Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Safi sana Uhuru.
Anastahili kuitwa Rais wa Kenya.
Ameonyesha Ustaarabu, Uvumilivu na ukomavu wa hali ya juu wa kisiasa.
Uhuru amejitofautisha kabisa na tabia za madikteta wengine huku Afrika Mashariki.
Hiyo ndio siasa.
Anastahili kuitwa Rais wa Kenya.
Ameonyesha Ustaarabu, Uvumilivu na ukomavu wa hali ya juu wa kisiasa.
Uhuru amejitofautisha kabisa na tabia za madikteta wengine huku Afrika Mashariki.
Hiyo ndio siasa.