Uhuru Kenyatta kasema ruksa kuandamana kwa wasioridhishwa na matokeo

Uhuru Kenyatta kasema ruksa kuandamana kwa wasioridhishwa na matokeo

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,885
FB_IMG_1502713610031.jpg
FB_IMG_1502713601253.jpg
HABARI: Rais Mteule wa Kenya, Uhuru Kenyata asema wananchi wanaruhusiwa kuandamana ila Serikali haitavumilia watakaoharibu mali za umma.[HASHTAG]#Mwananchileo[/HASHTAG]
 
Uhuru hana tatizo na wakenya wengi wanasema hivyo ...

Tatizo lipo kwa naibu wake ndiye mtu hatari sana kwenye siasa za Kenya watu wote ambao wamepotea hawamu hii ni kwa sababu ya Ruto...

Uhuru weakness yake ni kushindwa kupambana na mafisadi pia...

Lakini kiubinadamu Uhuru is a great man....
View attachment 565888 View attachment 565887 HABARI: Rais Mteule wa Kenya, Uhuru Kenyata asema wananchi wanaruhusiwa kuandamana ila Serikali haitavumilia watakaoharibu mali za umma.[HASHTAG]#Mwananchileo[/HASHTAG]
 
Uhuru hana tatizo na wakenya wengi wanasema hivyo ...

Tatizo lipo kwa naibu wake ndiye mtu hatari sana kwenye siasa za Kenya watu wore ambao wamepotea hawamu hii ni kwa sababu ni Ruto...

Uhuru weakness yake ni kushindwa kupambana na mafisadi pia...

Lakini kiubinadamu Uhuru is a great man....
 
Kama wapinzani wanataka kuandamana nataka wao viongozi ndio watangulie mbele kwenye maandamano na sio kuwanywesha watoto wa masikini viroba(pombe) na wao kulala guest(Nyumba za wageni) huku hawashiriki maandamano-BY JPM akiwa SINGIDA.
 
Uhuru mwenyewe haamini alivyoshinda, endapo maandamano yakawa makubwa inaonekana yupo tayari kurudisha ushindi wa adhaniwaye kuwa mshindi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha tuone Odinga na watoto wake ,Kalonzo na watoto wake ,Orengo na familia yake na mali zao zote kwanza wawekwe mbele katika maandamano.Great objectives require great sacrifices for those who are to gain the most ,so NASA principals tuwache unafiki wa kucheza na maisha ya watu wa slums.
 
Wacha tuone Odinga na watoto wake ,Kalonzo na watoto wake ,Orengo na familia yake na mali zao zote kwanza wawekwe mbele katika maandamano.Great objectives require great sacrifices for those who are to gain the most ,so NASA principals tuwache unafiki wa kucheza na maisha ya watu wa slums.
Akili za jikoni utazijua tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuru Kenyatta katokea ki Obama Obama wa Afrika hivi.

Obama unaweza kumkatisha speech, watu wakataka kukunyamazisha, halafu akakutetea kwamba uachiwe uongee kwa sababu una haki ya kikatiba ya kumkatisha rais speech yake.

Ndicho anachofanya Uhuru hapo.

Whether Machiavellian calculations or genuine benevolence, this stance is badly needed in Africa.

I can't see Magufuli doing that.
 
Anatumia kanuni kama ya trump
Mchana wataandamana usiku wataenda kulala

Swala litakuja pale we unarudi kwa mguu nyumbani na hukuzalisha chochote siku hiyo unalala umekula 'slesi' mbili za mkate na juisi ya azam kesho huwezi kurudi kuandamana.
 
odinga atajipata kwa list ya wanaotakikana kufika kule Hague kujibu mashtaka...wacha aendelee na ujinga wake tu...
 
Back
Top Bottom