Okay! So Kenyatta aliwahi shtakiwa mahakamani kwa kosa la kujilimbikizia ardhi?Umenichanganya na aliyezungumzia ukwepaji kodi, hata yeye aliyezungumzia ukwepaji kodi hakumlenga Kenyatta, Kenyatta anashutumiwa kwa kulimbikiza utajiri uliotokana na kupora ardhi kubwa ya wanyonge uliofanywa na baba yake
GeniusMchango wako mzuri kama ungeondoa hiyo nyekundu ,mkuu lazima ifike kipindi tukubaliane utajiri ni malipo ya kazi kwa bidii na nidhamu,na swala la kukwepa kodi ni udhaifu wa serikali,hata Obama aliwahi kusema hapendi kulipa kodi ila inabidi,ni jambo baya kutegemea matajiri wakulipe kodi kwa hisani na swala la ukwepaji nadhani wanyonge ndo wakwepaji zaidi ,mimi naamini jamii inatakiwa itengenezwe kupenda ukwasi kwani mtu mmoja akitajirika wanyonge 1000 wamepata nafuu
Shame indeed.Mleta mada, you have cherry picked kijisehemu kidogo kwenye hotuba hiyo, and you've taken it out of context ili utimize lengo lako la kichochezi. Shame!
Baba yake kabla ya nchi kupata uhuru alikuwa na iyo ardhi? Aliipataje huyo baba yake ndio swali la msingi.hajachukua Ardhi,kaikuta tayari inamilikiwa na familia,na kama kuna aliyoongeza ni kwa hela zake hata kama zina background chafu!!
Ninashindwa kuelewa mantinki yako, unachotaka kusema ni kipi?Okay! So Kenyatta aliwahi shtakiwa mahakamani kwa kosa la kujilimbikizia ardhi?
mali ya rais banajamani kenya na Tanzania ni tofauti ki katiba.Kenya ardhi ni mali ya mtu ilihali huku Tz ardhi ni mali ya serikali.
Ameyasema hayo kwa manufaa ya familia yake na watoto wake.
1. The extended Kenyatta family alone owns an estimated 500,000 acres of land in Kenya.
2. The Kenyatta family also owns 24, 000 acres in Taveta sub-district (adjacent to the 74, 000 acres owned by former MP Basil Criticos).
3. Others are 50, 000 acres in Taita that is currently under Mrs Beth Mugo, Minister for Public Health & Sanitation and niece of the first President
4. They also own 29, 000 acres in Kahawa Sukari along the Nairobi Thika highway
5. 10, 000 acre Gichea Farm in Gatundu
6. A 5, 000 acre tract of land in Thika
7. 9,000 acres in Kasarani
8. 5, 000-acre Muthaita Farm.
9. The Brookside Farm, Green Lee Estate, Njagu Farm all in Juja (size unknown)
10. A quarry in Dandora in Nairobi
11. A 10, 000-acre ranch in Naivasha
12. A 52,000-acre farm in Nakuru
13. A 20,000-acre one, also known as Gichea Farm, in Bahati under Kenyatta’s daughter, Margaret
14. A 10, 000 acre farm in Rumuruti owned by former first lady Mama Ngina
15. A 40,000 acre farm in Endebes, Rift Valley Province
16. A 1,000-acre farm in Dagoretti owned by Kenyatta’s first wife Wahu
https://www.facebook.com/
Ok!weee kenge hana masikio.
Baba yake kabla ya nchi kupata uhuru alikuwa na iyo ardhi? Aliipataje huyo baba yake ndio swali la msingi.
Mpumbavu huyo hawezi kukuelewaMchango wako mzuri kama ungeondoa hiyo nyekundu ,mkuu lazima ifike kipindi tukubaliane utajiri ni malipo ya kazi kwa bidii na nidhamu,na swala la kukwepa kodi ni udhaifu wa serikali,hata Obama aliwahi kusema hapendi kulipa kodi ila inabidi,ni jambo baya kutegemea matajiri wakulipe kodi kwa hisani na swala la ukwepaji nadhani wanyonge ndo wakwepaji zaidi ,mimi naamini jamii inatakiwa itengenezwe kupenda ukwasi kwani mtu mmoja akitajirika wanyonge 1000 wamepata nafuu
Kwa akili zako unafikiri alifanya biashara gani akapata mtaji wa kununua ardhi yote hiyo. Aisee ninyi wakenya bure kabisa, hawahawa utasikia wanalialia ooh hatuna ardhi dadada...Unatoka nje ya mada, hadi sasa hakuna mahali ambapo amekamatwa au kushutumiwa au kuonekana kama mali zake sio za halali, kwa hiyo itakapogundulika sio halali utakuwa na haki ya kumtuhumu, lakini kwasasa tunamchukulia kwamba yupo innocent hadi sheria itakavyotamka vyenginevyo, hiyo ndiyo kanuni ya sheria za nchi zetu, sio kanuni yangu, sasa kama wewe unaanza kuchukulia kwamba any body is guilty until proved otherwise, hiyo utajua wewe na nafsi yako.
Nadhani umenichanganya na wakenya, mimi ni mtz ninamzungumzia Mohamed enterprisesKwa akili zako unafikiri alifanya biashara gani akapata mtaji wa kununua ardhi yote hiyo. Aisee ninyi wakenya bure kabisa, hawahawa utadimia wanalialia ooh hatuna ardhi dadada...
Ukisoma comments kama hizi unaona hadi IQ yako inashuka,Alienda kumuunganishia umeme baada ya kuona hali tete,matajili wameanza kufunga biadhara.kaona ngoja angalau ni mbembeleza.na hatahivyo bado wafanyabiashara wengi wakubwa wanafanya kwa wasiwasi,mguu ndani mguu nje.
Tangu zile kauli za matajili wataishi kama mashetani,kinyume chake walalahoi ndio wanaishi motoni kabla ya hata kufa.
upo sawa haupo mbali na ukweli mkuu.ukiona hivyo ujue nchi ya Kenya ilishauzwa kwa wenye nazo kama Kenyatta, Lord Dalmeira (sijui kama nimepatia jina)
Sawa wewe njuaji,ila msifilikili kutetea uwozo unaoendela kila siku mtakuja kumsaidia masikini.Ukisoma comments kama hizi unaona hadi IQ yako inashuka,
Wewe Huna unachokijua zaidi ya mihemko!