Uhuru Kenyatta kasema ruksa kuandamana kwa wasioridhishwa na matokeo

Uhuru Kenyatta kasema ruksa kuandamana kwa wasioridhishwa na matokeo

Kama wapinzani wanataka kuandamana nataka wao viongozi ndio watangulie mbele kwenye maandamano na sio kuwanywesha watoto wa masikini viroba(pombe) na wao kulala guest(Nyumba za wageni) huku hawashiriki maandamano-BY JPM akiwa SINGIDA.
Ndiyo katiba aliyo apa kuitumikia. Na mwisho akasema Mungu nisaidie. Kumbe hakujua anaapa nini...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
That is gangster.

Andamaneni, msivunje amani tu.

Hiyo kauli iko so presidential. Rais anajionyesha kwamba.

1. Anaheshimu haki ya kikatiba ya wananchi kuandamana.

2. Anawataka waandamanaji kuwa na heshima kwa sheria wasivunje amani.

3. Anajiamini kwamba wananchi wakiandamana hawatamtoa yeye madarakani.

4. Anaonyesha kwamba kuwarudisha watu wamuheshimu yeye kamaRais wa nchi kunaweza kufanyika kirahisi zaidi kwa kuwaruhusu waandamane zaidi ya kuwakataza wasiandamane.

5. Anaheshimu kutomwaga damu za wananchi wanaoandamana kwa amani.

Rais anatakiwa kuwa hivi.

Magufuliana mengi sana ya kujifunza kwa Uhuru Kenyatta.
 
Uhuru Kenyatta katokea ki Obama Obama wa Afrika hivi.

Obama unaweza kumkatisha speech, watu wakataka kukunyamazisha, halafu akakutetea kwamba uachiwe uongee kwa sababu una haki ya kikatiba ya kumkatisha rais speech yake.

Ndicho anachofanya Uhuru hapo.

Whether Machiavellian calculations or genuine benevolence, this stance is badly needed in Africa.

I can't see Magufuli doing that.
Uhuru ni level nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuru ni level nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mama mmoja alim disrespect ovyo sana, akamsema vibaya sana kwa namna ambayo kumsema rais wa Africa ni hatari sana.

Alimuita Uhuru ni fisi na mwizi.

Uhuru akasemamuachieni tu anatumia haki yake ya kikatiba.

Magufuli ukimsemahivyo hata Bungeni unakotetewa na parliamentary immunity anamwambia Spika "washughulikie huko,sisi tutawashughulikia huku".
 
Uhuru anajiamini,
anaamini hata wakirudia kura bado atampiga chini odinga,
namhurumia sana odinga,
anatakiwa astaafu sasa,maana naona anajaribu kuweka presha ili uhuru amuonee imani na kumpa hata uwaziri,lakini hata yeye anajua kuwa kashindwa
 
Uhuru hana tatizo na wakenya wengi wanasema hivyo ...

Tatizo lipo kwa naibu wake ndiye mtu hatari sana kwenye siasa za Kenya watu wote ambao wamepotea hawamu hii ni kwa sababu ya Ruto...

Uhuru weakness yake ni kushindwa kupambana na mafisadi pia...

Lakini kiubinadamu Uhuru is a great man....
mkuu fisadi namba moja ni Ruto...anajikusanyia mapesa kwa ajili ya kuisaka Ikulu 2022....sasa hapo Kenyatta anafungwo mikono maana bila kura za Rift Valley ni ngumu kwake kushinda Kenya...
 
Kuna mama mmoja alim disrespect ovyo sana, akamsema vibaya sana kwa namna ambayo kumsema rais wa Africa ni hatari sana.

Alimuita Uhuru ni fisi na mwizi.

Uhuru akasemamuachieni tu anatumia haki yake ya kikatiba.

Magufuli ukimsemahivyo hata Bungeni unakotetewa na parliamentary immunity anamwambia Spika "washughulikie huko,sisi tutawashughulikia huku".
kuna jamaa pia lilimsemea mbovu mamake uhuru,likamtukana matusi mazito,,ha ha ha Uhuru akamuibukia club anakonywea ulabu na kucheza pull,ili wayamalize man to man,
kwa maana ya ndondi,
jamaa alipomuona uhuru anaingia area akatoka baruti
 
Kuna mama mmoja alim disrespect ovyo sana, akamsema vibaya sana kwa namna ambayo kumsema rais wa Africa ni hatari sana.

Alimuita Uhuru ni fisi na mwizi.

Uhuru akasemamuachieni tu anatumia haki yake ya kikatiba.

Magufuli ukimsemahivyo hata Bungeni unakotetewa na parliamentary immunity anamwambia Spika "washughulikie huko,sisi tutawashughulikia huku".
kuna jamaa pia lilimsemea mbovu mamake uhuru,likamtukana matusi mazito,,ha ha ha Uhuru akamuibukia club anakonywea ulabu na kucheza pull,ili wayamalize man to man,
kwa maana ya ndondi,
jamaa alipomuona uhuru anaingia area akatoka baruti
 
kuna jamaa pia lilimsemea mbovu mamake uhuru,likamtukana matusi mazito,,ha ha ha Uhuru akamuibukia club anakonywea ulabu na kucheza pull,ili wayamalize man to man,
kwa maana ya ndondi,
jamaa alipomuona uhuru anaingia area akatoka baruti
Hahaha, Uhuru kamtokea kama msela wa kitaa tu. Poa sana.

Kwa sasa naoan Uhuru is the best president EA.
 
Ni marais wachache sana Africa wenye kuthamini haki za kiraia za wananch wake lakin kwa marais wengine ni pasua kichwa tu na mambu mbumbu wa demokrasia they think only about misuli na mabavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuru amekulia Ikulu,anajua uongozi unapaswa kuendeshwa vipi na anajua nn maana ya demokrasia ila muda mwingine kwa sababu ya kuheshimu demokrasia na upole ndiyo kumepelekea ufisadi kuzidi but HE IS THE BEST AFRICAN PRESIDENT
 
Kauli za dikteta uchwara hizi. Watangulie mbele ili iweje!?

Kama wapinzani wanataka kuandamana nataka wao viongozi ndio watangulie mbele kwenye maandamano na sio kuwanywesha watoto wa masikini viroba(pombe) na wao kulala guest(Nyumba za wageni) huku hawashiriki maandamano-BY JPM akiwa SINGIDA.
 
Back
Top Bottom