Vmark.
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 1,353
- 270
Hola amigos! Naombeni ufafanuzi jf doctors kati ya kunywa pombe na kukosa ucngizi uciku....this thing disturbs me a lot i.e jana nilikunywa bia tatu nikalala saa nne but kufika saa nane ckupata ucngizi hadi saa kumi na mbili asubuhi....na hii si mara ya kwanza ni mara nyingi tu inanitokea! Naomba ushauri uzingatie weledi pliiz hommiez!