Mjanja M1
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 4,058
- 14,382
- Thread starter
- #21
Kama mada hauwezi kuchangia ni bora ukapita kimya kimya tu, na sio kuanza kutoa maneno ya shombo. HESHIMA NI KITU BORA SANA.Ukiandika jambo la maana watu watachangia kistaarabu lkn ukiandika mashudu watu wataishi na wewe perpendicularly mfano Kuna mwamba humu alileta thread anasema hawezi sex na demu wake kama hajavaaa chupi kichwani.... unategemea replies zipi hapo