Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Nimekwambia UN ndivyo ilivyo bado unabisha! Sema unakomaanisha... kampuni ya Mhindi, serikali ya Tanzania, nk. Usibishe kijumla jumla wakati nimekwambia UN per diem ya dereva na mkurugenzi ni sawa.
Hapana. Per diem haziko sawa. Tofautisha pesa ya chakula na per diem. Per diem inatolewa kulingana na Kiwango chako cha mshahara ikichambua entertainment unazostahili