Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Nadhani anataka kuwashughulikia,si unajua tena nguvu ya dola ikiamrishwa inavyokuwaga.
SahauUhuru mwenyewe haamini alivyoshinda, endapo maandamano yakawa makubwa inaonekana yupo tayari kurudisha ushindi wa adhaniwaye kuwa mshindi!
Sent using Jamii Forums mobile app
East Africa yetu hii kiongozi wa upinzani pekee mwenye courage ya kutoka front line yeye mwenyewe ni Dr Kiiza Byesige wa Uganda.Wacha tuone Odinga na watoto wake ,Kalonzo na watoto wake ,Orengo na familia yake na mali zao zote kwanza wawekwe mbele katika maandamano.Great objectives require great sacrifices for those who are to gain the most ,so NASA principals tuwache unafiki wa kucheza na maisha ya watu wa slums.
Msalimie Babu yenu LowassaUhuru Kenyatta katokea ki Obama Obama wa Afrika hivi.
Obama unaweza kumkatisha speech, watu wakataka kukunyamazisha, halafu akakutetea kwamba uachiwe uongee kwa sababu una haki ya kikatiba ya kumkatisha rais speech yake.
Ndicho anachofanya Uhuru hapo.
Whether Machiavellian calculations or genuine benevolence, this stance is badly needed in Africa.
I can't see Magufuli doing that.
Lowassa babu yangu kwa minajili gani?Msalimie Babu yenu Lowassa
Uhuru Kenyatta katokea ki Obama Obama wa Afrika hivi.
Obama unaweza kumkatisha speech, watu wakataka kukunyamazisha, halafu akakutetea kwamba uachiwe uongee kwa sababu una haki ya kikatiba ya kumkatisha rais speech yake.
Ndicho anachofanya Uhuru hapo.
Whether Machiavellian calculations or genuine benevolence, this stance is badly needed in Africa.
I can't see Magufuli doing that.
Safi I may disapprove what you say but I will defend to death your right to say it!Uhuru Kenyatta katokea ki Obama Obama wa Afrika hivi.
Obama unaweza kumkatisha speech, watu wakataka kukunyamazisha, halafu akakutetea kwamba uachiwe uongee kwa sababu una haki ya kikatiba ya kumkatisha rais speech yake.
Ndicho anachofanya Uhuru hapo.
Whether Machiavellian calculations or genuine benevolence, this stance is badly needed in Africa.
I can't see Magufuli doing that.
Babu yenu Lowassa ameamkaje Leo?Lowassa babu yangu kwa minajili gani?
Unaposema "babu yenu" unamaanisha kikundi gani?
Umejuaje mimi nimo kikundi hicho?
Ushahidi wako usiopingika uko wapi?
Sent from my Kimulimuli
Umeshindwa hoja unaleta viroja.Babu yenu Lowassa ameamkaje Leo?