Uhuru Kenyatta's Wealth( is he really in touch with the common Mwananchi???)

Uhuru Kenyatta's Wealth( is he really in touch with the common Mwananchi???)

There is opnion in just about everything. Even is science.

The question is not whether there is opinion in science, or just about everything, the question is, what is not an opinion in politics.Two vastly different issues, and your retort appears to be logically unrelated if not entirely evasive.
Up to that point alikuwa mwanamageuzi wa kweli.

Apparently. Watu wetu wanagongwa na nyoka kwa sababu hawajui kuwatambua. Mtu akiwa katika opposition standard yake ya kuitwa "mwanamageuzi wa kweli" inawekwa very low, ata get away with murder watu hawataki kumu asses, just because ni mpinzani. Halafu akiingia madarakani watu watamlaumu, kwa kuwa kawadanganya na ku sell out mageuzi, wakati alama zote wameziona tangu mwanzo na kuzifumbia macho. This was the same Raila dance in play.

Afadhali hata huyo Uhuru anaweza kusema yeye hana blah blah za mageuzi, watu watajua cha kutegemea.

Well, matendo yake baada ya kuyakwaa madaraka yamemuaibisha. He brought that onto himself.

Sasa Raila matendo yake hata kabla ya kuyatwaa madaraka yameshamuaibisha, na alipopewa bait ya kuwa PM kakubali gambit, worse still, bila ya kufanya chochote cha kuonekana.

Actually I'm not. Ni kwamba tu in the pantheon of reform champions in Kenya Uhuru has no place.

Reform gani? Hiyo watered down accord? Hiyo lip service towards real change? Raila is responsible for a sham reform in Kenya perhaps more than any other individual. He had a sizable mass appeal that he could have used to push for some real reform, he squandered it and allowed himself to be bribed the toothless Premiership.

That about Raila I don't know for sure.

What do you know for sure?

Kumjibu Miguna ni kujishusha tu. Silent treatment is the best way to deal with him because there is no need to dignify his buffoonery.

Miguna ka present a credible, comprehensive, credentialed account with insiders access. A damning indictment. How could anyone advocate for a silent treatment? In this age of uwazi?
 
Aaah hayo ni maoni yako,lakini hata uhuru kenyata anamtambuwa raila odinga,katika kupigania democrasia hapa kenya,ndio maana hivi majuzi alimpatia orfar yakuiyuza kenya majuu.kwani yeye ni mwana mageuzi,.
 
Aaah hayo ni maoni yako,lakini hata uhuru kenyata anamtambuwa raila odinga,katika kupigania democrasia hapa kenya,ndio maana hivi majuzi alimpatia orfar yakuiyuza kenya majuu.kwani yeye ni mwana mageuzi,.

Unaposema "hata Uhuru Kenyatta" unam distinguish vipi Uhuru Kenyatta kama kigezo? Uhuru Kenyatta ana bonafide credentials gani kama muhuri wa kutakiwa na mtu anayepigania mageuzi Kenya?

Kwa watu wengine kutambuliwa na Uhuru Kenyatta is a dubious distinction, ni doa, wala si kitu cha kujivunia.

Nikikwambia Uhuru Kenyatta anamtambua Raila Odinga kwa sababu ni tapeli mwenzake katika siasa za Kenya utanibishia?
 
Aah!,hapo sitakubishia,kwani siasa za kenya hazieleweki,its a game of numbers zimeshinda wazungu,hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu katika siasa,hasa za kenya,ruto alikuwa adui mkubwa sana wa uhuru,na kalonzo pia hawaku elewana na raila, lakini maslahi yaliwaweka pamoja~bora uje na kapu lako nami nijaze langu,numbers determined,sikudaganyi kaka,wazungu wamecheza na akili za waafrica kwa siku nyingi sana,lakini wakati huu wamegonga sipo,ona vile kesi ya icc inavyo pelekwa,watakoma wazungu,wakenya ni makurutu.watazungushwa wao wakati huu.
 
The question is not whether there is opinion in science, or just about everything, the question is, what is not an opinion in politics.Two vastly different issues, and your retort appears to be logically unrelated if not entirely evasive.

My retort was rather expansive, not evasive.


Apparently. Watu wetu wanagongwa na nyoka kwa sababu hawajui kuwatambua. Mtu akiwa katika opposition standard yake ya kuitwa "mwanamageuzi wa kweli" inawekwa very low, ata get away with murder watu hawataki kumu asses, just because ni mpinzani. Halafu akiingia madarakani watu watamlaumu, kwa kuwa kawadanganya na ku sell out mageuzi, wakati alama zote wameziona tangu mwanzo na kuzifumbia macho. This was the same Raila dance in play.

In all fairness sio watu wetu tu. Hata huko kwingine nako ni hivyo hivyo tu. Nani alijua kama Castro ange turn out kuwa dictator? If people had crystal balls maybe they could be able to foretell everything but it's not that way.

Afadhali hata huyo Uhuru anaweza kusema yeye hana blah blah za mageuzi, watu watajua cha kutegemea.

Hamna afadhali yoyote.

Sasa Raila matendo yake hata kabla ya kuyatwaa madaraka yameshamuaibisha, na alipopewa bait ya kuwa PM kakubali gambit, worse still, bila ya kufanya chochote cha kuonekana.

Yeye aliikubali hiyo position kuinusuru nchi. I understand the way things are sometimes no matter what one does he/she is damned either way. Mimi sababu zake za kuikubali hiyo position nilizielewa na nazikubali kabisa.

Reform gani? Hiyo watered down accord? Hiyo lip service towards real change? Raila is responsible for a sham reform in Kenya perhaps more than any other individual. He had a sizable mass appeal that he could have used to push for some real reform, he squandered it and allowed himself to be bribed the toothless Premiership.

You don't see any reforms in Kenya? Really?

What do you know for sure?

Nothing. What do you know for sure?

Miguna ka present a credible, comprehensive, credentialed account with insiders access. A damning indictment. How could anyone advocate for a silent treatment? In this age of uwazi?

Miguna is an attention seeking heaux. I have never bought what he peddles. He is just out there to make a name for himself and kuddos to Raila for ignoring him.
 
My retort was rather expansive, not evasive.

Now now now now, it stand to reason that a retort can be expansive AND evasive.Why, one could even argue that verbosity and expansiveness are essential for evasiveness in the low art of obscurantism.

The question was a rather simple one, whether there is anything that is not an opinion in politics, to be precise "what is not an opinion in politics"? This stands unanswered. And that is not an opinion.

In all fairness sio watu wetu tu. Hata huko kwingine nako ni hivyo hivyo tu. Nani alijua kama Castro ange turn out kuwa dictator? If people had crystal balls maybe they could be able to foretell everything but it's not that way.

This is not a defense, it is an indictment, at the very least.

Hamna afadhali yoyote.

Afadhali yeye hajajitia uanamapinduzi mbuzi. Kesho akiwaibia zaidi mtajiju kwa sababu hajajifoji kama mwanamapinduzi mwenye bonafide na legacy ya kuleta reforms. Mnamjua landlord wenu, mmemchagua, anaendeleza makamuzi. Hamuwezi kusema hamkujua huyu ndiye landlord wa makamuzi mlipomchagua.

Yeye aliikubali hiyo position kuinusuru nchi. I understand the way things are sometimes no matter what one does he/she is damned either way. Mimi sababu zake za kuikubali hiyo position nilizielewa na nazikubali kabisa.

Una hakika? Suala si kukubali position tu. Raila hakufuatilia hata detail muhimu za serikali ya mseto itakavyokuwa formed, alivyopewa uwaziri mkuu tu hakutaka kuinusuru nchi kutoka mdomoni mwa manyang'au. Mtu anayehongwa cheo kirahisi hivi utasemaje kainusuru nchi? Wakati details zilizompa nguvu ya kufuatilia mambo hata hakuzifuatilia? Hata alipoambiwa painstakingly and repeatedly na wakina Miguna? Mpaka akaanza kuwapiga vita wakina Miguna kama wao ndio madui zake?Huyu alitaka kuinusuru nchi au alitaka kulinusuru tumbo lake?

You don't see any reforms in Kenya? Really?

These piecemeal reforms dictated by the tide of time? Raila alikuwa na uwezo wa kufanya reforms za kweli, awe PM mwenye meno, awe na maamuzi serikalini, aweke msingi wa kukubalika zaidi kwenye urais. Hakufanya hivyo. Instead kaendekeza cronysm, cult of personality na corruption. Ndiyo maana mimi sina sympathy na kushindwa kwake.

Nothing. What do you know for sure?

I don't even know nothing for sure.

