Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2017-2003 = 14yrsToka 2003 hadi 2017 mmepunguza 4%
[emoji116] [emoji116] [emoji116]
UNICEF - Overview - Kenya at a Glance
View attachment 508791
Acha tu malori yapishane lakini ardhi noooKaka EAC sio ndoto maana ipo tayari inafanya kazi, fahamu ipo kwa ajili wananchi wenyewe wameijenga, wenyewe tumeungana na kufanya biashara na mengine. Ni kweli hatuwezi kuwa taifa moja la muungano maana tupo tofauti sana kiitikadi, malengo, milengo na mifumo lakini tunahusiana kila panapoibuka fursa.
Juzi nimekua pale Namanga, acha tu aiskuambie mtu maana Wakenya na Watanzania wanaopishana kwenye shughuli pale ni noma. Lori za mizigo pande zote mbili zinafuatana kwa foleni hivyo lazima tutaendelea kuhusiana panapowezekana na kutupa kulee chochote chenye utata.
we jamaa huwa unajiaibisha sana, sijui kwanini..Si anajua kiingereza banaa...!
74bn Economy with this??2017-2003 = 14yrs
2003 Kenyas Economy was 12bn$
2017 Tuko 74.5bn$
2003 tulikuwa 34mn
2017 tuko 46mn
Sikuizi mumekosa Hoja
geza amepunguza makali
He was regarded as a snitch by lots of his previous supporters, unadhani alipendwa na kila mtu kwa yale maamuzi.Nenda ambia Nelson Mandela haya
Kwa lipi?we jamaa huwa unajiaibisha sana, sijui kwanini..
kwani JPM hajui Kiingereza?Kwa lipi?
Kivipi?
wtf??Iyo ni photo shop maana Tz Ni ndugu wa damu n chinaz,ndio maana kwenye mikutano yetu balozi wao anashiriki wa chinaz
Hahahahaa! Daah!! Tutaona mengi humu JFwtf??
Edu i just cant enyewe hawa watu wa south!!!Hahahahaa! Daah!! Tutaona mengi humu JF
Hahahahhaha! I can't help but lough knowing how perturbed you are with this neighbors in the south!! Was he in his believe saying this were matters photoshop??Edu i just cant enyewe hawa watu wa south!!!