Uhuru Kenyatta: Serikali nyingi Afrika zinajiendesha kwa kukomoa matajiri

Uhuru Kenyatta: Serikali nyingi Afrika zinajiendesha kwa kukomoa matajiri

Umenichanganya na aliyezungumzia ukwepaji kodi, hata yeye aliyezungumzia ukwepaji kodi hakumlenga Kenyatta, Kenyatta anashutumiwa kwa kulimbikiza utajiri uliotokana na kupora ardhi kubwa ya wanyonge uliofanywa na baba yake
Okay! So Kenyatta aliwahi shtakiwa mahakamani kwa kosa la kujilimbikizia ardhi?
 
Mchango wako mzuri kama ungeondoa hiyo nyekundu ,mkuu lazima ifike kipindi tukubaliane utajiri ni malipo ya kazi kwa bidii na nidhamu,na swala la kukwepa kodi ni udhaifu wa serikali,hata Obama aliwahi kusema hapendi kulipa kodi ila inabidi,ni jambo baya kutegemea matajiri wakulipe kodi kwa hisani na swala la ukwepaji nadhani wanyonge ndo wakwepaji zaidi ,mimi naamini jamii inatakiwa itengenezwe kupenda ukwasi kwani mtu mmoja akitajirika wanyonge 1000 wamepata nafuu
Genius
 
Wengi wanajua kura Nyingi zinatoka kwa wanyonge. Hivo hujidai wanawatetea lakini vigumu sana hao wanyonge kubadilika kwa jinsi hii. Hapa duniani ni survival of the fittest. Kama hufit hata ungetetewa, bure tu. Muhimu ni kusaidiwa kutiwa ufunguo wa akili.
 
Ameyasema hayo kwa manufaa ya familia yake na watoto wake.

1. The extended Kenyatta family alone owns an estimated 500,000 acres of land in Kenya.

2. The Kenyatta family also owns 24, 000 acres in Taveta sub-district (adjacent to the 74, 000 acres owned by former MP Basil Criticos).

3. Others are 50, 000 acres in Taita that is currently under Mrs Beth Mugo, Minister for Public Health & Sanitation and niece of the first President
4. They also own 29, 000 acres in Kahawa Sukari along the Nairobi Thika highway
5. 10, 000 acre Gichea Farm in Gatundu
6. A 5, 000 acre tract of land in Thika
7. 9,000 acres in Kasarani
8. 5, 000-acre Muthaita Farm.
9. The Brookside Farm, Green Lee Estate, Njagu Farm all in Juja (size unknown)
10. A quarry in Dandora in Nairobi
11. A 10, 000-acre ranch in Naivasha
12. A 52,000-acre farm in Nakuru
13. A 20,000-acre one, also known as Gichea Farm, in Bahati under Kenyatta’s daughter, Margaret
14. A 10, 000 acre farm in Rumuruti owned by former first lady Mama Ngina
15. A 40,000 acre farm in Endebes, Rift Valley Province
16. A 1,000-acre farm in Dagoretti owned by Kenyatta’s first wife Wahu

 
Baba yake kabla ya nchi kupata uhuru alikuwa na iyo ardhi? Aliipataje huyo baba yake ndio swali la msingi.

hakuna cha swali la msingi,kuiba aliiba baba yake,hoja yangu yeye hajaiba!kakuta mali anapiga mzigo anafanikiwa kibiashara na kisiasa!!lawama za kuiba asipewe yeye!Rostam Aziz aliwahi kusema mali alizonazo zilianza kutafutwa na babu zake 1800 huko Tabora,by then ilikuwa utumwa na pembe za ndovu,huwezi kusema yeye kafanya biashara ya utumwa na pembe za ndovu!!
 
