rais Uhuru Kenyatta akaamuru KDF kuingilia kati kwa kufanya shughuli zote baada ya wafanyakazi kugoma.

je, katumia busara kulitumia jeshi badala ya kukaa na wafanyakazi waliogoma na kumaliza mgomo wao?

Kwetu hapa malalamiko haya yangekuwepo watu wagome na Rais aamuru jeshi kunusuru hii hali angeandikwa ni DIKTETA hilo halina ubishi.

Je, ingekuwa hapa kwetu stori zingekuwaje make huwa kuna malalamiko kwa kutumia jeshi kila wakati.

Sent using Jamii Forums mobile app
Katumia KDF kufanya kazi Professional na sio kupiga watu na kubangua Koroshow
See the difference

Sent from my TECNO CX Air using Tapatalk
 
Mbona huko nyuma Tanzania ilishatumia jeshi wakati wa migomo ya madaktari.... Hii ya kudomba na kubangua KORO SHOW... Ndiko lilikuwa na question marks.
 
Back
Top Bottom