Uhuru na Raila kuongozana China kwa maslahi ya nchi, hivi Tz Mbowe na Magufuli wanaweza?

Achana na huyu, tunamjua ni special case.
 
Siasa mbovu sana hizi, yaani viongozi waishi kwa kuonana kama simba na swala...mtabaki kuwa maskini kwa muda mrefu sana mkiendekeza siasa za kihivyo, ifike hatua muweke utaifa mbele.
Siasa zetu na zetu ziko tifauti sana mdogo wangu.

Nyie wanasiasa ni marafiki ila wakenya wafuasi ni maadui wa kuuana.

Huku wanasiasa ni maadui ila wafuasi ni wapenzi wa kufaana sana.
 
Ahaaa haaa haaa
When my friend becomes a friend of my enemy.

We may heteroscedastically conclude that:
H0: The enemy of my enemy is my friend.
H1: The friend of my enemy is my enemy.
Mark my words
Raila atakuja kuwa Rais huko mbele na sasa yupo kwenye mafunzo taratibu
[emoji41][emoji848][emoji848]
 
Siasa zetu na zetu ziko tifauti sana mdogo wangu.

Nyie wanasiasa ni marafiki ila wakenya wafuasi ni maadui wa kuuana.

Huku wanasiasa ni maadui ila wafuasi ni wapenzi wa kufaana sana.

Wafuasi kwenu ni wa kufaana kwa kweli, hebu ona hii picha hapa chini mnavyopendana kichama

 
Ahaa, so kumbe you meant serikali ilikosa billion kadhaa sababu ndege ilinunuliwa na reli(to be specific sgr) inajengwa , isn't that opportunity cost due to scarcity of cash.
Serikali imeona ni bora iwekeze kwenye hizo modes of transportation for now. Washenzi kumbe roho zinawauma kuona Tz tunawekeza huko bila ya kukopa kijinga jinga kama nyinyi mnakaribia kuuzwa, mlikuwa mnataka muwe na sgr na kenya airways in Kenya alone. Ati air tz inabeba nyama, kama wanalipwa na kuna faida kwanini wasipakie. Na kwa taarifa yako linapiga routes nchini na linajaza daily.
Napenda wajinga kama nyinyi, prove em wrong bitches.
 
Amakweli walaaniwe wanasiasa ina maana mmeshawasahau wale waliokufa 2007 na na 2017. Okay nao kama vp wapande ndege yao Boeing max X kama ya Ethiopia wakawasalimie
 
Amakweli walaaniwe wanasiasa ina maana mmeshawasahau wale waliokufa 2007 na na 2017. Okay nao kama vp wapande ndege yao Boeing max X kama ya Ethiopia wakawasalimie
So ulitaka waishi kwa chuki tangu 2007 yaani nchi ikae mkao wa kuchukiana.
 
Hao wanamipango yao,Raila siyo mpinzani tena wa Uhuru,Ukitaka kujua hilo muulize Ruto atakwambia
 
Kenya ni nchi ya watu wawili oginga oginga na jomo kenyata.hivyo hao wanao lazma wawe washkaji tuu
 
Hawa ni wasanii..Hii ni episode ya kutumikia mbali Ruto ktk kugombea Urais 2022. Kenyatta is very cunning..alimtumia Ruto kupata kura za wakalenjin sasa amesalitiwa na Kenyatta na urais atausikia redioni. Kenya Presidency is for Kikuyus only..
 
Kama hawajui kitu kinaenda Uganda kutokea Chato[emoji582][emoji582][emoji582]
 
Wameenda kuinusuru mombasa port

Ova
 
Uhuru na familia asilimia kubwa ya ardhi ya kenya wameikamata hku wakenya wa kawaida kama wakina MK254 wamebakia watupu.....wnangangania sheria ipitishwe EAC upande wa ardhi waweze miliki ardhi tz

Ova
Kwa propaganda uko sawa
 

Hakuna uzalendo hapo, unafiki tu! Kama una uzalendo wa kweli si kusafiri bali ni kurudisha mashamba ya watu aliowapoka wananchi wa Kenya. Hao wanajuana sana lao moja. Lakini huo mkopo mnaofurahia utawatokea puani. Mchina hana rafiki bali kuna kitu kakiona hapo Kenya anakitaka. Hii mikopo kuichukua ni rahisi sana ila kuirudisha ni mtiti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…