Uhuru Kenyatta: Nimeona watu wanalia lia baada ya Trump kusitisha misaada. Mnalia nini na hela sio zenu?

Uhuru Kenyatta: Nimeona watu wanalia lia baada ya Trump kusitisha misaada. Mnalia nini na hela sio zenu?

Hivi UKAID, DANIDA, SIDA, JICA, NORWEGIAN AID, CANADIAN AID, KOICA nao wakiiga sera za Tramp kusitisha misaada yao kwa dhana ileile hali itakuaje kwa nchi zetu hizi zilizozoea misaada tangu zipate uhuru?
Misaada hii hatuitaki kabisa,kwa bahati mbaya viongozi wetu ndio hulazimisha iwepo kwa maana huwa inawasaidia wao kwa kuwapa wakopeshaji rasilimali zetu
 
African presidents have common sense before and after there term, never during their term.
 
Back
Top Bottom