Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Unadili na watu wa aina gani?Sawa Mkuu.
HILI BANDIKO LIMENIFANYA NIJUE NADILI NA WATU WA NAMNA GANI.
Unakubali kwamba, ingawa inawezekana ni kweli inatubidi tufanye mazungumzo kwa staha fulani, kwa sababu bila staha yoyote tutatukanana na mazungumzo hayatawezekana, lakini pia, kuna mstari mwembamba sana kati ya kusisitiza staha na kuwanyamazisha watu wasitoe maoni yao kwa kutumia hoja ya staha?
Unakubali kwamba hoja za staha, kuheshimu dini, kuheshimu utamaduni wa Mtanzania, kuheshimu viongozi, kuheshimu wakubwa, etc., zinaweza kutumika kunyamazisha hoja muhimu tu ambazo zinapaswa kuzungumzwa kwa uhuru?