Uhuru na Raila kuongozana China kwa maslahi ya nchi, hivi Tz Mbowe na Magufuli wanaweza?

Uhuru na Raila kuongozana China kwa maslahi ya nchi, hivi Tz Mbowe na Magufuli wanaweza?

Uhuru ana ongozana na RO huku W.Ruto hajamalizana na RO na UK kuhusu hatma yake ya kugombea uraisi ndan ya jubileee kwa kitendo hiki kweli Ryto lzm alalamike ...maana Ruto na camp yake wanalalamikia huo ukaribu wa UK na RO ya kwamba unamipango ya kuharibu safari ya ndoto yake ya uraisi ndani ya jubilee

LKN ALL in ALL ni jambo zuri kujenga fikra ya kuliunganisha ilo taifa lkn Ruto asiwe sidelined na yy anaweza akq mobilize kabila lake wakawa ni anti government

Ahaaa haaa haaa
When my friend becomes a friend of my enemy.

We may heteroscedastically conclude that:
H0: The enemy of my enemy is my friend.
H1: The friend of my enemy is my enemy.
 
Oyaaa kwa taarifa yako tuna reli zaidi ya 500km inatumika, hiyo ni karibu mara tatu ya kipande chenu hicho cha 200km ambacho kimewatoa jasho sijui mumefikia wapi, mling'ang'ania kutumia hela ya ndani ambazo mnaishia kunyofoa hela kutoka kwa miradi mingine hadi sekta zote zinakauka nchi vyuma vinakaza kila mtu anaishia kulia.
Umekuwa kama bavicha, tofauti yako ya pekee na wao ni unatetea nchi yako iko ubongo mnafanana.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Pesa za ndani zipi hizo? Acheni kudanganya watu, kila siku deni la taifa linazidi kupaa kwa spidi kubwa mnakuja na hadithi zenu. Kila siku anakopa na hataki watu wajue!!

Ahaaa haaa haaa
Kama hataki tujue wewe umejuaje?
 
Demokrasia ya Kenya level yake sio ya kawaida, rais wa nchi na kiongozi wa upinzani kusafiri pamoja kwenda Uchina ili wakafanye majadiliano ya nchi kupewa mkopo wa kukamilisha reli ya SGR.
Hapa nawaza kama hili linawezekana kwa Museveni na Besingye au Magufuli na Mbowe watoke na kusafiri pamoja kwa ajili ya maslahi pana ya nchi.

Ifike mahali tujifunze kutanguliza uzalendo......sio mkao wa kujihami kwa mashoka kila siku.
-------------------------------

African Union envoy Raila Odinga will accompany President Uhuru Kenyatta to China next week to seek funds for the extension of the Standard Gauge Railway (SGR) from Naivasha to Kisumu.

According to Mr. Odinga, they are optimistic that the Chinese Government will give Kenya Ksh.368billion loan from China to Kenyan government.

Speaking in Nyakach sub county on Saturday, the AU envoy said the funding will will also help revive the Kisumu inland port that slumped following the collapse of the railway transport.

He said the new SGR line will extend from Naivasha to Narok, Bomet, Sondu and finally Kisumu.

In addition, the completion of the SGR will have a huge impact on the economy of Kisumu and its environs, Mr. Odinga added.

He also noted that special economic zones will be established in Kisumu to make Kisumu City the hub of East Africa.


It is expected that the project will provide more employment opportunities for Kenyans who live and work in the region.
https://citizentv.co.ke/news/raila-and-uhuru-set-for-china-visit-to-seek-ksh-368b-sgr-loan-241862/
Kwani mbowe alikuwa mgombea urais?

Uliza hivi kweli tz jpm na Lowasa wanaweza?

Jibu ni ndio wanaweza Sana tu
 
Hemu weka chanzo cha taarifa, au nyie wakenya mnapika hizo taarifa tu..... pia tatizo sio chanzo tu. Je wananchi wa kenya wanapata social services au bado wanakula msoto huko kibera ..
Akikujibu huyo mungiki nitag
 
Oyaaa kwa taarifa yako tuna reli zaidi ya 500km inatumika, hiyo ni karibu mara tatu ya kipande chenu hicho cha 200km ambacho kimewatoa jasho sijui mumefikia wapi, mling'ang'ania kutumia hela ya ndani ambazo mnaishia kunyofoa hela kutoka kwa miradi mingine hadi sekta zote zinakauka nchi vyuma vinakaza kila mtu anaishia kulia.
Taja sekta moja iliyokauka.
 
