Uhuru Park, Kenya: Raila Odinga aapa kama Rais wa Watu bila kuwepo kwa makamu wake Kalonzo

Tatizo unalo wewe kwasababu haihalishi idadi ya wakenya inahalisha idadi ya kura zilizopigwa
Kwa Hiyo Unataka Kusema Hata Kama Waliojiandikisha Kupiga Kura Ni Milion 27, Mpinzani Wako Akasusia Uchaguzi Na Akawaambia Wapigakura Nao Wasusie Pia Mwisho Wa Siku Unajikuta Kwny Uchaguzi Peke Yako Halafu Unapata Kura Milion 7 Kati Ya Kura Milion 27 Halafu Unajisifu Umeshinda? Watu Milion 20 Wamekususa Maana Yake Wamemuunga Mkono Mpinzani Wako Aliyesusa Kwa Sababu Za Msingi Kabisa Lkn Hukutaka Kumsikiliza. Sasa Mwenye Milioni 7 Na Mwenye Mil 20 Hata Kama Hayupo Ikulu Je, Nani Anapendwa Na Wananchi Na Nani Alitakiwa Kuwa Ikulu? Wenye Nchi Ni Wananchi Wasipuuzwe Na Kura Zao.
 
nahisi ametekwa maana mpaka dsds
Vipi kinaendelea nini hapo bustani za Uhuru
Tujuzeni huku tuanze kuandaa mazingira ya kkupokea wakimbizi
watu wanashangaa shangaa tu hakuna viti meza wala vipaza saiti Odinga hajulikani alipo Ruto hajulikani alipo ......... wamebakia wanaungua jua infact Ruto alionekana masaa kadhaa yaliyopita akitimkia kusikojulikana .........Odinga yeye wanahabari wamejaa nje kwakwe tangu saa 12 asubuhi lakini hawajaona dalili yake toka kumekucha😀😀 is either comender in "general"ametumia mbinu za kijeshi kama kule zimbabwe walivyofanya

 
Duuu wakifa watu kina Raila na Uhuru wako zao nje wanakula glass za wine

Africa miyeyusho sana
 
Raila huyooo anaingia.... aaaahhh kumbe sie.

Tulieni hapo hapo... hakuna kuogopa jua... njaa... mabomu wala risasi... mpaka kieleweke.... Uraisi leo lazima.
 
Huyo chief justice, au deputy wake yupo hapo?? Na je muda si umeshapita??
Aache utoto huyo Odinga.
 
dola wala haina shida na waliokusanyika. demokrasia inawaruhusu as long as hawafanyi vurugu.
dola inamsubiri Raila alete pua yake nyeusi hapo tu halafu itamkwe kuwa "anaapishwa".
anaweza "kuapishwa" lakini huo ndio utakuwa mwisho wake wa kuonekana in public - atafichwa hukooo hadi kifuatacho!

ndiyo maana hawezi kuja hapo hata iweje - labda maudhui ya mkusanyiko yabadilike. na hili Raila analijua!
 
Haya cdm mna pendwa na wananchi kelele za nini sasa waacheni ccm waongoze nchi nyie mbaki na kupendwa na wananchi
 
DHAMBI YA UKABILA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…