Miguna is an attention seeking heaux.

Show me an author/ politician who does not have this trait and I will show you a fraud and/or a liar. That is not the question. The question is, is what he wrote legit?

I have never bought what he peddles.

Have you read the book? Never mind buying it.

He is just out there to make a name for himself and kuddos to Raila for ignoring him.

There are question one can ignore honorably, these are not the questions Miguna raised. And frankly even before Miguna Raila came across as a boisterous, extravagant, usurper whose claim to fame is his last name (not that Uhuru is a bonafide egghead in his own right).

Back to the main topic of the thread.

I would be hard pressed to say that Raila is in touch with the common mwananchi. Again, Raila and Uhuru are cut from the same cloth, there may be a difference in minor distinctions in degree because of the Kenyattas advantage of being in power, but fundamentally Uhuru and Raila are both frauds.

And the notion that people should be discussing who is better is laughable.
 
Now now now now, it stand to reason that a retort can be expansive AND evasive.Why, one could even argue that verbosity and expansiveness are essential for evasiveness in the low art of obscurantism.

The question was a rather simple one, whether there is anything that is not an opinion in politics, to be precise "what is not an opinion in politics"? This stands unanswered. And that is not an opinion.

It's been answered but you are free to think it hasn't been.

This is not a defense, it is an indictment, at the very least.

It is far from being an indictment. As far as I'm concerned it is a realistic assessment. But you are free look at it in whichever way you want.

Afadhali yeye hajajitia uanamapinduzi mbuzi. Kesho akiwaibia zaidi mtajiju kwa sababu hajajifoji kama mwanamapinduzi mwenye bonafide na legacy ya kuleta reforms. Mnamjua landlord wenu, mmemchagua, anaendeleza makamuzi. Hamuwezi kusema hamkujua huyu ndiye landlord wa makamuzi mlipomchagua.

Sasa nani kajitia uanamapinduzi mbuzi? Babu yako?

Una hakika? Suala si kukubali position tu. Raila hakufuatilia hata detail muhimu za serikali ya mseto itakavyokuwa formed, alivyopewa uwaziri mkuu tu hakutaka kuinusuru nchi kutoka mdomoni mwa manyang'au. Mtu anayehongwa cheo kirahisi hivi utasemaje kainusuru nchi? Wakati details zilizompa nguvu ya kufuatilia mambo hata hakuzifuatilia? Hata alipoambiwa painstakingly and repeatedly na wakina Miguna? Mpaka akaanza kuwapiga vita wakina Miguna kama wao ndio madui zake?Huyu alitaka kuinusuru nchi au alitaka kulinusuru tumbo lake?

Ndiyo, nina uhakika. Mambo ya siasa ni magumu bwana maana kila mtu anakuja na mtazamo wake ambao yeye anaamini ndiyo sahihi. Na utasemaje alihongwa cheo wakati ni Koffi Annan ndiye aliyependekeza hiyo serikali ya grand coalition? Ingekuwa Kibaki ndiyo alimpa hiyo offer hapo ungekuwa na hoja lakini hapa huna, unalazimisha tu. Na huyo Miguna unamuamini sijui kama nini tu. Kwangu huyo hana tofauti na Esther Arunga. What do they have in common, you may wonder. Well, they are both drama queens who know how to manipulate the media to get themselves back in the conversation.

These piecemeal reforms dictated by the tide of time? Raila alikuwa na uwezo wa kufanya reforms za kweli, awe PM mwenye meno, awe na maamuzi serikalini, aweke msingi wa kukubalika zaidi kwenye urais. Hakufanya hivyo. Instead kaendekeza cronysm, cult of personality na corruption.

Reforms za kweli ndizo zipi hizo bwana Papa Kiranga? Waweza kuziorodhesha hapa?

Ndiyo maana mimi sina sympathy na kushindwa kwake.

Sidhani hata anahitaji sympathy yako.

I don't even know nothing for sure.

Great for you!

Show me an author/ politician who does not have this trait and I will show you a fraud and/or a liar. That is not the question. The question is, is what he wrote legit?

Legit according to whom? You and Miguna?

Have you read the book? Never mind buying it.

Not only have I read it (I assume you are talking about Peeling Back the Mask), FYI, I own both of his books. This guy is on steroids. He even questions Raila's education background in his second book. I'm sorry, but the guy is just not believable to me and I'm not alone in holding that view. I find him to be vindictive and hell-bent on sullying Raila's reputation by hook or by crook.

There are question one can ignore honorably, these are not the questions Miguna raised. And frankly even before Miguna Raila came across as a boisterous, extravagant, usurper whose claim to fame is his last name (not that Uhuru is a bonafide egghead in his own right).

Miguna has no credibility. He is beneath contempt! Responding to his hatchet job is to descend to his level. Raila doesn't need all that. I mean, this is the guy who proclaimed that Raila will not even garner 25% of the popular vote in this election. How wrong was he? You can believe him all you want but I just don't find his tall tales believable.

Back to the main topic of the thread.

I would be hard pressed to say that Raila is in touch with the common mwananchi. Again, Raila and Uhuru are cut from the same cloth, there may be a difference in minor distinctions in degree because of the Kenyattas advantage of being in power, but fundamentally Uhuru and Raila are both frauds.

That they are cut from the same fabric, naah, I don't think so. Raila has fought the good fight and he has the scars to prove it. On the other hand, the crown prince has never even seen a jail cell for anything let alone agitating for reforms.

And the notion that people should be discussing who is better is laughable.

Who is better in terms of what and who has advanced such a notion anyway?
 
It's been answered but you are free to think it hasn't been.

The question is "what is not an opinion in politics"?


The retort you provided "There is opnion in just about everything. Even is science."


Mind you, you did not even say that "There is opinion in everything" you shied away even from that.


Now, had you wrote the decisive and non wishy washy "There is opinion in everything" that would still not answer the question. The question is not whether there is opinion in everything or not, the question is rather the opposite, is there anything that is not an opinion in politics? You answered the wrong question, a question that was not asked, while neglecting to answer the question that was asked.

It is far from being an indictment. As far as I'm concerned it is a realistic assessment. But you are free look at it in whichever way you want.

You are caught speeding by a traffic police, or stealing by a policeman, what do you say? I am not the only one doing this, everybody is doing it. Is this a defense or admission of guilt?

Sasa nani kajitia uanamapinduzi mbuzi? Babu yako?

Babu Odinga, mwanamapinduzi anayeburuza Hummer.



Ndiyo, nina uhakika. Mambo ya siasa ni magumu bwana maana kila mtu anakuja na mtazamo wake ambao yeye anaamini ndiyo sahihi.

Mambo magumu hayana uhakika. Yenye uhakika hayana ugumu. This is a contradiction.

Ukiniambia mambo ya siasa hayana uhakika na ni magumu, nitakuelewa. Ukiniambia mambo ya siasa yana uhakika na si magumu, nitakuelewa. Ukiniambia mambo ya siasa yana uhakika na ni magumu, sitakuelewa.

Na utasemaje alihongwa cheo wakati ni Koffi Annan ndiye aliyependekeza hiyo serikali ya grand coalition?

Koffi Annan ni mungu gani asiyeweza kutaka the way of least resistance regardless of what is right?

Nikikwambia Koffi Annan ali mu asses Raila akamuona weak na ku side na Mwai Kibaki utasemaje?

Halafu, ni bora usome kwa maana ungesoma mikataba ungejua kwamba nonaposema Raila hakufuatilia mambo namaanisha kwamba hata makubaliano yaliyosimamiwa na Koffi Annan Raila hakuyafuatilia kupata nguvu zilizoainishwa, yeye baada ya kuambiwa atakuwa Waziri Mkuu hata hizo shughuli za usimamizi wa kweli za Waziri Mkuu kama zilivyoainishwa na kina Koffi Annan hakuangalia kama zinachakachuliwa ama la, hata washauri wake wenye uzoefu wa sheria kama kina Miguna walipomuambia kwamba hapa unachakachuliwa kwa mujibu wa makubaliano Raila akaamua kubembea, mwishowe kina Miguna wakaonekana wanoko kwa kutaka kufuatilia maslahi ya nguvu za PM.

Sasa uta cite vipi makubaliano ya Annan na Annan kama unimpeachable authority wakati hata makubaliano ya Annan yamevunjwa?

Did you read the arguments? Au unakwenda na "general feel" tu?

Ingekuwa Kibaki ndiyo alimpa hiyo offer hapo ungekuwa na hoja lakini hapa huna, unalazimisha tu.

