Uhusiano wa u-genious na Ukichaa

Uhusiano wa u-genious na Ukichaa

Ukichaa au u genius ni kuwa na uwezo wa kufanya mambo au kuwaza tofauti na ilivyo kawaida kwa watu wengi.

Hawa watu wawili wanashea mambo mengi pamoja mfano. Kupenda kujitenga, kutojali usafi wao, kutojali wewe unawaza nini na kuamini mawazo yao.
 
Kuna conditions nyingi zamani zilitafsiriwa kama mental illnesses lakini kwa sasa zimetolewa.
Kuna watu wanaamini gays/lesbianism ni mental illness.
 
Nimesikitika kutokuona ULEVI hau husik na Ukichaa au u Genius.
Ha ha ha
Mkuu hakuna documented evidence ya hio kitu ndio maana nikashindwa kuiweka, kama lingekua jukwaa la hoja mchanganyiko ningeweka, ila humu watu wako makini sana na kila fact unayoitoa
 
Ukichaa au u genius ni kuwa na uwezo wa kufanya mambo au kuwaza tofauti na ilivyo kawaida kwa watu wengi.

Hawa watu wawili wanashea mambo mengi pamoja mfano. Kupenda kujitenga, kutojali usafi wao, kutojali wewe unawaza nini na kuamini mawazo yao.
Kuna pwenti kubwa sana hapa mkuu umeiongea, japo sidhani kama wengi wameiona
 
Kuna conditions nyingi zamani zilitafsiriwa kama mental illnesses lakini kwa sasa zimetolewa.
Kuna watu wanaamini gays/lesbianism ni mental illness.
Kuhusu hlo la mashoga kuondolewa katka kundi la mental illness lipo ksiasa zaid hilo limezuka baada ya mambo ya yaki za mashoga but kisayansi linabaki kuwa n tatzo la kiakili. Rejea definition ya mental health vzr unaweza ukanielewa
 
nina ndugu yangu ana akili mno.yaaan ni wale mageneous ambao hata shule hataki maana anakua wakwanza kila mtihani adi chuo aliaacha maana haoni cha kusoma.sasa kitabia ni mchavuuu mlevii na utukutu tu.ila hata ukikaa nae dk 1 ukaongea nae utagundua utofauti.alianza taratibu sasa kawa too much.kuna mda tulihisi anadata tukampeleka hospital .bwana kule akawa friend wa dk maana alikua anawahi kila siku kwa dk mwenyewe kumbe alivipenda vitabu vya dk ofisini.sasa dk anasema muacheni tu maana akili zake znamletea ukichaa.imefika mahala dk anamuita wanafanya discussion na wanafunzi wake.ila anakua maji na anaenda nao sawa .
 
Hapa sina uhakika kama kila ugojwa wa akili unaweza kurithiwa

Magojwa ya akili yanayoweza kurithiwa ni Schizophrema na Bi polar,Ingawa chance ya kuyapata ni ndogo sana


Mimi nafikiri ni background ya mtu mwenyewe.

Maana ukichaa haurithishwi na wenye tabia hizo sio wote
Kuna familia moja kuanzia Baba na watoto wote wamekuwa vichaa tena kila mmoja amenzia akiwa mkubwa.....je hapo hatuwezi kusema ni wa kurithi?
 
nina ndugu yangu ana akili mno.yaaan ni wale mageneous ambao hata shule hataki maana anakua wakwanza kila mtihani adi chuo aliaacha maana haoni cha kusoma.sasa kitabia ni mchavuuu mlevii na utukutu tu.ila hata ukikaa nae dk 1 ukaongea nae utagundua utofauti.alianza taratibu sasa kawa too much.kuna mda tulihisi anadata tukampeleka hospital .bwana kule akawa friend wa dk maana alikua anawahi kila siku kwa dk mwenyewe kumbe alivipenda vitabu vya dk ofisini.sasa dk anasema muacheni tu maana akili zake znamletea ukichaa.imefika mahala dk anamuita wanafanya discussion na wanafunzi wake.ila anakua maji na anaenda nao sawa .
Sasa huyo mkitaka kumpoteza wakamfungie wodi ya vichaa, atakuwa km ndondocha.
 
Sasa huyo mkitaka kumpoteza wakamfungie wodi ya vichaa, atakuwa km ndondocha.
kwa nini mkuu??hebu nisaifie kidogo kuhusu ili tatizo lake!kuna mda adi anatia huruma ila wala hana neno.akikuta cjui pc imeharibika ni dk 5 kamaliza kazi.wanamuitaga makampuni anafanya kikazi chao wanampa chake kamaliza anaenda lewa zake.aloo oo
 
Kuna familia moja kuanzia Baba na watoto wote wamekuwa vichaa tena kila mmoja amenzia akiwa mkubwa.....je hapo hatuwezi kusema ni wa kurithi?
Hatuwezi kusema with 100% certainty kuwa ni wa kurithi,ila inawezekana ukawa wa kurithi

Kuna sababu nyingi zinazosababisha matatizo ya akili.

Baadhi ni;
Biological factors
Social factors
Psychological factors
Na family history

Case kama hiyo,tunaweza kusema imetokana na historia ya familia yao au mazingira wanayoishi.Labda
 
Hatuwezi kusema with 100% certainty kuwa ni wa kurithi,ila inawezekana ukawa wa kurithi

Kuna sababu nyingi zinazosababisha matatizo ya akili.

Baadhi ni;
Biological factors
Social factors
Psychological factors
Na family history

Case kama hiyo,tunaweza kusema imetokana na historia ya familia yao au mazingira wanayoishi.Labda
100%[emoji106]
 
nina ndugu yangu ana akili mno.yaaan ni wale mageneous ambao hata shule hataki maana anakua wakwanza kila mtihani adi chuo aliaacha maana haoni cha kusoma.sasa kitabia ni mchavuuu mlevii na utukutu tu.ila hata ukikaa nae dk 1 ukaongea nae utagundua utofauti.alianza taratibu sasa kawa too much.kuna mda tulihisi anadata tukampeleka hospital .bwana kule akawa friend wa dk maana alikua anawahi kila siku kwa dk mwenyewe kumbe alivipenda vitabu vya dk ofisini.sasa dk anasema muacheni tu maana akili zake znamletea ukichaa.imefika mahala dk anamuita wanafanya discussion na wanafunzi wake.ila anakua maji na anaenda nao sawa .
Dah, this is very interesting aiseee
Unaeza kukuta huyu ndugu yenu ana vitu vikubwa sana mkikaa naye vizuri, anaweza kufanya kitu kizito kikawatoa maisha yenu yote ukoo mzima
 
Back
Top Bottom