Habari zenu wadau! Mungu amenijaalia kupata mtoto wa kike hiv karibu,kwa sasa ana miezi mitatu,imefika wiki sasa tangu aanze kunyonya kidole gumba,yaani amekazana sana hadi kero!!
Kuna watoto wengi wanaokuwa na tabia hii ambao baadae wanakuwa na uwezo mdogo wa kiakili darasani n.k,tafadhari mwenye uelewa wa hili naomba msaada,nitawezaje kumfanya a aache hii tabia?
Kuna watoto wengi wanaokuwa na tabia hii ambao baadae wanakuwa na uwezo mdogo wa kiakili darasani n.k,tafadhari mwenye uelewa wa hili naomba msaada,nitawezaje kumfanya a aache hii tabia?