For all intents and purposes, Kibaki kashindwa uchaguzi, kaiba kura, kampa a rosy deal ambalo alijua atalipiga palanja likisainiwa, Raila kasaini, kapigwa palanja in terms of real power kiasi mpaka kashindwa kuchagua watu wake serikalini.

Utasemaje Kibaki hajampa hiyo offer? This is a central argument of Migunas. Raila alivyosaini tu kukubali kuwa PM hakuangalia kama implementation ya mkataba ipo au haipo, akaridhika na kuwa PM. Weakling indeed.

Na huyo Miguna unamuamini sijui kama nini tu.

Mimi si muumini, Miguna kajenga case. Have you even read his case? Au una dismiss tu?

Kwangu huyo hana tofauti na Esther Arunga. What do they have in common, you may wonder. Well, they are both drama queens who know how to manipulate the media to get themselves back in the conversation.

Kwa nini una label watu kabla ya examination?

Reforms za kweli ndizo zipi hizo bwana Papa Kiranga? Waweza kuziorodhesha hapa?

Reform ya kweli namba moja ni rule of law, especially if the law is to your advantage.

Raila kashindwa kusimamia haki yake iliyowekewa mkataba na kina Koffi Annan, angeweza vipi kuleta reform kwa Wakenya?

Sidhani hata anahitaji sympathy yako.

Aliyeshinda anaweza kusema hahitaji hata sympathy ya watu anaohitaji sympathy yao, ataonekana triumphant tu
Aliyeshindwa hawezi hata kusema hahitaji sympathy ya watu asiohitaji sympathy yao, ataonekana sore loser tu.

Great for you!

Great is great, never underrate

Legit according to whom? You and Miguna?

No, the Annan Agreement.


Not only have I read it (I assume you are talking about Peeling Back the Mask), FYI, I own both of his books. This guy is on steroids. He even questions Raila's education background in his second book.

If you have read "Peeling Back The Mask" that is very good news. We could delve into a page by page analysis here.

Miguna's questions, however nonsensical, are unanswered as far as I am concerned. The point of reform consists of responsiveness, if Raila cannot respond to legit questions regarding his education, you can't take the chance that he would respoind on some government contracts should he be chosen president.

I'm sorry, but the guy is just not believable to me and I'm not alone in holding that view.

Miguna, like veryone else, is not above suspicion. That does not mean he is dismissable.

I find him to be vindictive and hell-bent on sullying Raila's reputation by hook or by crook.

Vindictive or not is not the question. Even if Miguna is vindictive - after all Raila is withholding his due payments to this day- the more important question clouded by all these other pyrotechnics, is whether what he wrote is plausible or not.

If he is that dismissable, why doesn't a Raila crony - I am not even asking Raila if he is that dignified- write a comprehensive retort to address the core issues he raised?

Miguna has no credibility. He is beneath contempt! Responding to his hatchet job is to descend to his level. Raila doesn't need all that. I mean, this is the guy who proclaimed that Raila will not even garner 25% of the popular vote in this election. How wrong was he? You can believe him all you want but I just don't find his tall tales believable.

Admittedly he has a penchant for the dramatic, but even the lowliest of the low is not incapable of shedding some light. Dispute Miguna on the detail, not on the generalities of "he does not have credibility". This is the classic ad hominem.

That they are cut from the same fabric, naah, I don't think so. Raila has fought the good fight and he has the scars to prove it. On the other hand, the crown prince has never even seen a jail cell for anything let alone agitating for reforms.

Fighting the good fight is a guaranteed ticket to a Maharaja status. What good fight has he fought other than advancing his name?

Who is better in terms of what and who has advanced such a notion anyway?

You are not registering, I deem the question laughable!
 
The question is ""what is not an opinion in politics"?


The retort you provided "There is opnion in just about everything. Even is science."


Mind you, you did not even say that "There is opinion in everything" you shied away even from that.


Now, had you wrote "There is opinion in everything" that would still not answer the question. The question is not whether there is opinion in everything or not, the question is rather the opposite, is there anything that is not an opinion in politics? You answered the wrong question, a question that was not asked, while neglecting to answer the question that was asked.

Okay Papa Kiranga. You are right:happy:. Happy now?

You are caught speeding by a traffic police, or stealing by a policeman, what do you say? I am not the only one doing this, everybody is doing it. Is this a defense or admission of guilt?

I don't speed or shoplift. I go by the flow of traffic and pay for my own shit.

Babu Odinga, mwanamapinduzi anayeburuza Hummer.

Ulitaka atembee kwa miguu kama babu yako au babu yako hatembei kwa miguu?

Mambo magumu hayana uhakika. Yenye uhakika hayana ugumu. This is a contradiction.

Hakuna contradiction katika nilichoandika mimi. Contradiction ipo kwenye ulivyoelewa wewe.

Ukiniambia mambo ya siasa hayana uhakika na ni magumu, nitakuelewa. Ukiniambia mambo ya siasa yana uhakika na si magumu, nitakuelewa. Ukiniambia mambo ya siasa yana uhakika na ni magumu, sitakuelewa.

Unaona sasa...nilijua tu niliposoma nilichokinukuu kabla ya hiki kuwa hukunielewa kabisa. You've totally missed it.

Koffi Annan ni mungu gani asiyeweza kutaka the way of least resistance regardless of what is right?

Koffi Annan siyo mungu wala papa kama ulivyo wewe lol. Yeye ni mere mortal tu.

Nikikwambia Koffi Annan ali mu asses Raila akamuona weak na ku side na Mwai Kibaki utasemaje?

Ukiniambia upuuzi kama huo nitakuuliza 'wewe umejuaje bwana Papa'?

Halafu, ni bora usome kwa maana ungesoma mikataba ungejua kwamba nonaposema Raila hakufuatilia mambo namaanisha kwamba hata makubaliano yaliyosimamiwa na Koffi Annan Raila hakuyafuatilia kupata nguvu zilizoainishwa, yeye baada ya kuambiwa atakuwa Waziri Mkuu hata hizo shughuli za usimamizi wa kweli za Waziri Mkuu kama zilivyoainishwa na kina Koffi Annan hakuangalia kama zinachakachuliwa ama la, hata washauri wake wenye uzoefu wa sheria kama kina Miguna walipomuambia kwamba hapa unachakachuliwa kwa mujibu wa makubaliano Raila akaamua kubembea, mwishowe kina Miguna wakaonekana wanoko kwa kutaka kufuatilia maslahi ya nguvu za PM.

Hususan ni mambo yepi haswa ambayo wewe unadai hakufuatilia ili kupata nguvu zilizoainishwa? Maana kila simulizi ina pande kadhaa na wewe umeamua kuamini upande wa Miguna. Naomba kama unaweza uniorodheshee hapa hayo mambo ili niyachambue tuone kama unachosema ni kweli au la.

Sasa uta cite vipi makubaliano ya Annan na Annan kama unimpeachable authority wakati hata makubaliano ya Annan yamevunjwa?

Did you read the arguments? Au unakwenda na "general feel" tu?

Siendi na general feel mimi. Najua ninachokiongea na ndiyo maana nataka unipe hizo specifics unazoziongelea wewe.

For all intents and purposes, Kibaki kashindwa uchaguzi, kaiba kura, kampa a rosy deal ambalo alijua atalipiga palanja likisainiwa, Raila kasaini, kapigwa palanja in terms of real power kiasi mpaka kashindwa kuchagua watu wake serikalini

Hmm wewe...una uhakika na unayoyaandika hapa? Hao watu wake alioshindwa kuwachagua ni kina nani?

Utasemaje Kibaki hajampa hiyo offer? This is a central argument of Migunas. Raila alivyosaini tu kukubali kuwa PM hakuangalia kama implementation ya mkataba ipo au haipo, akaridhika na kuwa PM. Weakling indeed.

Yaani wewe Miguna kakuchota akili hadi kila anachoandika unakimeza tu! Huyo Miguna si alikuwa mshauri wa Raila kuanzia 2008 hadi 2011? Kwa nini alikubali kuwa mshauri albeit a junior one at that kama hivyo ndivyo anavyofikiri sasa? Makes no sense. Miaka yote hiyo alikuwa mshauri wa mtu ambaye hakuangalia kama implementation ya mkataba ipo au haipo?

Mimi si muumini, Miguna kajenga case. Have you even read his case? Au una dismiss tu?

Hiyo unayoiita case nimeisoma. Wewe kama umeiamini basi huyo ni wewe. Mimi nimeiona ni hatchet job tu na ndiyo maana sioni sababu ya Raila ku sink to his level. Au wewe unataka kila aliyeisoma akubaliane nayo kama unavyokubaliana nayo wewe ili ukubali kwamba huyo mtu kaisoma?