Kenya pesa mnazokusanya mnazifanyia nn?hv maana ya kua lower middle income country ni ipi?
Mnamsema JPM ambae amethubutu kuanza kipande cha 200+km kwa pesa za ndani...serikali ya ldc imeweza kutoa $1.215Bn nyie mnashindwa nn???Mkiitwa wapumbavu mnakasirika kitu gani..
Kodi ya ndani hutumika Kwa mambo muhimu zaidi huku Kenya, Kwa mfano bajeti ya Elimu mwaka huu Kwa mara ya Kwanza itapita $4B... Ukilinganisha na Tz bajeti ya Elimu haifiki hata $1B... Kama Kenya pia ingetumia < $1B hapo kwa Elimu tayari tungekua na $3B extra za kujenga SGR!!!!
 
Ukikuta wanyama wote mpaka simba na swala wapo pamoja ujue ni ukame ndio umewakutanisha

Siasa mbovu sana hizi, yaani viongozi waishi kwa kuonana kama simba na swala...mtabaki kuwa maskini kwa muda mrefu sana mkiendekeza siasa za kihivyo, ifike hatua muweke utaifa mbele.
 
Taja sekta moja iliyokauka.

Tatizo lenu kubwa wazembe wa kusoma, ipitie ripoti ya CAG, japo kwa mlivyo wavivu sidhani hata kama utadiriki kusoma ukurasa mmoja.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kweli kabisa..... Makenya majinga kweli, kazi kupiga makelele.... walio kamata uchumi + kufaidi matunda ya nchi yao ni wageni.. maghorofa mengi Nairobi yanamililiwa na wageni,

Tanzania tupo vizuri sana.
Hebu tupatie mifano ya hayo magorofa yanayo milikiwa na wazungu
 
Kwani mbowe alikuwa mgombea urais?

Uliza hivi kweli tz jpm na Lowasa wanaweza?

Jibu ni ndio wanaweza Sana tu

Lowassa yule mmoja aliyebabaishwa hadi 'akarudi' nyumbani....
Itakuchukua muda mrefu kuelewa ninachozungumza kuhusu hapa.
 
Demokrasia ya Kenya level yake sio ya kawaida, rais wa nchi na kiongozi wa upinzani kusafiri pamoja kwenda Uchina ili wakafanye majadiliano ya nchi kupewa mkopo wa kukamilisha reli ya SGR.
Hapa nawaza kama hili linawezekana kwa Museveni na Besingye au Magufuli na Mbowe watoke na kusafiri pamoja kwa ajili ya maslahi pana ya nchi.

Ifike mahali tujifunze kutanguliza uzalendo......sio mkao wa kujihami kwa mashoka kila siku.
-------------------------------

African Union envoy Raila Odinga will accompany President Uhuru Kenyatta to China next week to seek funds for the extension of the Standard Gauge Railway (SGR) from Naivasha to Kisumu.

According to Mr. Odinga, they are optimistic that the Chinese Government will give Kenya Ksh.368billion loan from China to Kenyan government.

Speaking in Nyakach sub county on Saturday, the AU envoy said the funding will will also help revive the Kisumu inland port that slumped following the collapse of the railway transport.

He said the new SGR line will extend from Naivasha to Narok, Bomet, Sondu and finally Kisumu.

In addition, the completion of the SGR will have a huge impact on the economy of Kisumu and its environs, Mr. Odinga added.

He also noted that special economic zones will be established in Kisumu to make Kisumu City the hub of East Africa.


It is expected that the project will provide more employment opportunities for Kenyans who live and work in the region.
https://citizentv.co.ke/news/raila-and-uhuru-set-for-china-visit-to-seek-ksh-368b-sgr-loan-241862/




Naivasha to Kisumu, kisumu is the home town of Raila Idinga why then he should not support Uhuru in the course?!😁😁
 
Siasa mbovu sana hizi, yaani viongozi waishi kwa kuonana kama simba na swala...mtabaki kuwa maskini kwa muda mrefu sana mkiendekeza siasa za kihivyo, ifike hatua muweke utaifa mbele.
Kweli kabisa utaifa mbele kwenda kuomba pamoja
Njaa ndio inawakutanisha la sivyo mngegawiana mashamba mkalima kuliko familia moja kujimilikisha ardhi yote
Hivi ni lini mtakuja kusema nauza shamba langu kama sisi huku?

Waache waende tunawaombea kila la kheri
 
Lowassa yule mmoja aliyebabaishwa hadi 'akarudi' nyumbani....
Itakuchukua muda mrefu kuelewa ninachozungumza kuhusu hapa.
Hata Raila ni kama amerudi nyumbani tu.

Nikumbushe tu jaji aliemwapisha yuko uhamishoni mpaka leo na Raila haonyeshi kujari tayari tumbo lake limeshibishwa
 
Hata Raila ni kama amerudi nyumbani tu.

Nikumbushe tu jaji aliemwapisha yuko uhamishoni mpaka leo na Raila haonyeshi kujari tayari tumbo lake limeshibishwa

Jaji yupi alimuapisha yupo uhamishoni, acha hadithi za vijiweni.
 
Back
Top Bottom