Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nikifika bia ya nne tu mshedede unakuwa kama compass unasoma kule miambwanda iliko.
Aisee basi ndio hivyo, Pombe huhamisha akili kwa mudaIla situmii kilevi mkuu.
Pombe ikiwa too much kuzidi kipimoUnakuta kabla ya kunywa mnaheshimiana kabisa lakini baada ya kulewa mnakumbatiana, mna papasana, mnatukana pombe siyo chai.
Mtu anaweza kujisaidia ndogo mbele za watu anaowaheshimu, fikiria!
😂😂😂Kwa staili hii sioi demu mpiga tungi maana kulea watoto si wako ni nje nje.Kuna kauli mademu husema Bia huwa zinashuka chini...
Wazee wa fursa wakishaona hvo basi walete... Imo
Hilo suala la uchakataji limekaaje kwako?Kipi ni sababu?Acheni kusingizia pombe vitu vya kijinga
Nyege za mchakataji na mchakatwaji tu, hakuna kingine.Hilo suala la uchakataji limekaaje kwako?Kipi ni sababu
Mzee kama kulea watoto ambao sio wako hilo linamkuta yoyote,,,,Wanawake wengi wamekuwa wa hovyo tu...omba usipate wa hovyo...Kwa staili hii sioi demu mpiga tungi maana kulea watoto si wako ni nje nje.
Wine zinapandisha Sana nyege kwa wanawake.This weekend nnafirst appointment na kadem flani kanasema hakapendi bia kanapendelea zaidi wine kiasi. Najiandaa kula tunda kimasihara