Kwa nini una label watu kabla ya examination?

Nini kinakufanya udhanie hivyo?

Reform ya kweli namba moja ni rule of law, especially if the law is to your advantage.

The rule of law should be to everyone's advantage and not you or your own interests' advantage. Hiyo ndiyo reform ya kweli - level playing field for everyone and not just one for one person or a group.

Raila kashindwa kusimamia haki yake iliyowekewa mkataba na kina Koffi Annan, angeweza vipi kuleta reform kwa Wakenya?

Specifics Pontiff, specifics. Raila alishindwa kusimamia haki yake ipi mahsusi iliyowekwa mkataba na Koffi Annan? Usimwage mi broad generalities tu hapa - zitaje mahsusi tuzichambue tuone kama ni kweli au la.

Aliyeshinda anaweza kusema hahitaji hata sympathy ya watu anaohitaji sympathy yao, ataonekana triumphant tu
Aliyeshindwa hawezi hata kusema hahitaji sympathy ya watu asiohitaji sympathy yao, ataonekana sore loser tu.

Okay, and your point is......

Great is great, never underrate

And it is better to not overrate, also.

If you have read "Peeling Back The Mask" that is very good news. We could delve into a page by page analysis here.

I'm game. Let's go for it. Page by page, line by line.

Miguna's questions, however nonsensical, are unanswered as far as I am concerned.

As far as I'm concerned they don't deserve to be answered.

The point of reform consists of responsiveness, if Raila cannot respond to legit questions regarding his education, you can't take the chance that he would respoind on some government contracts should he be chosen president.

Again, legit according to whom - you and Miguna? I don't see an ounce of legitimacy in them. The man met the educational constitutioally mandated criteria to run for president. That alone should put Miguna's sensational assertions to rest.

Miguna, like veryone else, is not above suspicion. That does not mean he is dismissable.

Miguna has no credibility whatsoever and that's why his second book turned out to be a dud. After reading his first one fair minded people like me knew what he was all about. I can't take a writer seriously who writes about uncorroborated sex stories in his book.

Vindictive or not is not the question. Even if Miguna is vindictive - after all Raila is withholding his due payments to this day- the more important question clouded by all these other pyrotechnics, is whether what he wrote is plausible or not.

Oh no, it should be. Otherwise what was his motivation to pen such a hatchet job? Was he somebody else's hatchet man? I know for a fact he endorsed Uhuru for president.....things that make you go hmmmm.

If he is that dismissable, why doesn't a Raila crony - I am not even asking Raila if he is that dignified- write a comprehensive retort to address the core issues he raised?

Write a comprehensive retort in the form of a book to address lies, gross exaggerations, and downright sensationalist claims? No one needs to do that because no one talks about Miguna until he finds his way back in the news headlines by penning some hatchet job that only handful of people care to read.

Admittedly he has a penchant for the dramatic, but even the lowliest of the low is not incapable of shedding some light. Dispute Miguna on the detail, not on the generalities of "he does not have credibility". This is the classic ad hominem.

He is a drama queen rich on histrionics. To dispute every ridiculous claim of his is to make him relevant. Again, why sink to his level?

Fighting the good fight is a guaranteed ticket to a Maharaja status. What good fight has he fought other than advancing his name?

He already had name recognition. You already called him the crown prince of Nyanza, didn't you?

What good fight has he fought? Well, just look at Kenya's regional neighbors. Kenya is far ahead of Uganda na Tanzania in terms of democratic reforms. Those reforms didn't just fall from the sky or grow on trees. They were hard fought and if you look in their DNA the name Odinga is all over.

You are not registering, I deem the question laughable!

Done laughing?:biggrin:
 
Okay Papa Kiranga. You are right:happy:. Happy now?

Not if you are turning this into a league and sweeping the logical argument under the sweeping white banner of sweet surrender.

The intent is to argue with a vision to learning, not merely emerge victoriously. If you throw the towel without addressing the details, that to me is simply boycotting the healthy exchange. This is a worthy debate. So sincerity is paramount. I beseech you.

The more important questions are agnostic to my happiness.

I don't speed or shoplift. I go by the flow of traffic and pay for my own shit.

I am sure you don't, sure per figure of speech of course. But you are either missing the analogy or being cruelly dismissive of the underlying logic, and I do doubt that you can miss such an open analogy.
Ulitaka atembee kwa miguu kama babu yako au babu yako hatembei kwa miguu?

Sijasema popote kwamba nilitaka atembee kwa mguu. Na babu yangu marhemu kwa miaka mingi sasa, kunitajia ni kunigusia donda la msiba. Did you have to go there?

Hakuna contradiction katika nilichoandika mimi. Contradiction ipo kwenye ulivyoelewa wewe.

Hujafanya hata jitihada ya kuonyesha hivyo, hata baada ya mimi kueleza nilivyoelewa.Umeandika tu. Unaendeleza dismisive disposition. Nitajie gumu lenye uhakika, na lisilo uhakika ambalo si gumu. Utaondoa sehemu kubwa ya contradiction yako.

Ukishindwa kitendawili hiki, umekubali kwamba umeji contradict. Harun Rashid style.


Unaona sasa...nilijua tu niliposoma nilichokinukuu kabla ya hiki kuwa hukunielewa kabisa. You've totally missed it.

Why? You are not showing that. Instead you are showing a murky penchant for dismissive avenues.

Koffi Annan siyo mungu wala papa kama ulivyo wewe lol. Yeye ni mere mortal tu.

Koffi Annan ni Papa kwa Kojo Annan, that's where you are wrong!

Ukiniambia upuuzi kama huo nitakuuliza 'wewe umejuaje bwana Papa'?

Nitakuuliza umejuaje kama nimejua?

Hususan ni mambo yepi haswa ambayo wewe unadai hakufuatilia ili kupata nguvu zilizoainishwa? Maana kila simulizi ina pande kadhaa na wewe umeamua kuamini upande wa Miguna. Naomba kama unaweza uniorodheshee hapa hayo mambo ili niyachambue tuone kama unachosema ni kweli au la.

Unasema umesoma "Peeling Off The Mask", utakuwa umesoma jinsi Kibaki na Francis Muhaura walivyompiga chini Raila kuhusu kuwa na equal say katika kuchagua maafisa waandamizi a serikali ya mseto, na kumfanya Raila kuwa subject katika serikali aliyoingia mkataba kama an equal of his opposites. This shows you how much Raila was lacking in confidence, conviction, understanding of the issues and psychology of power, easy to give up in the struggle, not attentive to detail, content with a trinket of power that assured his personal gain and prestige rather than pursuing real power that would have made real difference to the masses had he chosen to pursue that, the list is nearly endless.

Siendi na general feel mimi. Najua ninachokiongea na ndiyo maana nataka unipe hizo specifics unazoziongelea wewe.

Your posts in this thread are stating otherwise. Hata katika kunijibu tu hunijibu kwa detail, unanijibu dismissively, by the general feel. Kama unajua unachokiandika -si unachokiongea by the way, hatuna simu wala redio hapa- specifics nishakupa kuhusu sakata la Mutaura, Kibaki, Oginga na Miguna, kutoka kwenye kitabu.

Hmm wewe...una uhakika na unayoyaandika hapa? Hao watu wake alioshindwa kuwachagua ni kina nani?

Mazee, I begin to doubt you have read "Peeling Off The Mask". Or perhaps it is a matter of retention? Hujasoma beef ya Raila alivyopata beef kutoka kwa Muthaura kuhusu nani anaweza kuteua senior public servants na process inatakiwa iweje?


Yaani wewe Miguna kakuchota akili hadi kila anachoandika unakimeza tu!

Far from it, nishasema Miguna is not above suspicion, rudi kusoma hapo juu. So why do you even entertain this notion beats me.


Huyo Miguna si alikuwa mshauri wa Raila kuanzia 2008 hadi 2011? Kwa nini alikubali kuwa mshauri albeit a junior one at that kama hivyo ndivyo anavyofikiri sasa?

You give me even further reason to doubt that you have read "Peeling Off The Mask". And If you have truly read it you did not understand it. And if you understood it, you are grossly shortchanging your argument.

Miguna answered this question squarely in the book. You either read and did not retain what you read or did not read at all, which is it now?

Makes no sense. Miaka yote hiyo alikuwa mshauri wa mtu ambaye hakuangalia kama implementation ya mkataba ipo au haipo?


Now now now now, how long ago did you read this book again? the book can't be 3 years old now, can it? Mbona yote yameelezwa, ushasahau mara hii? Au unataka tuanze kufungua kurasa na kunukuu?

