Hii ndo matatuπππTanzania ni nchi ya mateso kupoteza muda na kuuwa vipaji.
Tuanze kwenye Matatu kila mtu anakaa vizuri na mziki plus tv. Hapa Tanzania kuanzia Dar es Salaam, Arusha, Mwanza usafiri wa Daladala ni kama Jehanam mnashindiliwa kama mnapelekwa kwenye Concentration camp za wakazi wa Nazis.
Njoo kwenye mabasi Kenya mtu anashinda Kisumu usiku anasafiri Asubuhi anafanya biashara Nairobi jioni anaondoka anaokoa gharama za muda na Hoteli. Tanzania itakuchukua siku nzima toka Arushahadi Dar itakubidi ulale na ukimaliza shuhuli huwezi kurudi inabidi ulale tena.
Kwa Taarifa yako Hatukurupuki sieWamekopa kutengeneza Reli au kununua Train ?Maana sisi tunajenga reli pia ambayo hatujui itapita ipi labda ya makaa ya mawe.
Kumbe unategemea Google kaka mtu wa Pwani ya Dar ambaye hujui hata mpakani kunakuwaje ni ngumu sana kuelewa Tanzania CCM imetulogaDuh!! Kwa hiyo wewe huijui Kenya halafu upo busy kuitetea!! Nenda google kaulize kama una roho ya huruma machozi yatakulenga.
Tz ipi hiyo mbona mimi ninasafiri usiku sana tu. Wewe jamaa unaonekana una frustration za kupambana na life. Mimi binafsi napambana ila siilaumu serikali kwa kila kitu kwa kua tu kuna sehemu nilikwama au ilinikwamisha. Mfano umesema kuhusu kuzuiwa kuuza mazao Kenya, nahisi wewe ni mhanga wa hili swala na pole sana, mtazamo wangu kuhusu hiyo ishu ni tofauti na serikali ila haina maana niponde ujenzi wa reli au elimu bure kisa kuzuiwa kuuza mazao yangu Kenya.Huwezi kuelewa ni kwamba Wakenya wanasafiri usiku na Mchana hakuna kulala.
Sisi tunalala na mashine zinalala mfanya biashara analazimishwa kufunga biashara na kusafiri mchana.
Unamlaza mtu aliyetoka Mwanza Morogoro kisa huwezi kulinda ni aibu
Analinganisha Nairobi-Kisumu 260kmHii ndo matatu[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 917825
Bei ya unga Tz shilingi ngapi?Tz ipi hiyo mbona mimi ninasafiri usiku sana tu. Wewe jamaa unaonekana una frustration za kupambana na life. Mimi binafsi napambana ila siilaumu serikali kwa kila kitu kwa kua tu kuna sehemu nilikwama au ilinikwamisha. Mfano umesema kuhusu kuzuiwa kuuza mazao Kenya, nahisi wewe ni mhanga wa hili swala na pole sana, mtazamo wangu kuhusu hiyo ishu ni tofauti na serikali ila haina maana niponde ujenzi wa reli au elimu bure kisa kuzuiwa kuuza mazao yangu Kenya.
Nairobi - mombasa 500km 6-8hrs ukisafiria basi.Analinganisha Nairobi-Kisumu 260km
Na Dar - Arusha 480km!!
Huyo wakudharau hajitambui
Lane tatu babaa na haturingi.Hii ndo matatuπππView attachment 917825
Sasa ulitaka nikwambie upande bus uende Marsabit au Turkana!! Uko nilipo kuelekeza ungekutana na chambuzi za journalist wa kikenya wakiongelea hali duni za huko kwa andani kabisa. Ila wewe kwakua ni mbishi ata ishu ndogo tu unagoma kuifanya ili uendelee kubaki na fikra zako mgando. Ila pole sana kwa yaliyo kukuta, sasa hivi si mmeruhusiwa kuuza lakiniKumbe unategemea Google kaka mtu wa Pwani ya Dar ambaye hujui hata mpakani kunakuwaje ni ngumu sana kuelewa Tanzania CCM imetuloga
Kuna kitu lazima ujue sisi tunaiona Kenya kama jirani mzuri na rafiki anaefaa katika maendeleo. Tunaenda Kenya tunatembea tunajifunza. Tunaowa huko na dada zetu wameolewa huko tunafanya biashara nao tunaweka vitega uchumi nao wanawekeza kwetu.Wewe Unalako
Nilicho gundua hujatembelea hiyo Kenya
Wacha nikuache
Ficha Upumbavu wakoNairobi - mombasa 500km 6-8hrs ukisafiria basi.
