Uhuru Kenyatta: Mapolisi mwambieni anayewatuma msisumbue familia yangu. Nikamateni Mimi niko hapa acheni uwoga!

Uhuru Kenyatta: Mapolisi mwambieni anayewatuma msisumbue familia yangu. Nikamateni Mimi niko hapa acheni uwoga!

Kujiongeza sio lazima, haipo kikatiba na ni matakwa ya mtu binafsi. Wakati huohuo ni kulea ujinga kila mtu akishindwa uchaguzi anataka sijui ugatuzi, handshake, serikali ya pamoja na mambo ya kijinga kama hayo alafu asipohusishwa ananuna na kuandamana makusudi ili avuruge amani. Hiyo sio tamaa?

Hiyo 51% to 49% unayoona ni ndogo bado ipo kikatiba. Kwahiyo tuseme Wakenya walikosea walivyoandika katiba na kuweka kipengele hicho? Kwamba wangeandika ni lazima mahindi awe amepata zaidi ya 60% au kitu gani? 51% aliyopata Rais ipo kikatiba. Angeipata Odinga kama ni ndogo.

Mambo ya kugombea ukiwa na targets mbili ni wizi, ya kwanza ushinde Urais au ukikosa option ya pili uandamane ili upewe nafasi ya uongozi na kutajwa kwenye vyombo vya habari. Sio lazima, subiri uchaguzi mkuu ukishinda ukae na wapinzani mgawane wizara. Kama ndio staili yako
Raila na kenyatta ni wajinga tu....mtu ulikuwa madarakani ukashindwa kumpa mtu urais umpendaye....mpaka states tools zinakuama ulikuwa wapi.? Sasa uandamane ndio utapata huo urais? Jinga sana
 
Kujiongeza sio lazima, haipo kikatiba na ni matakwa ya mtu binafsi. Wakati huohuo ni kulea ujinga kila mtu akishindwa uchaguzi anataka sijui ugatuzi, handshake, serikali ya pamoja na mambo ya kijinga kama hayo alafu asipohusishwa ananuna na kuandamana makusudi ili avuruge amani. Hiyo sio tamaa?

Hiyo 51% to 49% unayoona ni ndogo bado ipo kikatiba. Kwahiyo tuseme Wakenya walikosea walivyoandika katiba na kuweka kipengele hicho? Kwamba wangeandika ni lazima mahindi awe amepata zaidi ya 60% au kitu gani? 51% aliyopata Rais ipo kikatiba. Angeipata Odinga kama ni ndogo.

Mambo ya kugombea ukiwa na targets mbili ni wizi, ya kwanza ushinde Urais au ukikosa option ya pili uandamane ili upewe nafasi ya uongozi na kutajwa kwenye vyombo vya habari. Sio lazima, subiri uchaguzi mkuu ukishinda ukae na wapinzani mgawane wizara. Kama ndio staili yako
Nani msafi pale Ruto?

The point is 49%, nusu walichagua upande wa pili. Kwahiyo common sense should be applied kuendesha nchi, serikali na kupata ushirikiano wa jamii zote.

Otherwise urais wake, focus yake itakuwa kupambana na 49% hadi muhula wake uishe.
 
Wewe mtu umemshinda kwny Sanduku la kura, akakimbilia Mahakamani ukamshinda halafu anahamasisha vurugu ili Nchi isitawalike umtazame tu?

Ruto kawafanyia sana Staha wamemuona fala …acha mwiba utolewe kwa style ile ile uliyoingilia
Kabisa mna mm namuunga mkono Ruto...
Uhuru alikuwa upande wa Odinga tangia kwenye kampeni....

Na Ruto alijua kabisa anapambana na nao wote wawili...

Kimsingi Uhuru anazingua....
 
Back
Top Bottom