Uhusiano wa Zitto na upotoshaji ni kama wa damu na nyama

Uhusiano wa Zitto na upotoshaji ni kama wa damu na nyama

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Mh Zitto akichambua taarifa ya CAG ameishukia wizara ya ujenzi, waziri wake, na wakala wa barabara kwa kudai kuwa walitengewa Trilioni 2 kwa ajili ya ujenzi wa barabara 88 na hakuna hata moja imejengwa hadi kipindi cha fedha tajwa kinaisha. Ukimsikia utaona anahoja lakini ukisikiliza unaona anapotosha. Mh. Zitto zaidi yayale aliyoyatoa kwenye ripoti ya CAG hajatueleza kama:
  1. Pesa zilizotengwa kweli zilipelekwa wizarani na baadaye kwa wakala wa barabara;
  2. hajatueleza kama mchakato wa utekezaji wa mpango kazi wa wakala wa barabara 88 hadi hii leo uliishi ile zabuni mpja iliyopokelewa au uliendelea. Ki msingi nini ni uhalisia sasa hivi?
Kama Zitto hana majibu hayo atabaki kuwa mpotoshaji tu mpenda sifa
 
CAG anakagua matumizi ya fedha zilizopokelewa tu na wizara pamoja na taasisi zake. Ataanzaje kukagua mradi ambao hautengewa pesa?

Amandla....
Tulielekeze swali hili kwa nani kwa ushauri wako?
 
Report ya CAG ya 2024/2025 itakuwa inamhusu Mama yenu kwa 100%,hakutakuwepo kichaka cha mwendazake hivyo lazima muanze kujifunza kujibu hoja mapema.
 
Mh Zitto akichambua taarifa ya CAG ameishukia wizara ya ujenzi, waziri wake, na wakala wa barabara kwa kudai kuwa walitengewa Trilioni 2 kwa ajili ya ujenzi wa barabara 88 na hakuna hata moja imejengwa hadi kipindi cha fedha tajwa kinaisha. Ukimsikia utaona anahoja lakini ukisikiliza unaona anapotosha. Mh. Zitto zaidi yayale aliyoyatoa kwenye ripoti ya CAG hajatueleza kama:
  1. Pesa zilizotengwa kweli zilipelekwa wizarani na baadaye kwa wakala wa barabara;
  2. hajatueleza kama mchakato wa utekezaji wa mpango kazi wa wakala wa barabara 88 hadi hii leo uliishi ile zabuni mpja iliyopokelewa au uliendelea. Ki msingi nini ni uhalisia sasa hivi?
Kama Zitto hana majibu hayo atabaki kuwa mpotoshaji tu mpenda sifa
Ukiona hivyo tambua alikwama kupata rushwa
 
Nhoja wake chawa wake kina Nondo, Kassala, Kassala nk.
 
Report ya CAG ya 2024/2025 itakuwa inamhusu Mama yenu kwa 100%,hakutakuwepo kichaka cha mwendazake hivyo lazima muanze kujifunza kujibu hoja mapema.
Hawataweza kuacha kumtaja lazima wapindishe tu maelezo.
 
Akisema kuhusu wizara ya Nishati na Tanesco nitag
 
Mh Zitto akichambua taarifa ya CAG ameishukia wizara ya ujenzi, waziri wake, na wakala wa barabara kwa kudai kuwa walitengewa Trilioni 2 kwa ajili ya ujenzi wa barabara 88 na hakuna hata moja imejengwa hadi kipindi cha fedha tajwa kinaisha. Ukimsikia utaona anahoja lakini ukisikiliza unaona anapotosha. Mh. Zitto zaidi yayale aliyoyatoa kwenye ripoti ya CAG hajatueleza kama:
  1. Pesa zilizotengwa kweli zilipelekwa wizarani na baadaye kwa wakala wa barabara;
  2. hajatueleza kama mchakato wa utekezaji wa mpango kazi wa wakala wa barabara 88 hadi hii leo uliishi ile zabuni mpja iliyopokelewa au uliendelea. Ki msingi nini ni uhalisia sasa hivi?
Kama Zitto hana majibu hayo atabaki kuwa mpotoshaji tu mpenda sifa
Hayo wanatakiwa kujibu ni WIZARA husikasio wewe
 
Sisi tunasikiliza uchambuzi , wanatakiwa kukanusha ni wahusika mbona mnachukua majukumu ya watu.
 
Back
Top Bottom