Autodidacts
JF-Expert Member
- Jun 9, 2021
- 1,165
- 1,804
Vyombo gani vya sheria? Labda vyombo vya biriani.Tumia lugha ya staha...
Ukiitwa mbele ya vyombo vya sheria unaweza kuthibitisha madai yako?
Vyombo gani vya sheria? Labda vyombo vya biriani.
Unapinga sio gaidi wakati huo huo hausemi ni nani huyo mtu,tukueleweje sasa? Hauna analysis yoyote.
Ni gaidi huyu tusimumunye maneno. Kaua Askari wa tatu na Mlinzi wa SGA mmoja. Serikali imetoa hizo taarifa now. Huyu kama hana akili Timamu asinge waua Polisi watatu vile na kuacha Raia. Alijua nini anakifanya. Vyombo vya Usalama Vifanye Uchunguzi sana. Yasije tukuta makubwa zaidi ya haya.Mbona kaua askari wawili
Kama ndo unategemea Ikulu na polisi kujua ukweli,unapotea, hao hawana credibility yoyote na wamekuwa watu wa kuficha ukweli.Huenda alikuwa gaidi na huenda pia hakuwa gaidi...
Ndio maana hujaona katika matamko/taarifa za Jeshi la Polisi au Ikulu zikimtaja huyo bwana kama gaidi...
Ulimwona[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi theory yangu inanipeleka Ufaransa pale, nadhani alilenga pale ila akakutana na kikwazo (polisi) akaamua kuwageukia wao. Hichi kinanifanya niamini nfio maana hakuangaika na raia sababu hawakuwa kikwazo kwake.
Ila sasa kwanini aende Ufaransa?, Kwanini pale?, Kwa matukio yanayoendelea na yaliyotokea hivi karibuni Msumbiji na ushiriki wa Rwanda kuwakabili magaidi kule na ikizingatiwa Mrundi kapata msaada ya Mfaransa basi Mfaransa naye ni adui wa magaidi wa Msumbiji
Sijasema Bonge ni gaidi la wala hata kama ni gaidi sijasema kuwa anauhusiano na wa Msumbiji ila lile tukio linaonekana ni tukio la kigaidi kabisa.
Kumuua nadhani ilikuwa ni lazima kama njia zote zilishindikana ila kumdhibiti ingekuwa njia bora zaidi.
Pole kwa familia za wahanga, jeshi la polisi, kampuni ya Ulinzi na Tz. Ugaidi sio poa kabisa si kitu cha kushangilia kwa vyovyote vile.
Mimi theory yangu inanipeleka Ufaransa pale, nadhani alilenga pale ila akakutana na kikwazo (polisi) akaamua kuwageukia wao. Hichi kinanifanya niamini nfio maana hakuangaika na raia sababu hawakuwa kikwazo kwake.
Ila sasa kwanini aende Ufaransa?, Kwanini pale?, Kwa matukio yanayoendelea na yaliyotokea hivi karibuni Msumbiji na ushiriki wa Rwanda kuwakabili magaidi kule na ikizingatiwa Mrundi kapata msaada ya Mfaransa basi Mfaransa naye ni adui wa magaidi wa Msumbiji
Sijasema Bonge ni gaidi la wala hata kama ni gaidi sijasema kuwa anauhusiano na wa Msumbiji ila lile tukio linaonekana ni tukio la kigaidi kabisa.
Kumuua nadhani ilikuwa ni lazima kama njia zote zilishindikana ila kumdhibiti ingekuwa njia bora zaidi.
Pole kwa familia za wahanga, jeshi la polisi, kampuni ya Ulinzi na Tz. Ugaidi sio poa kabisa si kitu cha kushangilia kwa vyovyote vile.
I second you,alikusudia France embassy
Wana mahusiano na wasomaji na waarabu,these people are barbaric and stupidNa magaidi wengi walioko huko Mozambique ni watanzania pure kabisa wala sio wasomali.
Kule Kibiti ulisikia wasomali wangapi wameuawa?
Wana mahusiano na wasomaji na waarabu,these people are barbaric and stupid
Akili in nywele kila MTU anazo zakeNaomba niwape pole wakazi wa Dar Es Salaam, Polisi na ndugu wa Polisi waliofariki katika tukio la leo.
Tukio hili la anayeshukiwa kuwa jambazi kufyatua risasi hovyo, limeshtua watu wengi. Niwape hongera Polisi kwa kazi hiyo.
Naomba kwanza niseme kuwa huyu mtu sio mgeni machoni pa vyombo vya usalama. Inaonekana wanamjua, na ndio maana wamemuua moja kwa moja na hawajataka kumkamata. Pia, anaonekana hakuwa na nia ya kuua raia, kwani hakuua yeyote aliyekuwepo kwenye gari au karibu zaidi.
Kuna ujumbe alikuwa analeta kupitia tukio hili. Cha kwanza, nikutaka watu wamuone na aonekane kwenye media kwani kaenda eneo ambalo lina ulinzi mkubwa sana na alijua kuwa atakufa tu. Nadhani alitaka kuonesha kwamba Polisi hawana huruma na weledi, kwa kuwa hawatamkamata.
Uhusiano uliopo na kesi ya Mbowe, ni kuwa huyo jambazi alikuwa anataka kuonesha maana sahihi ya ugaidi wa silaha. Pengine katumwa kujitoa mhanga au alikuwa na madai yake binafsi lakini lazima utakuwa ni mpango wa kikundi cha watu na siyo kwamba huyo jambazi ni kichaa.
