Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,467
- 13,026
Kuishi Tanzania inabidi uongezee kwenye CV yako maana ni skill tosha hio
Heheheh!, If you can live and survive in Tanzania?!
You live and survive ANYWHERE!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuishi Tanzania inabidi uongezee kwenye CV yako maana ni skill tosha hio
UHURU: Nimechaguliwa na wakenya, maoni ya wakenya ni nguzo muhimu ktk uongozi wangu. Siwezi kuyapuuza.
JPM: Nilichukua fomu mwenyewe, kwa hiyo sipangiwi. Ukijaribu kunipangia ndio unaharibu kabisa.
UHURU: Nimefurahi kukutana na kaka yangu Raila. Tumeamua kuweka tofauti zetu kando kwa maslahi ya wakenya. Kenya ni kubwa kuliko sisi.
JPM: Mzee Lowasa amekuja kunipongeza kwa kazi nzuri ninazofanya. Mzee Lowassa ni mtu mwema, hakunitukana wakati wa kampeni. Wapambe wake ndio walionitukana lakini hakuwatuma. Kwani uliwatuma mzee? (Hapana, sikuwatuma).!
UHURU: Maandamano ni haki ya msingi ya wananchi wa Kenya. Serikali haitazuia maandamano yoyote ya amani. Nimemsikia IGP akisema waandamanaji hawana kibali cha maandamano yao. Nimemwambia Wakenya hawahitaji kibali ili kueleza hisia zao kwenye nchi yao wenyewe. Wanahitaji tu kutoa taarifa kwa polisi ili kupata ulinzi. Polisi hawaruhusiwi kuzuia maandamano, bali kuyalinda ili wale watakaofanya vurugu wakamatwe. Kwahiyo waliojiandaa kuleta fujo kwenye maandamano hayo watashughulikiwa.
JPM: Nasikia kuna maandamano. Waambieni waandamane waone. Kama kuna wajomba zao waliowatuma wataenda kuwahadithia. Mimi sijaribiwi.!
CHAKUBANGA: Hatuna la kujifunza Kenya. [emoji23][emoji28][emoji28]
Safari yetu ni ndefu utadhani hatutembei[emoji86]
Ndio kiongozi, Maradhi, Umasikini vimedumaza vichwa vyetu,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu umelia na kucheka
Hahaha. What happened to the Tz I knew? I once had the best times there when Mkapa was in the finishing line of his era. Guess ill just have to add that to my C.V. 🙂Heheheh!, If you can live and survive in Tanzania?!
You live and survive ANYWHERE!