Kuishabikia CCM hakujawai kumuacha mtu salama...Raila atakuwa amejifunzaHongera Uhuru..
When????Time will tell
Kweli jombaa, asee hawa jamaa ni mazuzu kabisa! Atakaye weza amfikishie RAO huu ujumbe. Makali ni pombe ya vijana na wazee ambao bado hawajaanza kuexpire. Mzee kama yeye kunywa makali yaani ni kama ni maziwa vile ndo zinampa ndoto za ajabu ajabu hadi anasahau alichosema masaa mawili tu hayajapita. Mwambie ni ujumbe kutoka pingli-nywee na nilisahau kumpa huu ushauri kabla ya uchaguzi kwasababu mimi ni mfuasi wa jubilee!I'm glad i played my part to discredit and decampaign NASA for their disastrous politics.Siasa mbaya = maisha mbaya - Kenya deserves better thank God.
Lugha ya utangamano tafadhali, hili halifai.Raila anapaswa kwenda kisumu kuvua samaki