Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

Hapo kwenye kusoma barua mara nyingi, pamenifurahisha sana
Umenikumbusha barua niliisoma kwa miaka 7 (sio kila siku kwa vipindi tofauti) bila kuichoka pamoja na kua alieniandikia barua nipo nae ndani na tuna mtoto miaka m4 baada kuniandikia hiyo barua adi alivyokuja kuificha yeye mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kusoma sehemu hii ya 14 ndo najua kuwa chefs pride ilikuwepo toka kipindi hicho,nilikuwa najua zahir hotel pekee maeneo yale.Je ni kweli chef ilikuwepo kipindi hicho !!!!??
 
Kwa kusoma sehemu hii ya 14 ndo najua kuwa chefs pride ilikuwepo toka kipindi hicho,nilikuwa najua zahir hotel pekee maeneo yale.Je ni kweli chef ilikuwepo kipindi hicho !!!!??
 
Kwa kusoma sehemu hii ya 14 ndo najua kuwa chefs pride ilikuwepo toka kipindi hicho,nilikuwa najua zahir hotel pekee maeneo yale.Je ni kweli chef ilikuwepo kipindi hicho !!!!??
Ni "decoy" mkuu, ungeunganisha dot kama ulikuwepo miaka hiyo kwa kuwa sehemu husika stori yangu ilivuma sana.

Actual restaurant ilikuwa jirani na jumba la sinema maeneo hayo, sasa hivi pameota ghorofa. Ni mgahawa uliokuwa na harakati nyingi za kisiasa.

Naomba niishie hapo.

James Jason
 
Baba saa ngapi tena unakuja au tukalale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Babu shikamoo! Tupo pamoja tulikusubiri kwa hamu
 
Wadau naombeni link ya ule uzi wa kula tunda kimasihara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…