mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Nadhani hawawezi. Ndiyo maana alliance ya wakikuyu na wakalenjin inaitwa the tyranny of numbers!
Hesabu zinakataa hawawezi.
Kenya ishu ya ukabila inawatesa sana, wao hata ughaibuni wakamba na wakikuyu hawapatani, ni kama ilivyo kwa wahutu na watusi
Kazi kweli kweli