Hiyo unayoiita case nimeisoma. Wewe kama umeiamini basi huyo ni wewe.

There is a reason I said it was a "case" and not a "fact". The legally trained and otherwise curous will understand the difference. I am not saying Miguna is the Mahdi or resurrected Messiah, all I am saying is that Miguna presented some credible arguments which deserve a comprehensive retort from someone with a high ambition as Oginga.

Mimi nimeiona ni hatchet job tu na ndiyo maana sioni sababu ya Raila ku sink to his level.

Unfortunately for you Raila sank even lower by engaging the Kenyan courts and losing twice after Miguna's prediction that he (Raila) will lose, however off Miguna was in terms of percentage. The fact remains losing is losing.

Don't get me wrong. I am not a Uhuru man. I would have rejoiced to see the one Raila is trying to usurp at State House, but that person is not Raila unfortunately, Raila and Uhuru are both usurpers playing on the prevailing ignorance and classicompacency in Kenya.

Au wewe unataka kila aliyeisoma akubaliane nayo kama unavyokubaliana nayo wewe ili ukubali kwamba huyo mtu kaisoma?

Hapana, lakini kila kesi ina pande mbili. Na yule ambaye hata hajibu mashtaka anatupa sababu ya kuamini kwamba mashtaka ni ya kweli na hayajibiki pasipo kujenga mashtaka zaidi.


Nini kinakufanya udhanie hivyo?

Kuniambia kwamba nadhani ni tusi. Nini kinakufanya udhani kwamba nadhani?

Ungefanya examination, usinge ji expose hivi, ama umesoma na kusahau ama hujasoma. Tuambie ni kipi haswa?

The rule of law should be to everyone's advantage and not you or your own interests' advantage. Hiyo ndiyo reform ya kweli - level playing field for everyone and not just one for one person or a group.

Ambayo ingefuatiliwa, Raila na Uhuru wote wangekuwa jela. Wangetuachia tuone mtu mwingine tofauti na wawili hawa - na cronies wao wa karibu-akiingia Satate House.

Specifics Pontiff, specifics.

Obliged.I am the Pontiff of specifics up in here. I bet you if we run a search on "specific" between yourself and me you are bound to find an earlier rant about specifics from some "Papal Apostolic Encyclical" from yours truly than from you, bet?

Raila alishindwa kusimamia haki yake ipi mahsusi iliyowekwa mkataba na Koffi Annan? Usimwage mi broad generalities tu hapa - zitaje mahsusi tuzichambue tuone kama ni kweli au la.

Uliposoma "Peeling Back The Mask" ulisoma mpaka Appendices kule nyuma au ulisoma kivivu bila kusoma Appendices na footnotes (Where EMT at, mzee wa ma footnotes)

Miguna mbona kaweka mpaka Accord nzima kwenye appendices nyuma ya kitabu ili watu wasome mkataba mzima, unataka nionekane kama Alan Greenspan sasa kwa kurudiarudia kuhimiza kusoma kitabu kwa suala la ABC kama kitabu cha Miguna?




The A and Y are redundant

and your point is......

Why should I have a point? What if I am ever revolving in quantum probabilism? 9yes, that's a word, a philosophy even, look it up if you doubt)

For someone who values a "point" so much, the whole business of "he does not value your point" is so pointless.

Even a point is pointless if you understands the double slit experiment enough, or the wave particle duality of the photon, or Heisenberg's Uncertainty Principle (as it is known to the English speaking world)

And it is better to not overrate, also.

And right now you are overrating Raila.

I'm game. Let's go for it. Page by page, line by line.

So far you are paying lip service to this ideal, singing lazy chorus while I am hitting the high notes. Hujanionyesha popote by detail kwamba umesoma kitabu, now unarukia twende page by page?

As far as I'm concerned they don't deserve to be answered.

Your concern is apparently a bit overstretched.

Again, legit according to whom - you and Miguna? I don't see an ounce of legitimacy in them.

What is "an ounce of legitimacy" to you? What scale do you use to weight it?

[/QUOTE]The man[/QUOTE]

What man? For someone bent on specificity, you are turning out exceedingly vague and open to minterpretation here.

met the educational constitutioally mandated criteria to run for president. That alone should put Miguna's sensational assertions to rest.

I take it you mean constitutionally.

Whom exactly do you refer to?

Tom Mboya? Barack Obama Sr? Charles Njonjo? George Saitoti? William Rutto? Uhuru Kenyatta? Raila Ujinga?

Miguna has no credibility whatsoever and that's why his second book turned out to be a dud.

Now now now now, it should be a constitutional right in all democratic countries, that any sharp lawyer should be able to milk their five years of fame, if only to encourage more Migunas.

Whatsoever is a heavy word. The man passed the bar and became a lawyer in Canada, now granted, even my fellow Pontiff is mured by allegations of being complicit while the Argentine military was pillaging and plundering the Argentine people, I get that. No human is unimpeachable.

But whatsoever? Did you even think that word carefully of just threw it out like the panties of an eager and cheap footloose in the midst of a regretfully passionate travelogue that would put ibn Batuta to shame?

After reading his first one fair minded people like me knew what he was all about.

The entire notion of "fair minded people like me" is laughably serf serving if not utterly ridiculous.

First of all, it is not curiously inclined in the sense of seeking to enrich itself.It is rather content in the sense of putting on airs that it is the truth.

Second of all, to the initiated, the word "fair" is assuming and ignorant. Assuming in the unchallenged notion that the best viw is from the middle, fair minded people will propel, democracy is the best system, malarkey, horseradish, hogwash.

Mencken- assuming yu are familiar, if not Google is your friend, of course- would disagree.

I can't take a writer seriously who writes about uncorroborated sex stories in his book.

That's where you err. You are focusing on the uncorroborated, instead of the corroborated ( or what can be corraborated). The mistake is fatal!

Look, Miguna is probably a scoundrel, but realistically, in a country of megalomaniac tycoons like Kenya, does his dirty rotenscoundrel status affect the expose his giving to the etxent of dismissing him altogether?

No. Not to me.

Chances are if he were squeakly clean he would have been killed by Moi without the chance of escaping to Tanzania, Swaziland and Canada.

Oh no, it should be. Otherwise what was his motivation to pen such a hatchet job? Was he somebody else's hatchet man? I know for a fact he endorsed Uhuru for president.....things that make you go hmmmm.

For argument's sake, let's be adults, all utopia aside, so he is a Uhuru sellout (arguments sake, again) does that mean Raila does not have to answer to all the things he wrote?



Write a comprehensive retort in the form of a book to address lies,

We do not know that they are lies, again, examination. no research no right to comment in that way.

gross exaggerations, and downright sensationalist claims?

For one bent on specificity and detail, I find this accusation of "gross exaggerations, and downright sensationalist claims" to be the only "gross exaggerations, and downright sensationalist claim" here.


No one needs to do that because no one talks about Miguna until he finds his way back in the news headlines by penning some hatchet job that only handful of people care to read.


You are ruling out the possibility that you might have a scenario with a lot of people, like Raila, who are not interested in the details. Africa's real problem.

He is a drama queen rich on histrionics. To dispute every ridiculous claim of his is to make him relevant. Again, why sink to his level?

Drama queen or not, the questions remain.

He already had name recognition. You already called him the crown prince of Nyanza, didn't you?

A princeling bestowed by providence does not come out of fighting the good fight in this life now, does it?

What good fight has he fought? Well, just look at Kenya's regional neighbors. Kenya is far ahead of Uganda na Tanzania in terms of democratic reforms. Those reforms didn't just fall from the sky or grow on trees. They were hard fought and if you look in their DNA the name Odinga is all over.

But you are not showing anything that arose from his effort, you might as well be talking about the fruits of Jaramogi and Jomo for all I know.

Done laughing?:biggrin:

More like forever laughing, and holding the last laugh for all I know.
 
Last edited by a moderator:
Sijasema popote kwamba nilitaka atembee kwa mguu. Na babu yangu marhemu kwa miaka mingi sasa, kunitajia ni kunigusia donda la msiba. Did you have to go there?

Nimeamua nijibu tu yale niyaonayo ni ya msingi walau kidogo. Naona nimegusa kidonda cha msiba wa babu yako. Oh well, lengo halikuwa hilo but it is what it is. Ya mababu hayana tija. Tuyaache.

Hujafanya hata jitihada ya kuonyesha hivyo, hata baada ya mimi kueleza nilivyoelewa.Umeandika tu. Unaendeleza dismisive disposition. Nitajie gumu lenye uhakika, na lisilo uhakika ambalo si gumu. Utaondoa sehemu kubwa ya contradiction yako.

