Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
- Thread starter
- #21
Na mimi nakuunga mkono Mkuu. Viongozi wengine wa Africa Odinga angechezea kichapo cha mbwa mwizi na kuwekwa lupango siku nyingi sana. Angalia huyu anayeminya uhuru wa Wabunge wa upinzani Bungeni. Sasa ndiyo mtu afanye kama Odinga!
Inasikitisha sana