when i grow up, najaribu kuvuta kumbukumbu......baba yangu aliniuliza ukiwa mkubwa unataka kufanya kazi gani???? kwa haraka nikajibu DEREVA!!!! he slapped me mbele ya my mom,,,, mama akamwambia baba why? mbona kuna udereva wa aina nyingi, malori, taxi, buses...e.t.c
back to the topic....nilimuelewa baba, alikuwa na driver wa ofcn, na alikuwa ni friend of mine sana...so nikatamani ile kazi yake.......mwisho wa siku kila mmoja anao mshahara wake....na hapo boss yuko kwa msosi....driver yuko kazini....ni kazi yake.....apige miyayo,,,ajambe....ndio kazi aliyoiombba..........wengine wanawapeleka kwa michepuko,,,,,,anapaswa kukaa hapo mpaka boss at...m...e...apendavyo.......