Uhuru Kenyatta: The New "Vasco Da Gama"?

Viongozi WA afrika wanafanana kweli kweli Tanzania tulilia toka 2005 mpaka 2015 sasa zamu ya Kenya kulia na kenyatta na guinea(ngina) wao.Kenyatta mbona nilikuona mpiga kazi gafla umeanza kusuasua vibaya kwenye media?
Kuna kamchezo hapa museveni nae anapenda kusafiri na binti yake, hali kadhalika na Paul kagame na binti yake PIA wamo
 
Kenya ishu ya ukabila inawatesa sana, wao hata ughaibuni wakamba na wakikuyu hawapatani, ni kama ilivyo kwa wahutu na watusi
Kazi kweli kweli

huo ni uwongo mtupu.y do pple hate kikuyyz so much.u can never break that maumau blood
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…