Wapi Tanzania utapata ticket ya basi inaondoka jioni toa mfano saa hii niko Arusha au Mwanza naambiwa tuonane kesho Dar kuna biashara kama nisipopanda gari za magazeti na malori ndio hela ishanipita kisa tu Police wanaogopa wahalifuTz ipi hiyo mbona mimi ninasafiri usiku sana tu. Wewe jamaa unaonekana una frustration za kupambana na life. Mimi binafsi napambana ila siilaumu serikali kwa kila kitu kwa kua tu kuna sehemu nilikwama au ilinikwamisha. Mfano umesema kuhusu kuzuiwa kuuza mazao Kenya, nahisi wewe ni mhanga wa hili swala na pole sana, mtazamo wangu kuhusu hiyo ishu ni tofauti na serikali ila haina maana niponde ujenzi wa reli au elimu bure kisa kuzuiwa kuuza mazao yangu Kenya.
Kweli mkuu jamaa analake binafsi. Kenya haijui ila ameamua tu kutoa frustrations zake. Halafu amekosea njia, kuna maeneo yake anashindaga huku kaja kibahati mbaya..Wewe Unalako
Nilicho gundua hujatembelea hiyo Kenya
Wacha nikuache
Wewe tu ndo hujui.. Wewe wa wapi hivi! unajichoresha tu. Kuuliza siyo ujingaWamekopa kutengeneza Reli au kununua Train ?Maana sisi tunajenga reli pia ambayo hatujui itapita ipi labda ya makaa ya mawe.
Wewe unaijua Kenya ipi labda ukiulizwa?Kweli mkuu jamaa analake binafsi. Kenya haijui ila ameamua tu kutoa frustrations zake. Halafu amekosea njia, kuna maeneo yake anashindaga huku kaja kibahati mbaya..
Jibu swali ni kama mtu aliyejenga nyumba nzuri halafu unamsimanga kwa Sofa lake ambalo si muda atalibadilishaWewe tu ndo hujui.. Wewe wa wapi hivi! unajichoresha tu. Kuuliza siyo ujinga
.Binafsi nimependa vile unavyoeleza mambo kinaga ubaga bila kusita jambo ambalo hata maripota wa bongo hawawezi kulifanya kwa sababu hawana Uhuru wowote .Ni dhahiri shairi kwamba nchi yenu inakabiliwana majanga mengi ambayo serikali hujaribu kuyaficha kwa kuhakikisha hayaripotiwi tofauti na Kenya, wanahabari wanaruhusiwa kuanika habari zozote watakavyo na ndio maana wengi humu huikebehi Kenya bila kujikumbusha hali ya nchi yao. Hayo yanayofichwa humo bongo yataendelea kufichuka na dunia itagundua huu unafiki wenu.Nadhani kuna vitu vingine inafaa kuona kwa macho pia inasaidia na nitaangalia huko zaidi.Kuliko hizi Propaganda pamoja na majarida ya theory ya kiuchumi ambayo tunamezeshwa Watanzania kuaminishwa kwamba tunasonga.
Kenya wana kila kitu ambacho Tanzania tunajaribu kuwa nacho kwa sasa. Miundo mbinu ya Kenya Kuanzia Nairobi na miji mingine ni ndoto kwetu ya miaka 20. Mambo ya Ndege kwao Bandari na usafiri wa Umma sisi tunafuata.
Viwanda Kenya sio swala jipya wakati sisi tunafikiria Cherehani nne kama kiwanda. Biashara ya Kimataifa kuhusu Export nadhani unajua sisi tunachofanya hapa ni hakuna.
Kilimo Kenya mtu akilima au akifuga anaona kabisa maisha yakibadilika hapa tunaishia bei elekezi na kuzuia yasitoke.
Makaazi ya watu kuanzia Isibania mpaka Lunga Lunga au Namanga mpaka Isiolo ni tofauti na kwetu .
Elimu yetu wakati vitabu vinasema kazi ya kichwa ni kubeba mizigo huwezi kulinganisha ufahamu wa Darasa la nane Kenya na Form six wetu.
wewe ulisafiri kwa baiskeli.Ficha Upumbavu wako
Hiyo njia nimepita sana
Kwakuwahi tu tulishafika saa 10
Tena ni 425km
Wewe ndo umelogwa.πππKumbe unategemea Google kaka mtu wa Pwani ya Dar ambaye hujui hata mpakani kunakuwaje ni ngumu sana kuelewa Tanzania CCM imetuloga
Mzee Dar-Arusha nI zaidi ya 610km magna Dar-Moshi ni +500km!Analinganisha Nairobi-Kisumu 260km
Na Dar - Arusha 480km!!
Huyo wakudharau hajitambui