Sijajisumbua na kukueleza kwa sababu hukuuliza. Kama ilivyo ada kwako umerukia tu na kuandika uliyoandika bila hata kuuliza kama kweli unachoona umeelewa ndicho nilichoandika mimi. Sina haja ya kukaa na kuelezea kitu ambacho hukuomba ufafanuzi. Kama unapenda kupata ufafanuzi, omba. Kama hutaki basi kaa na mtazamo wako wa jinsi ulivyoelewa.

Ukishindwa kitendawili hiki, umekubali kwamba umeji contradict. Harun Rashid style.

Why? You are not showing that. Instead you are showing a murky penchant for dismissive avenues.

I see dismissive is the word of the day.

Koffi Annan ni Papa kwa Kojo Annan, that's where you are wrong!

You are the one who is wrong by saying I am wrong. I never denied he was Kojo's papa like you are papa.

Nitakuuliza umejuaje kama nimejua?

Nimejua kulingana na ulichoandika. Uliandika "nikikwambia". Unabisha hukuandika hivyo? Sasa utaniambiaje usichokijua? Hebu rudi tena usome ulichoandika.

Unasema umesoma "Peeling Off The Mask", utakuwa umesoma jinsi Kibaki na Francis Muhaura walivyompiga chini Raila kuhusu kuwa na equal say katika kuchagua maafisa waandamizi a serikali ya mseto, na kumfanya Raila kuwa subject katika serikali aliyoingia mkataba kama an equal of his opposites. This shows you how much Raila was lacking in confidence, conviction, understanding of the issues and psychology of power, easy to give up in the struggle, not attentive to detail, content with a trinket of power that assured his personal gain and prestige rather than pursuing real power that would have made real difference to the masses had he chosen to pursue that, the list is nearly endless.

Unaona sasa! Tatizo lako unachukulia alichokiandika Miguna kuwa kama ndiyo ukweli wa kila kitu. Sasa sijui unataka kusema Raila hakushiriki kuchagua mawaziri katika hiyo serikali mahuluti?

Your posts in this thread are stating otherwise. Hata katika kunijibu tu hunijibu kwa detail, unanijibu dismissively, by the general feel. Kama unajua unachokiandika -si unachokiongea by the way, hatuna simu wala redio hapa- specifics nishakupa kuhusu sakata la Mutaura, Kibaki, Oginga na Miguna, kutoka kwenye kitabu.

Hilo sakata la Muthaura ni simulizi kulingana na Miguna na nimeshakwambia kwangu huyo mganga njaa tu. Hana credibility.

Mazee, I begin to doubt you have read "Peeling Off The Mask". Or perhaps it is a matter of retention? Hujasoma beef ya Raila alivyopata beef kutoka kwa Muthaura kuhusu nani anaweza kuteua senior public servants na process inatakiwa iweje?

You can doubt all you want but that is not going the change the fact that I have it, read it ,and didn't find it to be compelling. Na Muthaura inajulikana alikuwa upande wa nani. Lakini nimekuuliza hapo juu, je Raila hakushiriki kuteua watendaji wakuu wa serikali hiyo mahuluti? Ndiyo au hapana?

Far from it, nishasema Miguna is not above suspicion, rudi kusoma hapo juu. So why do you even entertain this notion beats me

Unavyochukulia alichoandika kwenye kitabu chake kuwa kama ndo ukweli kisa tu Raila hata hajajihangaisha wala kujishughulisha kukijibu inanifanya nione hivyo. You are crazy about it.

You give me even further reason to doubt that you have read "Peeling Off The Mask". And If you have truly read it you did not understand it. And if you understood it, you are grossly shortchanging your argument.

Miguna answered this question squarely in the book. You either read and did not retain what you read or did not read at all, which is it now?

Aha! He answered it in his own point of view. Didn't he?

Now now now now, how long ago did you read this book again? the book can't be 3 years old now, can it? Mbona yote yameelezwa, ushasahau mara hii? Au unataka tuanze kufungua kurasa na kunukuu?

Again, wewe sijui unasomaje tu. Ni wapi hata nimedokeza kwamba kitabu kimetolewa miaka mitatu iliyopita? Mimi naongelea (ingawa unapendelea 'kuandika') tenure ya Miguna katika capacity yake ya kufanya kazi na Raila wewe unaongelea umri wa kitabu. Wapi na wapi hiyo?

There is a reason I said it was a "case" and not a "fact". The legally trained and otherwise curous will understand the difference. I am not saying Miguna is the Mahdi or resurrected Messiah, all I am saying is that Miguna presented some credible arguments which deserve a comprehensive retort from someone with a high ambition as Oginga.

First you didn't "say". You wrote, right? Now, whether you called it a "case" and not a "fact", to me that is neither here nor there. If you think Miguna presented a compelling case worthy a retort from Raila, fine. I just don't think his book is that compelling to warrant an official response.

Unfortunately for you Raila sank even lower by engaging the Kenyan courts and losing twice after Miguna's prediction that he (Raila) will lose, however off Miguna was in terms of percentage. The fact remains losing is losing.

Exactly how is that unfortunate for me? I'm not him. I don't know him. He doesn't know me. I've never expected anything from him. Win, lose, or draw, it just doesn't concern me so either way it can't be unfortunate as far as I'm concerned.

Don't get me wrong. I am not a Uhuru man. I would have rejoiced to see the one Raila is trying to usurp at State House, but that person is not Raila unfortunately, Raila and Uhuru are both usurpers playing on the prevailing ignorance and classicompacency in Kenya.

You are a Miguna man:biggrin:.

Hapana, lakini kila kesi ina pande mbili. Na yule ambaye hata hajibu mashtaka anatupa sababu ya kuamini kwamba mashtaka ni ya kweli na hayajibiki pasipo kujenga mashtaka zaidi.

Hapana, si kila kesi ina pande mbili. Kuna zingine zina pande tatu, nne, tano, na hata kuendelea. Kuna mambo yahitajiyo majibu na kuna mengine hata kuyajibu ni kujishusha zaidi. Ndiyo hayo ya kumjibu Miguna.

Kuniambia kwamba nadhani ni tusi.

Toka lini kudhani ni tusi? Wewe huwa hudhani?

Nini kinakufanya udhani kwamba nadhani?

Ulivyoandika

Ungefanya examination, usinge ji expose hivi, ama umesoma na kusahau ama hujasoma. Tuambie ni kipi haswa?

Niwaambie (sijui hata niwaambie wewe na nani?) mara ngapi sasa wakati nimeshawaambia?

Ambayo ingefuatiliwa, Raila na Uhuru wote wangekuwa jela. Wangetuachia tuone mtu mwingine tofauti na wawili hawa -

Wangekuwa jela kwa kosa gani na wewe umejuaje kama wangepatikana na hatia?

na cronies wao wa karibu-akiingia Satate House.

Satate House iko wapi hiyo?

Obliged.I am the Pontiff of specifics up in here. I bet you if we run a search on "specific" between yourself and me you are bound to find an earlier rant about specifics from some "Papal Apostolic Encyclical" from yours truly than from you, bet?

Yes. Run that search.

Uliposoma "Peeling Back The Mask" ulisoma mpaka Appendices kule nyuma au ulisoma kivivu bila kusoma Appendices na footnotes (Where EMT at, mzee wa ma footnotes)

Miguna mbona kaweka mpaka Accord nzima kwenye appendices nyuma ya kitabu ili watu wasome mkataba mzima, unataka nionekane kama Alan Greenspan sasa kwa kurudiarudia kuhimiza kusoma kitabu kwa suala la ABC kama kitabu cha Miguna?

Mimi nimekuomba wewe uziweke hizo haki mahsusi ambazo Raila alishindwa kuzisimamia. Sikukuomba ufanye hivyo? Hujaziweka na umeishia kumtaja taja Miguna. Nitaanza kukuita Kiranga Miguna sasa.

Why should I have a point? What if I am ever revolving in quantum probabilism? 9yes, that's a word, a philosophy even, look it up if you doubt)

Even hakunaga is a word. So what's your point?

For someone who values a "point" so much, the whole business of "he does not value your point" is so pointless.

Even a point is pointless if you understands the double slit experiment enough, or the wave particle duality of the photon, or Heisenberg's Uncertainty Principle (as it is known to the English speaking world)

You sound more like Joseph Hellon to me.

And right now you are overrating Raila.

Show me how.

So far you are paying lip service to this ideal, singing lazy chorus while I am hitting the high notes. Hujanionyesha popote by detail kwamba umesoma kitabu, now unarukia twende page by page?

