Napenda sana hizi movie mkuu kama unazijua nyingine naomba unitajieKuna movie based on true story inaitwa "stonehearst asylum".
Inaelezea wenye matatizo ya akili.
Mwenye interest aitafute, atajifunza mambo. Humo nimejifunza kila mtu anao ukichaa wake, sema tu hatujijui kwa kuwa wengi wetu ni "average" na pengine "average" people nao wanafanya vivyohivyo kwahyo inaonekana sawa tu.
Bonge la historia ya mental health.
Hapo kwa Albert Einstein nadhan hata hapa kwetu tumewahi kuwa na wetu,kama mtakumbuka kama sio mwaka jana basi mwaka juzi kuna mwalim wa chemistry alikutwa na uchafu ndani,mimavi,mamikojo nini inawezekana nae alitaka kuvumbua kitu chake.case yake sijui iliishia wapi ingewezekana angetafutwa ahojiwe ninini hasa alichokusudia kufanya na ule uchafu.[/QUOTE
hahhaha nae genius ama
ha
true sayThe mind is a beautiful thing to waste...
genius ww uko vp mentallySio wote, wengine hawajitambui
Inawezekana mkuu,atafutwe ahojiwe yawezekana alikuwa na nia nzuri alipokamatwa watu walimwita ni mchawi,aweza kuwa na kipaji kikaendelezwa nilidhani ajabu kumbe hata magwiji wa uvumbuzi yalishawahi kuwakuta.hahah
Mkuu umechambua vzr sana ila niltaka kuongezea ktu according to traditional classification of mental illness imeganyika ktk sehemu kuu mbilYes yes hapa ndo patamu ndugu@asigwa ikubukubukwe hakuna binadamu yoyote aliyemzma kiakili yaani Kila mwanadamu ni mgonjwa akili hili halipingiki kama ukisoma vizuri MENTAL HEALTH (PSYCHIATRIC)
1.Ikumbukwe kuwa kila mwanadamu an personality yake
2.Hiyo hiyohiyo personality ikipungua inakuwa ungonjwa hivyo hayupo mwanadamu anayesimama normal
Nitataja aina za personality na maana zake ikumbukwe personality cyo ugonjwa...
Ila magonjwa ya akili yamegawanyika sehemu kuu mbili yaani (a)psychosis (b)Neurosis
Twende kwenye personality hapa Kila mwanajf ataguswa kama hujaguswa na personality yoyote basi wewe ni jiwe....
Types of personality
a)SCHIZOID/INTROVERT PERSONALITY
This are people who so quiet also their not easily drawn in social activities
-Also afraid to people
-Their like to be alone hapa tayar nmeshamgusa bwana Newton hakuna ujanja
-watu hawa pia there have few friends
-They sometimes there over independent to others
-Kitu kidogo ameshawaka(They get annoyed easily)
Psychological problem may develop this people,
This people may count in psychological problems kunakitu kinaitwa SUICIDAL wanaweza kudevelop
Watu hawahawa have cruel behavior (Wakatiri)
Also are good Raper maana hawezi kupiga voko vijana wakileo wanasema
-Watu hawahawa ni Voyalism yaani wapiga chabo wazuri
Tabia nilizozitaja hapo juu SI lazma mtu awenazo zote pengne mbili au kazaa kumbuka huu SI ugonjwa ni tabia ya mtu ambayo huzaa ugonjwa...
Tunaendelea personality nyingine ni..
(b)OBSSESSIONAL alimaarufu PERFECTIONIST unaweza pia waita OBSSESSIVE COMPURSIVE PERSONALITY
systemic concern doing the right mfano amelala usiku akijashituka usingizini anaenda kucheki kama amefunga hajiamini..
-Yaani a large number associate high ethical standards and normally high practical value in term of competent
and relayability
Watu hawa they are not have psychological problems that can cause to admit
But their behavior can disturb others mfano mlikuwa mnafanya assignment darasani au mpo kwenye kikao mnaandaa mutsari anakosea kuandika spelling moja anachana karatasi yote aanze upwa kuandika wakati mulikalibia kumalza.
(C)HYSTERICAL PERSONALITY nene hili limetoka ktk lugha ya kigiriki (hyteral-Uterus)
Iko hivi,Watu hawa normally are women who is deeply in sexuality and tense to be emotional flamboyant
-This kind from day to day complain they are failure to make lasting relationship anaweza kuzuga mgonjwa akapewa matibabu wengine huzuga kuzirai mpaka wengine hutamani wafanyiwe operation ili wapenz wao wawapende..
(d)ANTISOCIAL PERSONALITY
Are those people get repeated conflict in the society
-They no concern with others
-Normally they tend to ignore social value according to their desire the punishment they not teach them
-This kind of people they have few friend
-Can not resist temptation
-They blame other in wrong doing.
