Uhuru na Raila kuongozana China kwa maslahi ya nchi, hivi Tz Mbowe na Magufuli wanaweza?

Tatizo lenu kubwa wazembe wa kusoma, ipitie ripoti ya CAG, japo kwa mlivyo wavivu sidhani hata kama utadiriki kusoma ukurasa mmoja.
Nakwambia taja sekta iliyokaukiwa fundings unaniambia nipitie report ya CAG hivi kichwa chako kina uji au mucus.
 
Siasa mbovu sana hizi, yaani viongozi waishi kwa kuonana kama simba na swala...mtabaki kuwa maskini kwa muda mrefu sana mkiendekeza siasa za kihivyo, ifike hatua muweke utaifa mbele.
We utabakia kuwa brashia viatu tu

Ova
 
Uhuru is on another lever when it comes to leadership, you can not compare Uhuru and this disgraceful person, dictator and a huge disaster in our State House.

 
Nakwambia taja sekta iliyokaukiwa fundings unaniambia nipitie report ya CAG hivi kichwa chako kina uji au mucus.

Nitaje za nini wakati miradi yote iliyobuma kwa ukosefu wa hela imetajwa kwenye ripoti ya CAG, kajisomee mwenyewe wacha uzembe.
 
Nitaje za nini wakati miradi yote iliyobuma kwa ukosefu wa hela imetajwa kwenye ripoti ya CAG, kajisomee mwenyewe wacha uzembe.
Nimesoma report, hakuna mradi uliobuma we bwege. Hela zimepigwa kwenye sekta mbali mbali lkn hakuna mradi uliosimama kisa hela.
Ipo miradi iliyosimama kutokana na change in terms and conditions.
Hakuna haja ya kusema uongo ili uonekane mwerevu.
 
Ingekua muhimu kuliko ubadhirifu isingekosa fungu
 
Nimesoma report, hakuna mradi uliobuma we bwege. Hela zimepigwa kwenye sekta mbali mbali lkn hakuna mradi uliosimama kisa hela.
Ipo miradi iliyosimama kutokana na change in terms and conditions.
Hakuna haja ya kusema uongo ili uonekane mwerevu.

MaCCM kwa akili ya kushikiliwa huwa mnatia kinyaa, nimekuambia usome ripoti sio uende kuwauliza watu wa Lumumba.
Nikupe mfano tu, kuna sehemu ripoti inazungumza kwamba serikali ilishindwa kupokeza bilioni 110b kwa miradi kadhaa ambayo imekwama.
Ni wazi hizi ni baadhi ya hela ambazo mumeeelekeza kwa mindege ya kubebea nyama na reli ambayo ambayo mnang'ang'ania kwa pesa ya ndani ambazo hazipo, mnalazimika kuvuruga miradi mingine hadi vyuma vinakaza kote.
Soma hii link hapa au utafute mtu akutafsirie ni mojawapo wa baadhi ya hela ambazo mumenyang'anya miradi https://www.thecitizen.co.tz/News/G...mentation-/1840340-5065266-t1g1qoz/index.html
 

Mkuu,

Aguambo anasafiri na UK kutimiza strategic objectives zake kubwa mbiili:

1: Kutekeleza majukumu yake kama African Union envoy on infrastructure​
2: Kuhakikisha kua SGR itafika Kisumu ambako ni nyumbani kwao.​

Hilo la kusema kuwa ni juu ya upinzani na demokrasia inaonyesha jinsi gani ulivyo naive ktk Sasa za huko kwenu.

Btw, hakuna jipya, maana Lowassa ambae alikua ndio main opponent wa JPM pamoja na viongozi Wendi wa upinzani tayari wake na JPM naw engine sasa ni Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na maDC.
 
Ingekua muhimu kuliko ubadhirifu isingekosa fungu
Unajua Kenya inaishinda Tz Kwa ranking ya "Government effectiveness in delivering projects" Yani hata kama tuna ufisadi bado hua ukicompare mipango yote ya serekali, Kenya hufanyikiwa kumaliza asilimia kubwa ya mipango kuliko Tz..... Tz kazi yake ni kuzindua kila siku....miaka michache baadae mnazindua tena na tena
 
Uhuru ana akili na anajua kula na kipofu na ndo akamchukua kipofu raila.
 
Hatutaki kuwa ombaomba kama nyie. Ukibebwa jikaze usijiregeze. Tena mnataka mradi mzima mbebwe sasa kodi mnayoikusanya inaensa wap?
 
Kipi kipya hapo, ni wazi kila mwanasiasa ana objectives zake kwenye kila hatua anayopiga, hivyo sio cha ajabu kwa Raila kuwa na maslahi yake, lakini la msingi ni hilo la kujitolea kuungana na Uhuru kwenda kusaka kwa ajili ya nchi.
Kama vipi Mbowe na Magufuli wakutane na kusaka hela kwa ajili ya tawi la SGR liende hadi Arusha kupitia Kilimanjaro kama unavyosema Raila anafuata mkondo wa kufika Kisumu.
Mwisho wa siku tukifaulu kufikisha Kisumu itaifaidi nchi haijalishi ni kwa Raila nyumbani au la.

Mambo ya Lowassa sina haja ya kumjadili maana yule mlimsakama hadi akarudi 'nyumbani' na kutelekeza upinzani.
 
Tuachane na ushindani kwanza,TZ is doing better in all aspects, Nilikuuliza ni mradi gani uliokwama awamu hii hamjaleta hata mmoja...
Demokrasia na uhuru wa kujieleza tunahali mbaya kwa sasa
 
Tuachane na ushindani kwanza,TZ is doing better in all aspects, Nilikuuliza ni mradi gani uliokwama awamu hii hamjaleta hata mmoja...
Demokrasia na uhuru wa kujieleza tunahali mbaya kwa sasa
Hebu nijibu Kwanza, ni miradi mingapi ya serekali mlio maliza na inafanya kazi? Mmekua mkipata FDI ya zaidi ya $2.5B kila mwaka in the last 10 years, hebu nionyeshe miradi iliojengwa na hizi hela nje ya BRT na ndege za ATCL.
 
Hebu nijibu Kwanza, ni miradi mingapi ya serekali mlio maliza na inafanya kazi? Mmekua mkipata FDI ya zaidi ya $2.5B kila mwaka in the last 10 years, hebu nionyeshe miradi iliojengwa na hizi hela nje ya BRT na ndege za ATCL.
Unafaham upande wa barabara tueshapave 13000km hadi juzi hapa...Magufuli alivyoingia madarakani zilikua 8000+km
hosp Za wilaya na vituo vya afya vipya zaidi ya 300. ...
Dawa sahv zinapatikana bila shida
Umeme wa vijijin penetration imeongezeka sana..
Huduma ya maji nayo imeboreshwa sana...
Umeme nao sahv kukatika ni kue na dharura lasivyo haukatiki kama miaka 5 iliopita
 

Usijaribu kujenga hoja kwa kutumia wrong assumptions afadhali hata zingekuwa weak assumptions...Kwa kifupi: your title is neither inline with your abstract nor your conclusion....
 
Usijaribu kujenga hoja kwa kutumia wrong assumptions afadhali hata zingekuwa weak assumptions...Kwa kifupi: your title is neither inline with your abstract nor your conclusion....

Wewe umenijibu kwa kutumia assumptions eti Raila anafuata reli iende kwake Kisumu, sasa unalalamika nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…