Una hit high notes umekuwa Mariah Carey wewe? If I'm paying lips service then you are just running your mouth. Unataka detal gani hasa ili uone nimesoma kitabu? Jina la publisher au ?

Your concern is apparently a bit overstretched.

Explain how.

What is "an ounce of legitimacy" to you? What scale do you use to weight it?

To me that is a modicum of truth.

What man? For someone bent on specificity, you are turning out exceedingly vague and open to minterpretation here.

Raila Odinga.

I take it you mean constitutionally.

It was just a typo just like "satate" house. You have no monopoly on pedantry.

Whom exactly do you refer to?

Tom Mboya? Barack Obama Sr? Charles Njonjo? George Saitoti? William Rutto? Uhuru Kenyatta? Raila Ujinga?

Already addressed.

Now now now now, it should be a constitutional right in all democratic countries, that any sharp lawyer should be able to milk their five years of fame, if only to encourage more Migunas.

Too bad the milk has now dried out.

Whatsoever is a heavy word. The man passed the bar and became a lawyer in Canada, now granted, even my fellow Pontiff is mured by allegations of being complicit while the Argentine military was pillaging and plundering the Argentine people, I get that. No human is unimpeachable.

So what if he passed the bar and became a lawyer in Canada? Does that make him the salt of the earth?

But whatsoever? Did you even think that word carefully of just threw it out like the panties of an eager and cheap footloose in the midst of a regretfully passionate travelogue that would put ibn Batuta to shame?

Of course I did. The guy is just bitter and he let out his anger through his book.

The entire notion of "fair minded people like me" is laughably serf serving if not utterly ridiculous.

No, it is not.

First of all, it is not curiously inclined in the sense of seeking to enrich itself.It is rather content in the sense of putting on airs that it is the truth.

It is curiously inclined in the sense that it encompasses a much broader view of the totality of circumstances. Rather than leap to conclusions that so and so is this, that, and the third, it enables one to think critically at all posibillities before concluding one way or the other.

Second of all, to the initiated, the word "fair" is assuming and ignorant.

Per whom is it assuming and ignorant? The uninitiated? Who is that?

Assuming in the unchallenged notion that the best viw is from the middle, fair minded people will propel, democracy is the best system, malarkey, horseradish, hogwash.

Mencken- assuming yu are familiar, if not Google is your friend, of course- would disagree.

So what if he would disagree? Will that be the end of the world?

That's where you err. You are focusing on the uncorroborated, instead of the corroborated ( or what can be corraborated). The mistake is fatal!

Why should I just focus on one and not the other? I'm a fair-minded person, remember? How is that erring beats me!

Look, Miguna is probably a scoundrel, but realistically, in a country of megalomaniac tycoons like Kenya, does his dirty rotenscoundrel status affect the expose his giving to the etxent of dismissing him altogether?

Not probably. I think he is a scoundrel. Now of course that doesn't impinge upon his expose to the extent of dismissing everything about him in the aggregate. But it does raise serious issues about his motives, timing, and credibility.

On my credibility scale of 1 to 10 he sits on 3.5.

No. Not to me.

Not to you, fine. To me, yes.

For argument's sake, let's be adults, all utopia aside, so he is a Uhuru sellout (arguments sake, again) does that mean Raila does not have to answer to all the things he wrote?

In my opinion, no. No because it is sensationalism. He doesn't owe anyone an explanation about it.

We do not know that they are lies, again, examination. no research no right to comment in that way.

Who is that 'we'?

Drama queen or not, the questions remain.

Let them remain.
 
Mali ya dhuluma,kumbukeni huyu jamaa alipokuwa waziri wa fedha,kuna ten billion iliongezwa kwenye bujeti kimaksudi.walipogundulika akajitetea eti ni makosa ya uchapishaji.mwizi wa kutupa huyu.

Hujui lolote wewe ila upuzi mtupu.Atleast hata ungefuata debate ya uraisi ungeujua ukweli.
 
REVEALED: The COMPANIES that UHURU KENYATTA owns (The LIST of all DETAILS) Here is the list of business ventures associated with Uhuru Kenyatta. 1. Tourism~ the multibillion world class hotel chain known as Heritage Hotels 2. Banking~ CBA A regional bank with an Asset base of 1 billion Us dollars 3. Insurance ~ Chartis formerly AIG with a market share of 5% 4. Dairy~ Brookside and Spin Knit 5. Education ~ Peponi schools and Brookhouse School, an international chain of schools that charge an AVERAGE OF 10000 USD /= per term per child for Borders 6. Farming~ Large scale coffee, tea and Sisal farming concerns, own farms in Central, Rift Valley and coast regions 7. Media ~ Mediamax Group, owns K24 TV, the people Newspaper, Kameme Fm, Meru Fm and Milele Fm 8. Enke limited ~ holding company with interests in an assortment of sectors that include Prime and Real Estate 9. Timber & manufacturing ~ Timsales Holdings, A timber processing and constructing firm. LAND 10, 000 acre Gichea Farm in Gatundu. 5, 000 acres in Thika. 9,000 acres in Kasarani Mwiki 5, 000-acre Muthaita Farm. 24, 000 acres in Taveta 50, 000 acres in Taita, 29, 000 acres in Kahawa Sukari along the Nairobi—Thika highway stretching all the way to Kilimambogo Hills in Ukambani. Others include: 10, 000-acre ranch in Naivasha., 52,000-acre farm in Nakuru 20,000-acre one, also known as Gichea Farm, 10, 000 acres in Rumuruti, 40,000 acres in Endebes in the Rift Valley Province Others are: Brookside Farm, Green Lee Estate,Njagu Farm in Juja, a quarry in Dandora in NairobiHOTELS Great Rift Valley Lodge, Naivasha Tented Camps Mara Explorer Mara Intrepids Samburu Intrepids Voyager ZiwaniBeach Hotels Kipungani Explorer Voyager Beach Resort source the Kenyan Online Newspaper
A very wealthy president,,,one who will not spend most of his time trying to raise his salary like the Kenyan MP's,,in fact,,he is very against it and he has talked about it,,saying his mission is cutting down the big government wage. A wealthy president,,,and when he says that his government is going to move 10 million poor Kenyans into middle class,,by 2017,,at least,, i believe what he talks about for he is used to big figures. This is what we want,,,not a poor president who will start looking for wealth and forget us. What matters,,is what he will do before the next elections and not what he has,,,because for me,,,that isn't the issue for nobody has complained about him,l,that he grabbed this or that from anybody. So,,,,kijana wa Mzee,,,,,endelea hivyo hivyo na uwaonyeshe,,,styrooo mpya.:rockon: Tulikupa kwa wingi,,,,na tuko,,,pamoja na wewe ni wembe,,,waooooo.
 
REVEALED: The COMPANIES that UHURU KENYATTA owns (The LIST of all DETAILS)

Here is the list of business ventures associated with Uhuru Kenyatta.

1. Tourism~ the multibillion world class hotel chain known as Heritage Hotels

2. Banking~ CBA A regional bank with an Asset base of 1 billion Us dollars


3. Insurance ~ Chartis formerly AIG with a market share of 5%


4. Dairy~ Brookside and Spin Knit


5. Education ~ Peponi schools and Brookhouse School, an international chain of schools that charge an AVERAGE OF 10000 USD /= per term per child for Borders


6. Farming~ Large scale coffee, tea and Sisal farming concerns, own farms in Central, Rift Valley and coast regions


7. Media ~ Mediamax Group, owns K24 TV, the people Newspaper, Kameme Fm, Meru Fm and Milele Fm


8. Enke limited ~ holding company with interests in an assortment of sectors that include Prime and Real Estate


9. Timber & manufacturing ~ Timsales Holdings, A timber processing and constructing firm.


LAND

10, 000 acre Gichea Farm in Gatundu.

5, 000 acres in Thika.


9,000 acres in Kasarani Mwiki


5, 000-acre Muthaita Farm.


24, 000 acres in Taveta


50, 000 acres in Taita,


29, 000 acres in Kahawa Sukari along the Nairobi—Thika highway stretching all the way to Kilimambogo Hills in Ukambani.


Others include:

10, 000-acre ranch in Naivasha.,


52,000-acre farm in Nakuru


20,000-acre one, also known as Gichea Farm,


10, 000 acres in Rumuruti,


40,000 acres in Endebes in the Rift Valley Province Others are:



Brookside Farm, Green Lee Estate,Njagu Farm in Juja, a quarry in Dandora in NairobiHOTELS


Great Rift Valley Lodge, Naivasha

Tented Camps
Mara Explorer
Mara Intrepids
Samburu Intrepids
Voyager ZiwaniBeach Hotels

Kipungani Explorer
Voyager Beach Resort

source the Kenyan Online Newspaper

vitu hivi na mambo haya anavomiliki huyu bana havina tija kwa kuziweka tu hapa. kama inatakiwa kuwa sera kila mwanasiasa anapaswa kutangaza mali yake hadharani hata kama ana mbuzi mmoja au ni tajiri kupindukia.
 
