Uhuru una mipaka Jiheshimu Mkuu

Uhuru una mipaka Jiheshimu Mkuu

Ukiandika jambo la maana watu watachangia kistaarabu lkn ukiandika mashudu watu wataishi na wewe perpendicularly mfano Kuna mwamba humu alileta thread anasema hawezi sex na demu wake kama hajavaaa chupi kichwani.... unategemea replies zipi hapo
Kama mada hauwezi kuchangia ni bora ukapita kimya kimya tu, na sio kuanza kutoa maneno ya shombo. HESHIMA NI KITU BORA SANA.
 
Ukiandika jambo la maana watu watachangia kistaarabu lkn ukiandika mashudu watu wataishi na wewe perpendicularly mfano Kuna mwamba humu alileta thread anasema hawezi sex na demu wake kama hajavaaa chupi kichwani.... unategemea replies zipi hapo
Mkuu si kwa kipindi hiki chetu cha sasa.

Mfano uzi unaletwa vita ya israel na palestine kuna mtu analeta picha ya pope anasema karuhusu ushoga!

unabaki unashangaa vinahusiana nn hivi vitu!
 
😂😂 unataka kusema ukiwa nyumbani kwa Mungu unapata mawazo ya kazini
Yes,pia mimi ninao uamuzi wa kumuabudu mungu au nisimuabudu,pia Hawa aliamuwa kufuata mawazo mbadala ya kula tunda,kwanin mungu hakuzuia!?

So hayupo na hatakuwepo wa kuzuia mawazo mbadala
 
Eti hapa JF napo mtu anataka ubehave like una behave kwa baba mzazi.. ni ngumu..

Baba akitoa boko nyumbani natulia kimya.. ila hapa jf wee 😂😂 utakula mpopoleo wa kila aina.
Wewe ni Mwanaume, kama sio basi wewe ni Mwanamke Muhuni.

UNA KILA VIASHIRIA VYA KUWA MUHUNI.
 
Tena hili la kujadili mada tofauti. Ni 100% lazima kitu kijadiliwe tofauti. Na matusi lazima yawepo.

Mitandao kama quora, ukiona watu wanavyochati utajua tu hawa watu wanafikiri nini na inakupa picha nzima ya watu hao.

Miaka 2006 mpaka 2010 thread nyingi zina staha sana.
Labda ndo mana wengine wamebandikwa majina ya dot.com kutokana na kufanana fanana katika comments (matusi au off points) wanazotoa humu kwani hawajali kwamba pia humu wapo baadhi ya wakubwa wanapita-pita.
 
Aisee!

WATU KAMA NYIE DUNIA HUWA INAWAREKEBISHA VILE MNAVYOSTAHILI.

Unajiona mjanja kwa kuwa upo nyuma ya Keyboard lakini ipo siku utafanya upuuzi kwa watu wengine na watakushughulika ipasavyo.
Wewe ni mtu usiye amini katika uhuru wa mawazo.

Wewe ni mtu ambaye ungetamsni Dunia iwe na taswira Moja tu.

Wewe ni mtu ambaye unatamani uhalisia utazamwe katika two dimension tu wakati Kuna three mpaka four dimensions.

Wewe ni dictator uchwara uliyejificha kwenye kivuli Cha wastaharabu.

N.B Ndani ya mada kuu, huwa Kuna mada ndogo ndogo nyingi ili kuikamilisha mada kuu.

Ndani ya hizo mada ndio nguvu ya hoja huibuka na mitazamo tofauti hufikia harmony.
 
Back
Top Bottom