Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
Hayawi hayawi Huwa. Kenyatta ameamua kuweka Jeshi la kenya ndani ya Bahari La somalia.
Ameshindwa na Alshabab sasa anataka vita na Serikali ya somalia
Wakenya najua mtafurahia sana, lakini mfahamu hili:
There are no winners in WAR, Only Death and distruction