Uhuru Kenyatta Rais bora Afrika

Na mimi nakuunga mkono Mkuu. Viongozi wengine wa Africa Odinga angechezea kichapo cha mbwa mwizi na kuwekwa lupango siku nyingi sana. Angalia huyu anayeminya uhuru wa Wabunge wa upinzani Bungeni. Sasa ndiyo mtu afanye kama Odinga!

Inasikitisha sana
 
Reactions: BAK


Sawa na wewe basi mrembo bora Afrika, wote mko sawa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…