Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Msela wake aliyeenda kumsaidia kuzindua kampeni kwenye ile duru ya kwanza amehudhuria leo? I mean Mr kidevu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
To me it makes a difference!
Mind your BIZZ!!What is it? Let's say humtambui Raila, so what happens?
Dah, Kasie, naona jirani leo umetutembelea. Huyo sibling yako ndo dadako mdogo au? Sisteh, nipe directions za kufika kwenye makao yake basi na contacts zake pia. Ntarudi na mrejesho, kuhusu hali yake na usalama wake pia. 😀😀😀Aiseeh Mungu awanusuru na machafuko. Nina sibling anaishi huko basi roho juu.
Aaaghh wamalize tuu hizo tofauti zao wananchi waendelee na maisha mengine. Wahindi kibao walikimbia tangu mwaka jana sijui kama wamesharudi.
Hatadakwa sababu alikua anaigiza tu.nilikosea nakubali.
kama ni hivyo kuna mawili:
1. Uhuru ni kiongozi mwenye hekima sana pengine kuliko marais wote Africa
AU
2. Raila ameachiwa afanye tendo ambalo kikatiba linakuwa construed as treason na sasa kwa vile kaifanya anaweza kudakwa anytime!
hahaha!Hatadakwa sababu alikua anaigiza tu.
Kwanza hakushiriki uchaguzi, poa aliyemuaposha ni just mbunge tu ambaye kikatiba hana mamlaka ya kuapisha.
Igizo limeisha wajaluo wamefurahi na kurudi majumbani mwao kwa amani
Yaan kama mtoto,MTU mzima Raila oovyooooSiasa haitakiwa kuwa kinzani na shimo la maasi kwa wananchi,Odinga anastahili kuwa mkweli kwa watu wake ,alipeleka malalamiko MAHAKAMANI, akashinda,akaueleza UMMA kuwa MAHAKAMA ni sehemu salama,Mahakama ikaelekeza UCHAGUZI urudiwe (AKAIPINGA MAHAKAMA hiyo hiyo iliyompa USHINDI wewe).SASA LEO anajiapisha kuwa Rais ktk NCHI iliyo na Rais !!!?SIASA ISITUVUE BUSARA ZETU!