-Watu hawa utotoni huwa na tabia hizi
TRUANCY -utoro shulen
THIEFT
LYING
also poor performance in school
pia kidogo nisahau watu hawa huwa ENURESIS yaani vikojozi
(e)MESOCHIST PERSONALITY
This people are having SADISTIC behavior
anaweza akamkata mwenzake kiwembe damu zikamtoka harafu yy akafurahi kwel.
pia awasingizia wenzake wapate adhabu
au wazaririke
(f)PASSIVE AGGRESSIVE PERSONALITY /....DEPENDENT
This people is areas of loss or fear of loss(most of this people are lack mothering) wale watoto waliopelekwa kwa bibi anaishi na mtoto
-acceptable to depressive episode
(g)TIMIDITY PERSONALITY
Individual show abnormal assertiveness are aware filling of anger and hostility but has difficult in communication
-Also experience anxiety
-Guilty feeling
watu hawa huweza kudevelop Physchophrenia
(h)SENSITIVE PERSONALITY
These people are like mesochist but this one they tend to exgrate the offensive behavior (wazee wakuongeza chumvi ili kuibua mizozo wamo humu jf
(I)ANXIOUS PERSONALITY
This people who are closing bridges b4 reaching to the bridges.
Have a tendency of antspeting troubles (kwa wanafunzi mfno wale kusema huu mtihani utakuwa mgumu kabla hajauona)
(j)PARANOID PERSONALITY
This people are over sensitive
-They are suspicious (kuhisihisi watu Tu kwa mabaya) mfano umewekewa chakula mezani unahisi umewekewa kwenye chakula dawa ufe.
-Watu hawa they attendance of blaming others mfano Mimi cjafanikiwa sababu ya flani ..wapo wengi Sana mitaani na hata humu jf
(k)EXTROVERT /MANIC PERSONALITY
These are outgoing person hawa watu ni wawazi
-Yaani they explains themselves freely.
-They make social easily
-They so chiefly
Na hii ndo personality yangu siwezi kuficha ukweli.
Ila pia Kuna hawa INTROVERT personality hawa wasili wakikosewa hawasemi
(l)PSYCLOTHYMIC PERSONALITY
watu hawa wana swimming mood
-The emotional ranges from mild depression,elation sometimes flat mood (unamkuta mtu hajafurahi hajanuna yupo Kati)
-Watu hawa they develop manic depressives psychosis
Yapo mengi Sana juu ya magonjwa ya akili kwahyo mpaka hapo utagundua kuwa Kila binadamu ni kichaa japo tunazidiana kutokana na vitu tofautofauti inaweza kuwa mazingira,vyakula tulavyo n.k
karibu kwa michango
Kweli walio wengi historia zao zina utata, Father of genetics ni mmojawapo, wapo walioshindwa mitihani ya kukariri na kuamua kufanya yao.Kumekuwa na theory nyingi mitaani kuwa watu wenye intelligence kubwa na ma-genius wengi wana tabia nyingi za ukichaa au ni vichaa kabisa, madaktari bingwa wengi kwenye mahospitali makubwa hapa nchini ambao wanategemewa wengi huwa ni "wehu".
Hata katika viunga vya vyuo vikuu maprofessor wengi wakubwa wa kuaminika wengi huwa ukikaa nao utagundua tu wana-"wehu" fulani.
Ukifuatilia biography nyingi za watu waliokuwa na uwezo mkubwa wa kiakili na wavumbuzi wengi wakubwa hapa duniani katika sayansi na katika sanaa utagundua historia zao zimegubikwa na uchaa wa hali ya juu.
Kuna vitabu vimeandika research ya hii kitu na wakafanya clinical trials wakagundua kuwa asilimia kubwa za watu wenye akili nyingi au ma-genius familia zao pia kuna vichaa wengi au watu wenye upungufu wa akili au wehu.
- Mtu kama Isaak Newton inasemekana alikua na magonjwa ya akili na saikolojia ambayo kwa sasa kitaalamu yanaitwa "schizophrenia", huu ni ugonjwa wa mtu kutokuweza kuishi na mtu yeyote,historia inaonesha Newton alikuwa ni mtu wa kujistukia muda wote kama mtu aliyeua vile, na mara nyingi aliwashutumu ndugu zake kuwa wanataka kumuwekea sumu kwenye chakula .Alipofika miaka 40 hali ilikua mbaya zaidi na alikua hawezi kuishi hata na ndugu zake wa karibu akajitenga completely .
