baraka muyabi
Senior Member
- Aug 13, 2012
- 162
- 58
Habari wana jamvi..naomba kujua mahusiano yaliyopo baina meno na bati/sinia..mimi mwenyewe niko hivi mtu akisugua sinia la bati kwenye sakafu au mchanga kile kijisauti kinachotoka huwa kinanifanya meno yangu kuuma sana..nauliza sasa je kuna uhusiano gani katika vitu hivi viwili