Ni mtu timamu, na ndiyo maana hajalenga au piga risasi mtu yeyote au kitu chochote kwa lengo la kuua.
Wito wangu, ni kwa Polisi wote nchini hasa wa usalama barabarani na watu wa idara ya usalama wa taifa kuongeza umakini ili lisije jirudia tukio kama hili. Pia, ufanyike uchunguzi wa kina zaidi kuhusu tukio hili
Huyo jamaa wanadai aliendaga nje kusona elimu ya dini na aliporudi alitaka kwenda huko tena kujiunga na jihad ila baada ya hapo kila inasemekana mwao wana mgodi huko shinyanga na wao wanajishughulosba na biashara ya kujza madini na inasemekana kunaa madini yalikamatwa na polisi wakaambiwa eti ni feki hivyo yakataifishwa .Naomba niwape pole wakazi wa Dar Es Salaam, Polisi na ndugu wa Polisi waliofariki katika tukio la leo.
Tukio hili la anayeshukiwa kuwa jambazi kufyatua risasi hovyo, limeshtua watu wengi. Niwape hongera Polisi kwa kazi hiyo.
Naomba kwanza niseme kuwa huyu mtu sio mgeni machoni pa vyombo vya usalama. Inaonekana wanamjua, na ndio maana wamemuua moja kwa moja na hawajataka kumkamata. Pia, anaonekana hakuwa na nia ya kuua raia, kwani hakuua yeyote aliyekuwepo kwenye gari au karibu zaidi.
Kuna ujumbe alikuwa analeta kupitia tukio hili. Cha kwanza, nikutaka watu wamuone na aonekane kwenye media kwani kaenda eneo ambalo lina ulinzi mkubwa sana na alijua kuwa atakufa tu. Nadhani alitaka kuonesha kwamba Polisi hawana huruma na weledi, kwa kuwa hawatamkamata.
Uhusiano uliopo na kesi ya Mbowe, ni kuwa huyo jambazi alikuwa anataka kuonesha maana sahihi ya ugaidi wa silaha. Pengine katumwa kujitoa mhanga au alikuwa na madai yake binafsi lakini lazima utakuwa ni mpango wa kikundi cha watu na siyo kwamba huyo jambazi ni kichaa.
Ni mtu timamu, na ndiyo maana hajalenga au piga risasi mtu yeyote au kitu chochote kwa lengo la kuua.
Wito wangu, ni kwa Polisi wote nchini hasa wa usalama barabarani na watu wa idara ya usalama wa taifa kuongeza umakini ili lisije jirudia tukio kama hili. Pia, ufanyike uchunguzi wa kina zaidi kuhusu tukio hili
Duu .kumbe ni alshababu?? Mie pia Nina wasiwasi mwingi kuona jeshi letu lokoshitikiana na jeshi LA USA uhaidi unaweza ongezekaView attachment 1907849
MaCCM hivi akili mlipeleka wapi..huyu ni JAMBAZI Ila Mbowe ni GAIDI. Nyie jifanyeni hamnazo tu. Majeshi mliopeleka msumbiji, mjiandae na visasi vya MAGAIDI.
Duu .kumbe ni alshababu?? Mie pia Nina wasiwasi mwingi kuona jeshi letu lokoshitikiana na jeshi LA USA uhaidi unaweza ongezeka
View attachment 1907849
MaCCM hivi akili mlipeleka wapi..huyu ni JAMBAZI Ila Mbowe ni GAIDI. Nyie jifanyeni hamnazo tu. Majeshi mliopeleka msumbiji, mjiandae na visasi vya MAGAIDI.
Siku hizi kila mtu ni mchambuzi wa kila matukio,kitu muhimu ni smart phone na bando tu.Mitandaoni kuna kila aina ya utaalamu wa bila kwenda shule. Mtu kwa kuona video za tukio tu anajua huyu mtu ana akili timamu au la. πππ
Nani kakuaminisha kua uhalifu ni lazima uibe kitu?Pole sana...
Ok ni jambazi kaiba nini?
Au ni mwizi kaiba nini?
Mgonjwa wa akili? Mbona akuua raia kaua polisi tu?
Muwe na akili ata kidogo tu au mmelogwa?
Comment yako imejaa maneno ya "Wanadai" "Inasemekana" huu uandishi umekaa kimbea mbea sana.Huyo jamaa wanadai aliendaga nje kusona elimu ya dini na aliporudi alitaka kwenda huko tena kujiunga na jihad ila baada ya hapo kila inasemekana mwao wana mgodi huko shinyanga na wao wanajishughulosba na biashara ya kujza madini na inasemekana kunaa madini yalikamatwa na polisi wakaambiwa eti ni feki hivyo yakataifishwa .
Sasa sijui kama ndio bifu lililopo au laa ila hii ngoma nadhani ndio kisa polisi fanyeni uchunguzi sio kwamba hamjui.
Nyuma ya tukio kuna dhuluma .
Ila pamoja na hayo bado kuna ugaidi hilo linawezekana
Pole sana...
Ok ni jambazi kaiba nini?
Au ni mwizi kaiba nini?
Mgonjwa wa akili? Mbona akuua raia kaua polisi tu?
Muwe na akili ata kidogo tu au mmelogwa?
Mimi nasema Polisi wamekosa weledi kwa kushindwa ku kumthibiti yule mtu pasipo kipoteza uhai wake. Hakuwa na cover yoyote ya kushindwa kudhibiti. Sababu hawajui/hatujui alikuwa na masahibu gani!!! Angehojiwa tungejua ni mgonjwa, maisha yamemshinda, anamadeni, ametumwa n.k.
View attachment 1908009