- Albeit Einstein yeye alikua na tabia ya uchafu uliopindukia, inasemekana chumba alichokuwa akiishi kilikua kama zizi la nguruwe, kula hapo hapo kujisaidia hapo hapo hakuna mtu wakawaida anayeweza kuingia ndani, kilikua kinanuka kwa uvundo lakini pia hata nguo zake alikuwa anaweza kuvaa miezi bila kufua na kutokana na tabia yake ya uchafu na kutokujipenda na kutopenda kunyoa wengi walijua ni mwehu, wataalamu wa magonjwa ya akili kwa sasa wanauita ugonjwa huu schizotype.
- Alexander Graham Bell, huyu ni mvumbuzi wa simu, yeye alikua na tatizo la hisia kali za mapenzi , hisia zilizopitiliza mpaka alikuwa kero kwa mpenzi wake miss Hello. Inasemekana alikua kama zombi kabisa kwa mpenzi wake kuna nyakati ilibidi mpenzi wake huyu amkimbie, lakini pamoja na kumkimbia huku siku alipovumbua tu simu neno la kwanza katika simu lilikua ni kutaja jina la mpenzi wake HELLO na hapo ndio utamaduni wa kuanza na neno HELLO kwenye simu ulipoanzia, japo watu wa kizazi hiki wanachukulia kama ni fashion lakini neno HELLO lilitajwa na mtu aliyekuwa na emotion breakdown wakati huo .
- Martin Luther huyu alikua na tatizo la misongo ya mawazao iliyotukuka (chronical depression), lakini pia alikua ni mtu mwenye "mizuka ya ajabu, siku akiamka kichwa kimemtuma kufanya kazi anaeza fanya kazi hata 48 hrs non-stop, siku kichwa kikimtuma kusoma anaweza kusoma hata 36 hrs non-stop. Mwaka 1517 kichwa kilimtuma kuandika Thesis za kupinga namna Kanisa Katoliki linavyoendeshwa, aliandika thesis 95 alipoona hawamuelewi akaamua kuzibandika mlangoni mwa kanisa la Wittenberg halafu akasepa, na hapo ndipo ikaanza movement ya protestant churches.
- Wapo wengi kama Thomas Edson, Leonardo da Vinci, Michelangelo Buonarroti, Theodore Roosevelt,John Nash,Michael Faraday, Henry Ford na wengine kibao ambao historia zao zinapatikana kiurahisi, wote hawa wameonesha kuwa na degree fulani ya ukichaa ambayo ni tofauti na mtu wa kawaida kama ambavyo sayansi ina-define na wengi wamekuwa na tabia ya kuongea wenyewe muda wote.
Moja ya kitabu kizuri ni cha mwanamama Nancy C. Andreasen, M.D., Ph.D. kinaitwa "The Creating BRAIN, Neurosciences of Geinus" kimejaribu sana kutafiti kwa kutumia technolojia nzuri ya MRI bongo nyingi za ma-genius na kimegundua zinafanana neuro-arrangement zake na kua sehemu za brain zao haziko developed kabisa.
Swali hapa linakuja je kuna uhusiano gani kati ya kuwa na Intelligence kubwa au kuwa genius au kuwa highly creative na UKICHAA??
Asante mkuuMkuu umechambua vzr sana ila niltaka kuongezea ktu according to traditional classification of mental illness imeganyika ktk sehemu kuu mbil
1.functional psychiatric disorders
2.organic psychiatric disorders
Ktk functional ndio kuna hzo ulizoztaja psychosis and neurosis
Ktk psychosis ndo kuna schizophrenia, mania ect.
Na ktk neurosis ndo kuna phobia, obsessive compulsive disorder, ect. Na personality disorder zote kama hzo ulizozitaja hapo juu nazo zote znaingia kwenye neurosis.
Nawasilisha
how come? dona linapunguza uwezo wa kufikili?Kama uliwahi kula dona au ugali kuhusu kugundua sahau au futa kabisa
Nilisomaga huku jf sijui uzi gani vile
Hapo kwa Albert Einstein nadhan hata hapa kwetu tumewahi kuwa na wetu,kama mtakumbuka kama sio mwaka jana basi mwaka juzi kuna mwalim wa chemistry alikutwa na uchafu ndani,mimavi,mamikojo nini inawezekana nae alitaka kuvumbua kitu chake.case yake sijui iliishia wapi ingewezekana angetafutwa ahojiwe ninini hasa alichokusudia kufanya na ule uchafu.
Truu...Jamaa aligundua formula kali ya Mathematics tatizo alikua na ukichaa wa kujenga mawazo ambayo hayakua halisia...A Beautiful Mindj. nash kahudhuria sana mirembe za marekani.
alifikia hatua ya kurekebisha nadharia za baba wa uchumi zilizodumu na kuaminika sahihi kwa zaidi ya karne na nusu.Truu...Jamaa aligundua formula kali ya Mathematics tatizo alikua na ukichaa wa kujenga mawazo ambayo hayakua halisia...A Beautiful Mind