Uhuru wa Kujieleza sio kukosoa kila jambo na kupotosha Umma juu kinachoendelea nchini

Uhuru wa Kujieleza sio kukosoa kila jambo na kupotosha Umma juu kinachoendelea nchini

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Naona kila mtu anashadidia juu ya kuwepo kwa kile kinachodaiwa uhuru wa kujieleza ambao wengi wanao shadiia ni wale wanaodai kuwa sasa uhuru wa kujieleza na kuropoka kama mtu anahara sasa umerudi.

Lakini ukweli ni kuwa uwe uhuru wa kisiasa au uhuru wa kujieleza usiwe uhuru ambao aunatumiwa vibaya.

Tutambue kuwa wanasiasa njaaa wa upinzani hapa Tanzania ni waongo na wapotoshaji wakubwa. Hivyo wao kuachiwa waropoke hovyo ni sawa na kuwapa fursa ya kuongea uongo na kupotosha umma.

Mfano ni jinsi walivyopotosha juu ya ripoti ya CAG ambayo kiiukweli majibu yake hutegemea na ripoti za LAAC na PAC lakini wao ndio wamekuwa watoa majibu.

Uhuru wa kujieleza usiwe sababu ya wanasiasa kupotosha kuwa watu zaisdi ya mia moja ili kuchochea chuki wameuliwa ili hali ukweli ni watu
wanne.

uhuru wa kujieleza isiwe sababu ya kupinga miradi ya serikali bila hoja. Kupinga hata ujenzi wa miundombinu kama daraja la Busisi kisa tu mnataka kuonekana mnajua kuogea taralila kibao.

Mimi Mzalendo Idugunde.
 
Hamia Rwanda au Korea ya Kaskazini kama uhuru wa kuongea unakukera sana.
 
Raha sana siku hizi tunademka kwenye vijiwe vyetu huku tukimtaja mama Samia bila wasiwasi.
 
Na pia sio sababu ya kuwalazimisha watu kukubaliana na kile unachoamini wewe.
 
Mbona wewe unapotosha mengi ukitumia jina la Veronica France?

Tena afadhali unaowatuhumu wanaongea ukweli 99% ila wewe unaongea uongo 100%
Ukweli upi? Ripoti ya CAG bado haijapatiwa majibu, lakini mnapotosha juu ubadhirifu ambao kama upo ni LAAC na PAAC ndio huwa wanatoa majibu.
 
Asije akamwamini Mbowe ni muongo muongo sana, aliangushwa na konyagi nyumbani kwa hawara Joyce Mkuya alafu akalitangazia taifa eti amepigwa na wasiojulikana.
 
Unazungumzia LAAC na PAC ipi ambayo imewahi kufanya jambo la maana kuhusu ripoti za CAG?
 
Asije akamwamini Mbowe ni muongo muongo sana, aliangushwa na konyagi nyumbani kwa hawara Joyce Mkuya alafu akalitangazia taifa eti amepigwa na wasiojulikana.
Uhuru kama huu ndio wao wanaoutaka.
 
Unaelewa unachangia nini?
Acha watu waongee!! Walifumbwa midomo kwa miaka mingi!! Uhuru! uhuru!

Mbona mtukufu wako alishindwa kutoa hata uhuru wa wananchi kuchagua viongozi wawapendao?
 
Back
Top Bottom