Pamoja na wizi wote huo Raisi aliyemfuata nae alichuma vya kutosha(Gideon Moi ni moja kati ya matajiri watano E/Africa) akaja Kibaki nae yasemekana amechuma(Kibaki Family ni moja familia tajili nchini Kenya). Pamoja ni wizi wote huo Kenya ndo taifa lililo mbele kimaendeleo Africa mashaliki na kati.

Wanaofaidika na maendeleo ya Kenya ni wale wenye fedha, na ni wachache. Kuna mafukara wa kutupwa ambao hawana hili wala lile na vitu wanaviona tu kwa macho... kama ni hotel, hospital, ndege haviwasaidii. Bora Tanzania Mwalimu hakufuja raslimali kiasi ambacho leo mtu unaweza kuzifaidi!
 
Wanaofaidika na maendeleo ya Kenya ni wale wenye fedha, na ni wachache. Kuna mafukara wa kutupwa ambao hawana hili wala lile na vitu wanaviona tu kwa macho... kama ni hotel, hospital, ndege haviwasaidii. Bora Tanzania Mwalimu hakufuja raslimali kiasi ambacho leo mtu unaweza kuzifaidi!

Lakini sasa hivi wao wanaelekea kutoa elimu bure na afya bure, hizo huduma hazijalishi maskini au tajiri.
 
Hapo ndio ninapomchukulia hayati Mwl. Nyerere kama alikuwa mtu na kiongozi wa kipekee duniani. Bila shaka alimjua Mungu akaogopa kujilimbikizia mali za umma, pia akatambua hata atakapokufa ataenda wapi na hizo mali za dhuluma. RIP BABA WA TAIFA.
Kujilimbikizia mali si kosa ilimradi mali hizo zitokane na jasho na njia halali. Na ufukara wa kipato wa Nyerere aliouachia familia yake si kipimo pekee cha uadilifu na utumishi uliotukuka kwa umma.....

Bado sijasahau jinsi alivyopenda 'kuabudiwa' na kutaka kuaminiwa kuwa anachokisema ama kukiwaza yeye ndiyo kama 'msahafu'..hakuna wa kupinga ama kuleta fyoko...na waliodiriki waliishia vizuizini ama kukimbia nchi...,

alivyouasisi mfumo kristo na jinsi unavyotikisa mustakabali wa taifa hivi sasa..., Jinsi alivyoitia nchi umaskini kwa kuiingiza katika vita visivyo na tija na Uganda kiasi cha kuitia nchi umaskini hadi leo, .....
 
Mali ya dhuluma,kumbukeni huyu jamaa alipokuwa waziri wa fedha,kuna ten billion iliongezwa kwenye bujeti kimaksudi.walipogundulika akajitetea eti ni makosa ya uchapishaji.mwizi wa kutupa huyu.

He he he,,very very funny,,,,yaani,,,Uhuru Kenyatta alikua akataka kuiba,,10 Billion,,only,,
wakati alikua tayari,,Billionaire???????????
. :biggrin::biggrin:

Uhuru Kenyatta aliingizwa katika siasa,,in 2002 na Moi,, na hata wakati huo,,,
bado alikua,,,,,, Billionaire,,hakua maskini!

Uhuru Kenyatta,,imekua star hata kuogopwa na mabeberu ambao walikua
wametaraji Raila Odinga kuchukua usukani Kenya.

Ni Kenya tuu,,ambapo,, high commissioner in Kenya wa Uingereza anaweza
kuamurisha tume huru ya uchanguzi,,eti wafanye hivi ama vile akitaraji
Raila Odinga kushinda,,Kenya.

Kama ni mimi Jammu,,,yaani,,ingelikua mimi ndie Uhuru na baada ya
kuchukua usukani Kenya,,,,kitu cha kwanza,,,, ni kumuonyesha huyu balozi
wa Uingereza njia ambayo inaelekea Uingereza,,kama vile Jaramogi
Odinga,,baba yake Raila Odinga alivyo wafanya wazungu
vichwa ngumu,,,baada ya Uhuru wa Kenya,,alipokua,,,
vice president wa Jomo Kenyatta.

Hayo yote ni historia sasa,,kwani Uhuru Kenyatta ndie rais wa Kenya,,,,,
Marekani na Uingereza,,wakainua mikono,,,,wengi wa viongozi wa ki-Afrika
wakamkubali Uhuru,,hata waka witness his swearing in, on 9th April,,,

Raila Odinga baada ya sarakasi,,hata yeye akasalimu amri ,,na kumtembelea
Uhuru,,,,yaani,,kijani wa mzee,,katika ikulu ya Nairobi na jana,,Friday,,
19th,,Uhuru akaelekea Kisumu ambapo walihudhuria pamoja na Raila,,
mazishi ya mmoja wa viongozi wa walimu Kenya,,,pale tuliwaona Raila na
Uhuru wamekaa pamoja, hata Uhuru Kenyatta aka wahutubia watu
wa Kisumu.

"we got our own ways,,of doing our things", akasema Deputy
president.

Kwahivyo,,,ya Kenya,,yatatatuliwa Kenya na si Moscow na
wala si London ama New York,,hata Hague haita fua dafu.

Poleni saaaaana,,,walio kua wakimpendelea Raila Odinga,,
sababu wanazo zielewa wao wenyewe,,na haswa,,wasio,,
wa Kenya
,,,lakini ukweli ambao hauwezwi kubadiliswa na hata
the UN,,ni kwamba rais wa Kenya ni,,,,,,,,,

Uhuru Kenyatta,,,
our shinning star,,,huo ni uamuzi ambao hauwezwi
kubadilishwa na yeyote,,hata binguni.

Kwahivyo,kama haumpendi,,,,pole saaaana,vumilia tuu,,,ndugu,,
kwani,,,,hauna any other option,,wa Kenya waka amua na,,it
is a closed chapter.


Kama Obama ameinua mikono juu,,,na wewe,,ni nani????????

Kwahivyo,,,Kijana wa mzee,,,,wembe ni,,huo huo,,,hakuna
yeyote anaweza kukutingisha,,kwani,,wa Kenya wengi wako
nyuma yako,,,,,tuko pamoja na sasa,,,ni kuitingisha dunia kwani,,
kama ulivyo sema,,,,ni wakati wa muafrika kunyanyuka.
 
Here is the list of business ventures associated with Uhuru Kenyatta.

1. Tourism~ the multibillion world class hotel chain known as Heritage Hotels

2. Banking~ CBA A regional bank with an Asset base of 75.4 billion


3. Insurance ~ Chartis formerly AIG with a market share of 5%


4. Dairy~ Brookside and Spin Knit


5. Education ~ Peponi schools, an international chain of schools that charge an AVERAGE OF 620,000/= per term per child for Borders


6. Farming~ Large scale coffee, tea and Sisal farming concerns, own farms in Central, Rift Valley and coast regions


7. Media ~ Mediamax Group, owns K24 TV, the people Newspaper, Kameme Fm, Meru Fm and Milele Fm


8. Enke limited ~ holding company with interests in an assortment of sectors that include Prime and Real Estate


9. Timber & manufacturing ~ Timsales Holdings, A timber processing and constructing firm.



LAND


10, 000 acre Gichea Farm in Gatundu.

5, 000 acres in Thika.


9,000 acres in Kasarani Mwiki


5, 000-acre Muthaita Farm.


24, 000 acres in Taveta


50, 000 acres in Taita,


29, 000 acres in Kahawa Sukari along the Nairobi—Thika highway stretching all the way to Kilimambogo Hills in Ukambani.



Others include:

10, 000-acre ranch in Naivasha.,


52,000-acre farm in Nakuru


20,000-acre one, also known as Gichea Farm,


10, 000 acres in Rumuruti,


40,000 acres in Endebes in the Rift Valley Province

Others are:



Brookside Farm, Green Lee Estate,Njagu Farm in Juja, a quarry in Dandora in NairobiHOTELS

Great Rift Valley Lodge, Naivasha


Tented Camps
Mara Explorer

Mara Intrepids


Samburu Intrepids


Voyager Ziwani

Beach Hotels

Kipungani Explorer

Voyager Beach resort
 
Back
Top Bottom