Mchango wako mzuri kama ungeondoa hiyo nyekundu ,mkuu lazima ifike kipindi tukubaliane utajiri ni malipo ya kazi kwa bidii na nidhamu,na swala la kukwepa kodi ni udhaifu wa serikali,hata Obama aliwahi kusema hapendi kulipa kodi ila inabidi,ni jambo baya kutegemea matajiri wakulipe kodi kwa hisani na swala la ukwepaji nadhani wanyonge ndo wakwepaji zaidi ,mimi naamini jamii inatakiwa itengenezwe kupenda ukwasi kwani mtu mmoja akitajirika wanyonge 1000 wamepata nafuu
Mpumbavu huyo hawezi kukuelewa
 
Unatoka nje ya mada, hadi sasa hakuna mahali ambapo amekamatwa au kushutumiwa au kuonekana kama mali zake sio za halali, kwa hiyo itakapogundulika sio halali utakuwa na haki ya kumtuhumu, lakini kwasasa tunamchukulia kwamba yupo innocent hadi sheria itakavyotamka vyenginevyo, hiyo ndiyo kanuni ya sheria za nchi zetu, sio kanuni yangu, sasa kama wewe unaanza kuchukulia kwamba any body is guilty until proved otherwise, hiyo utajua wewe na nafsi yako.
Kwa akili zako unafikiri alifanya biashara gani akapata mtaji wa kununua ardhi yote hiyo. Aisee ninyi wakenya bure kabisa, hawahawa utasikia wanalialia ooh hatuna ardhi dadada...
 
Kwa akili zako unafikiri alifanya biashara gani akapata mtaji wa kununua ardhi yote hiyo. Aisee ninyi wakenya bure kabisa, hawahawa utadimia wanalialia ooh hatuna ardhi dadada...
Nadhani umenichanganya na wakenya, mimi ni mtz ninamzungumzia Mohamed enterprises
 
Vijana tununue ardhi tuache ujinga.Unakuta MTU anafanya kazi muleba huko,halafu anashindwa kumiliki hats heka 10.Baadae akiona mtumishi mwenzake mjanja anamiliki ardhi anaanza fitina.
 
Alienda kumuunganishia umeme baada ya kuona hali tete,matajili wameanza kufunga biadhara.kaona ngoja angalau ni mbembeleza.na hatahivyo bado wafanyabiashara wengi wakubwa wanafanya kwa wasiwasi,mguu ndani mguu nje.

Tangu zile kauli za matajili wataishi kama mashetani,kinyume chake walalahoi ndio wanaishi motoni kabla ya hata kufa.
Ukisoma comments kama hizi unaona hadi IQ yako inashuka,
Wewe Huna unachokijua zaidi ya mihemko!
 
Ukisoma comments kama hizi unaona hadi IQ yako inashuka,
Wewe Huna unachokijua zaidi ya mihemko!
Sawa wewe njuaji,ila msifilikili kutetea uwozo unaoendela kila siku mtakuja kumsaidia masikini.

Nakumbuka kipindikile baresa alilazimika kupungiza wafanyakazi zaidi ya 500, unafikili watu miatano kukosa ajira umetetelesha watu zaidi ya 2000,maana watu 500 wana familia zinazowategemea kwamba baba/mama yupo kazini/kibaruani akiludi tutapata rizki.

Sakata la sukari,nafikili uchulo ule uliokua unafanywa na baadhi ya viongozi wakikumbuka hata hao wenyewe wanajilaum maana hadi leo ukienda dukani kununua sukari inabaki kua siri yako.

Na sio hivyo tu, viwanda chungumnzima vimefungwa au kupunguza uzalishaji.hii ni kwasababu ya sera na mikakari mibovu kwa wawekezaji inawafanya wawe na mashaka kuwekeza nchini.

TABIA YA KUTETEA NA KUKATAA KUKOSOLEWA KWA KUJIONA NYIE NI WATUKUFU ,KWAMBA HAMUWEZI KUKOSEA ,MSIFILIKILI MNAMSAIDIA MNYONGE,MATAJIRI /WANAFANYABIASHARA WANA NAFASI KUBWA KWA MASIKINI KATIKA ZAMA HIZI TULIZONAZO ,HUWEZI KUMSAIDIA MASIKINI KAMA UNAAMUA KUMKOMOA TAJIRI.
 
Kenyattas own 15,000 km^2,yaani ardhi kubwa kuliko Jamaica au the Gambia
 
Back
Top Bottom