Uhuru Kenyatta elected 4th Kenyan President.

Matokeo haya yalitarajiwa kabla ya uchaguzi. Kura za wakenya wengi ziko Rift Valley na Central kenya. Safari hii hakuwa na support kote huko. Large turnout ya voters ina maana kuwa mwenye numbers atshinda. Safari hii Uhuru had numbers na wamepiga kura. Raila akubali tu amepoteza kihalali kabisa
 
Raila sio mtu mzuri at all, anapinga nini wakati kashindwa. Akumbuke kuwa matokeo ya upingaji wake yalipelekea wakenya kupigana 2007. Hate you Odinga na kama Kenya ikiingia katika machafuka ni wewe chanzo.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Aende mahakamani, asianazishe fujo inayoweza pelekea mauaji ya raia wasio na hatia!
Mkuu leo ni jumamosi na kesho jumapili mahakama hazifunguliwi.tegemea lolote kuanzia jumatatu
wenzetu wana katiba mpya inamruhusu kufanya hivyo
 

jamani kwenye huu uchaguzi kuna siri imefanyika ambayo nikiropoka nitatafutwa kwa hali na mali ili nitoe ufafanuzi.Kwa kherini........
 
Kisheria kama kuna uvunjifu wa kanuni na utaratibu hata kama kura halisi zilikufavour bado haikuondolei kosa na hata kupelekea kubatilisha matokeo
stay tuned
 
Uchaguzi umeisha Uhuru ameshinda. Raila nawe kubali kushindwa wakenya warudi kazini kujenga maisha yao. Nawapongeza tume ya uchaguzi na mipaka. Despite technical challenges zoezi limeisha ndani ya muda uliowekwa na katiba.
 
Tofauti hii ya kura laki 6 na ushee (07%) ni kubwa sana!

Raila akubali tu yaishe!
 
Vijana ndio hao tena wameishika nchi, wajanja wajanja kama nini!
Ukichukua hizo namba mbili ukamjumlisha Sonko na Waititu, tuombe Mungu hao Mungiki wamrudie Mungu kama bosi wao wa zamani alivyoamua lakini mbali hapo huenda mambo yasiwe.

Kweli kitu DEMOKRASIA si mchezo.

Kila la kheri Wakenya!

 
Nyie mnaoshangilia naomba kura za wagombea wote na zilizo halibika hata mimi nilisoma hesabu kuna kitusielewi elewi.....


kama ulisoma hesabu hebu nijibu kwanza hili...
Kama timu yako hapa home ilichapwa 1-0, kisha ikapanda Ndege na kwenda away na kulalwa 4-0 je matokeo ya jumla inakuwa ngapi?

Achana na mambo ya pai pi kipeuo cha pili...
Jibu hilo kwanza...
 
kama ulisoma hesabu hebu nijibu kwanza hili...
Kama timu yako hapa home ilichapwa 1-0, kisha ikapanda Ndege na kwenda away na kulalwa 4-0 je matokeo ya jumla inakuwa ngapi?

Achana na mambo ya pai pi kipeuo cha pili...
Jibu hilo kwanza...
ni 5-0 kwa dakika 180. Kuna timu hapa bongo iliwahi kuchapwa 5-0 ndani ya dakika 90
 
Ni pigo kubwa kwa Chadema.
 
uchaguzi umeisha sisi tunawatakia Kila la kheri ktk kuijenga nchi yao.
 
These are words down to Earth, imagine such words turn true..... I'm touched...!!
BabaJonii ♡♡♡♥♥♥


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…