Uhuru wa Kujieleza sio kukosoa kila jambo na kupotosha Umma juu kinachoendelea nchini

Uhuru wa Kujieleza sio kukosoa kila jambo na kupotosha Umma juu kinachoendelea nchini

mungumtu hayupo, acha watu waongee!! Walifumbwa midomo kwa miaka mingi!! Uhuru! uhuru!

Mbona mtukufu wako alishindwa kutoa hata uhuru wa wananchi kuchagua viongozi wawapendao?
Sasa kwa kuwa watu wapo huru ndio mdanganye kuwa bwawa la umeme rufiji lilipasuka na kusababisha mafuriko mpaka Morogoro? Uhuru gani huu?

Alafu kuwa na heshima unasikia?
 
Sasa kwa kuwa watu wapo huru ndio mdanganye kuwa bwawa la umeme rufiji lilipasuka na kusababisha mafuriko mpaka Morogoro? Uhuru gani huu?

Alafu kuwa na heshima unasikia?
Hiyo ni kazi ya Msemaji wa Serikali kutolea maelezo ya huo upotoshaji! Kipi kinacho kusababisha ulie lie humu?

Wewe Mataga vipi bhana!!
 
Hiyo ni kazi ya Msemaji wa Serikali kutolea maelezo ya huo upotoshaji! Kipi kinacho kusababisha ulie lie humu?

Wewe Mataga vipi bhana!!
Tumia akili we mburula, yaani watu kusema uongo mpaka msemaji wa serikali aseme? Acha uzandiki
 
Tumia akili we mburula, yaani watu kusema uongo mpaka msemaji wa serikali aseme? Acha uzandiki
Ndiyo maana mungu wenu amekufa! Maana alizungukwa na viazi mviringo kama wewe, badala ya watu wenye akili timamu!
 
Nani anatakiwa kuweka hiyo mipaka ya uhuru??
Ndiyo maana kuna Sheria za nchi na zingine ni kujiwekea mwenyewe tu.

Kwa mfano, mtu anamkosoa kiongozi fulani, hii ni haki yake na Yuko sahihi.
Lakini anapokosoa huku akitumia matusi au kuongea kwa lugha ambayo haiheshimu cheo Cha yule kiongozi, Basi anakuwa ametia haki yake au uhuru wake vibaya. Na ndiyo hapa utakuta kesi inafunguliwa ya kwamba umemtukana. Na watu msio elewa maana ya uhuru mtasema wanamuonea.
 
Ukweli upi? Ripoti ya CAG bado haijapatiwa majibu, lakini mnapotosha juu ubadhirifu ambao kama upo ni LAAC na PAAC ndio huwa wanatoa majibu.

Hizo kamati za majizi ya kura zitaleta jipya lipi?
 
Hujajibu nani anutunga sheria za kudhibiti uhuru?

Kwa nini hayaorodheshwi matusi yote na adhabu zake ambayo mtu akiyatumia atafikishwa mahakamani? Ukiacha wazi tu hivyo hata mtu akisema Kiongozi fulani ni "dhaifu", "dikteta uchwara" "mpumbavu" " mshamba" n.k ataambiwa ametukana na kusumbuliwa na dola.
Ndiyo maana kuna Sheria za nchi na zingine ni kujiwekea mwenyewe tu.

Kwa mfano, mtu anamkosoa kiongozi fulani, hii ni haki yake na Yuko sahihi.
Lakini anapokosoa huku akitumia matusi au kuongea kwa lugha ambayo haiheshimu cheo Cha yule kiongozi, Basi anakuwa ametia haki yake au uhuru wake vibaya. Na ndiyo hapa utakuta kesi inafunguliwa ya kwamba umemtukana. Na watu msio elewa maana ya uhuru mtasema wanamuonea.
 
Hujajibu nani anutunga sheria za kudhibiti uhuru?

Kwa nini hayaorodheshwi matusi yote na adhabu zake ambayo mtu akiyatumia atafikishwa mahakamani? Ukiacha wazi tu hivyo hata mtu akisema Kiongozi fulani ni "dhaifu", "dikteta uchwara" "mpumbavu" " mshamba" n.k ataambiwa ametukana na kusumbuliwa na dola.
Wewe nawe unadai unazo akili.
 
Tumia akili we mburula, yaani watu kusema uongo mpaka msemaji wa serikali aseme? Acha uzandiki

..uhuru wa kujieleza sio kusifia kila jambo na kuupotosha umma kuhusu kinachoendelea nchini.
 
Ukweli upi? Ripoti ya CAG bado haijapatiwa majibu, lakini mnapotosha juu ubadhirifu ambao kama upo ni LAAC na PAAC ndio huwa wanatoa majibu.
Yaani wewe hakika ni Zuzu. CAG report ikishawekwa hadharani bungeni inakuwa wazi na huru kwa kila Mtanzania kuitumia. Mbona waziri wa maliasili alipomtumbua mtu kabla ya LAAC na PAC kujadili hukusema huu upuuzi ulioweka hapa?
 
Naona kila mtu anashadidia juu ya kuwepo kwa kile kinachodaiwa uhuru wa kujieleza ambao wengi wanao shadiia ni wale wanaodai kuwa sasa uhuru wa kujieleza na kuropoka kama mtu anahara sasa umerudi.

Lakini ukweli ni kuwa uwe uhuru wa kisiasa au uhuru wa kujieleza usiwe uhuru ambao aunatumiwa vibaya.

Tutambue kuwa wanasiasa njaaa wa upinzani hapa Tanzania ni waongo na wapotoshaji wakubwa. Hivyo wao kuachiwa waropoke hovyo ni sawa na kuwapa fursa ya kuongea uongo na kupotosha umma.

Mfano ni jinsi walivyopotosha juu ya ripoti ya CAG ambayo kiiukweli ni majibu hutegemea na ripoti za LAAC na PAC lakini wao ndio wamekuwa watoa majibu.

Uhuru wa kujieleza usiwe sababu ya wanasiasa kupotosha kuwa watu zaisdi ya mia moja ili kuchochea chuki wameuliwa ili hali ukweli ni watu
wanne.

uhuru wa kujieleza isiwe sababu ya kupinga miradi ya serikali bila hoja. Kupinga hata ujenzi wa miundombinu kama daraja la Busisi kisa tu mnataka kuonekana mnajua kuogea taralila kibao.

Mimi Mzalendo Idugunde.
Noted, zingatia pia kuwa Uzalendo siyo sifa na kuabudu kwa watawala, kisa tu wanashikilia vyanzo vyako vya kula!
 
Yaani wewe hakika ni Zuzu. CAG report ikishawekwa hadharani bungeni inakuwa wazi na huru kwa kila Mtanzania kuitumia. Mbona waziri wa maliasili alipomtumbua mtu kabla ya LAAC na PAC kujadili hukusema huu upuuzi ulioweka hapa?
Amemtumbua? Kumsimamisha kazi ndio kumtumbua?
 
Back
Top Bottom